Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
- Thread starter
- #181
Naona kama ndio mnakuwa stressed zaidi. Negative thoughts attracts negative energiesHata hii nayo chai.😄
Tunapunguza stress sheikh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona kama ndio mnakuwa stressed zaidi. Negative thoughts attracts negative energiesHata hii nayo chai.😄
Tunapunguza stress sheikh
Mimi Simo tena mimi ni domo zegeNitakumegea siri za hako ka Demi kako najua hukajui vizuri.
Wala ugali wa mtama na maziwa mgando + michembe wanaomtreat Demi wamo humu babu wanakuchora tu babu, au mpaka niwataje kwa majina ndio utaamini?
Demi hakufai babuu
Usihofu kaka siwezi kukutengenezea mazingira magumu, kwanza aspirin keshatimua mbio so mikakati iendelee tu 🤣Mimi Simo tena mimi ni domo zege
Tukikustress kama hivi ndo tumepunguza makasiriko ya tozo😄Naona kama ndio mnakuwa stressed zaidi. Negative thoughts attracts negative energies
Mkuu nipe namba yakeAchana na hawa wadada ana ka IST na duka la nguo Kinondoni anajiona tajiri. Tajiri anaishi nyumba ya kupanga chumba na sebule na jiko, anajiona kayapatiiiiiiia.
Ninaongelea wale wenye mega projects, mega investments. Kwa kweli wanaishi maisha ya upweke sana.
Jana nilialikwa na rafiki yangu kwa ajili ya mlo wa usiku. Yeye ni mfanyabiashara mkubwa, ana viwanda vyake vya vipodozi na anauza sehemu mbalimbali duniani.
Alinunua nyumba Oysterbay iliyokuwa ya mheshimiwa mmoja mstaafu (zile nyumba waliuziwa kwa bei chee na Mkapa) akaivunja yote na akajenga nyumba za ndoto yake.
Anacholalamika ni kwamba wanaume wanamuogopa kwa ajili ya pesa zake. Hata akomtongoza mwanaume baada ya muda kidogo mwanaume atapotea.
Akaenda mbali zaidi, akasema wanawake wengi matajiri wamejikuta wakiingia kwenye mapenzi ya jinsia moja lesbianism kwa kukosa watu wa kuwa nao.
Tuliongea mengi sana kwa kweli. Wito wangu kwenu vijana, msiogope ma Range Rover yao, watongozeni tu, nao pia ni watu na wanahitaji wenzi wa kuwa nao maishani.
Ninaendelea kuongea naye, na leo jioni nitakuwa na mazungumzo naye. Ni nafasi nzuri kwangu kumweleza habari za ufalme ule ujao na yule Mfalme wa SalemBro Bujibuji Simba Nyamaume mpe muongozo wa kiroho dada
Naamini wanaomkimbia sio wa hatma yake
Dawa ya tozo ni kukusanya hela nyingi hadi usiumizwe na tozo. Kulia maumivu ya tozo ni umasikiniTukikustress kama hivi ndo tumepunguza makasiriko ya tozo😄
Natafuta Ajira, unategemea ile ni ajira?Mkuu nipe namba yake
Hah hah haaUsihofu kaka siwezi kukutengenezea mazingira magumu, kwanza aspirin keshatimua mbio so mikakati iendelee tu 🤣
Waache unyanyasaji.Wakioneshwa some good and good love,wanaanza kudeka,masharti,wivu na miujinga mingine.Anajua mimi nimeoa na ninamgawia pendo la magendo halafu anaanza ujinga,nakimbia!Achana na hawa wadada ana ka IST na duka la nguo Kinondoni anajiona tajiri. Tajiri anaishi nyumba ya kupanga chumba na sebule na jiko, anajiona kayapatiiiiiiia.
Ninaongelea wale wenye mega projects, mega investments. Kwa kweli wanaishi maisha ya upweke sana.
Jana nilialikwa na rafiki yangu kwa ajili ya mlo wa usiku. Yeye ni mfanyabiashara mkubwa, ana viwanda vyake vya vipodozi na anauza sehemu mbalimbali duniani.
Alinunua nyumba Oysterbay iliyokuwa ya mheshimiwa mmoja mstaafu (zile nyumba waliuziwa kwa bei chee na Mkapa) akaivunja yote na akajenga nyumba za ndoto yake.
Anacholalamika ni kwamba wanaume wanamuogopa kwa ajili ya pesa zake. Hata akomtongoza mwanaume baada ya muda kidogo mwanaume atapotea.
Akaenda mbali zaidi, akasema wanawake wengi matajiri wamejikuta wakiingia kwenye mapenzi ya jinsia moja lesbianism kwa kukosa watu wa kuwa nao.
Tuliongea mengi sana kwa kweli. Wito wangu kwenu vijana, msiogope ma Range Rover yao, watongozeni tu, nao pia ni watu na wanahitaji wenzi wa kuwa nao maishani.
Tatizo kitandaniAchana na hawa wadada ana ka IST na duka la nguo Kinondoni anajiona tajiri. Tajiri anaishi nyumba ya kupanga chumba na sebule na jiko, anajiona kayapatiiiiiiia.
Ninaongelea wale wenye mega projects, mega investments. Kwa kweli wanaishi maisha ya upweke sana.
Jana nilialikwa na rafiki yangu kwa ajili ya mlo wa usiku. Yeye ni mfanyabiashara mkubwa, ana viwanda vyake vya vipodozi na anauza sehemu mbalimbali duniani.
Alinunua nyumba Oysterbay iliyokuwa ya mheshimiwa mmoja mstaafu (zile nyumba waliuziwa kwa bei chee na Mkapa) akaivunja yote na akajenga nyumba za ndoto yake.
Anacholalamika ni kwamba wanaume wanamuogopa kwa ajili ya pesa zake. Hata akomtongoza mwanaume baada ya muda kidogo mwanaume atapotea.
Akaenda mbali zaidi, akasema wanawake wengi matajiri wamejikuta wakiingia kwenye mapenzi ya jinsia moja lesbianism kwa kukosa watu wa kuwa nao.
Tuliongea mengi sana kwa kweli. Wito wangu kwenu vijana, msiogope ma Range Rover yao, watongozeni tu, nao pia ni watu na wanahitaji wenzi wa kuwa nao maishani.
Katika wewe, au na wewe gogo?Tatizo kitandani
Unawajua wake zetu wenye nazo wewe? Anakupa anapohitaji yeye, na kimoja usipoconnect hiyo imetoka! Kijana hawezi kuishi na mwanamke mzee bila michepuko maisha yakasonga mbele! Kwani wateja wa machangu doa ni nani kama si wanaume waliooa!Katika wewe, au na wewe gogo?
Ninaendelea kuongea naye, na leo jioni nitakuwa na mazungumzo naye. Ni nafasi nzuri kwangu kumweleza habari za ufalme ule ujao na yule Mfalme wa Salem
Mm hujisikia vibaya nikilipiwa Bills na MWANAMKE 🌝🌝🙂🤣🤣🤣🤣😂😂Inahitaji balls of steel ila kwa wenye confidence hamna wanawake warahisi kama hawa ambao wanajiweza. Huwa hawana njaa kwahio hata outing huwa wanasimamia hawezi kukuita mahali halafu halipii bills.
Unawajua? Au unawasikia tu? Wana kiburi sana na dharau aiseeWaache unyanyasaji.Wakioneshwa some good and good love,wanaanza kudeka,masharti,wivu na miujinga mingine.Anajua mimi nimeoa na ninamgawia pendo la magendo halafu anaanza ujinga,nakimbia!
Unawajua? Au unawasikia tu? Wana kiburi sana na dharau aiseeWaache unyanyasaji.Wakioneshwa some good and good love,wanaanza kudeka,masharti,wivu na miujinga mingine.Anajua mimi nimeoa na ninamgawia pendo la magendo halafu anaanza ujinga,nakimbia!
"Bora mimi chichemi.Vatanloga ntu"!Unawajua? Au unawasikia tu? Wana kiburi sana na dharau aisee
Ofcourse ni jambo baya ila kama umezoea kudangwa lazma kuna moment utatamani upate mtu ambaye ana cover billsMm hujisikia vibaya nikilipiwa Bills na MWANAMKE 🌝🌝🙂🤣🤣🤣🤣😂😂
For sure Hilo jambo sipendi litokee....
Kina Mario Et All