converterr
JF-Expert Member
- Jan 28, 2023
- 294
- 593
Bora hajakusaga Mana dah😕sema tutamshuhulikia usiwaze
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah,ndo maana nimesema nimepunguza hasaraRedds ni pombe. Kumbe bado ipo?
Afadhali hiyo
😃😃😃 tusiposhika mnasema tumekua ombaomba daahKE akishashika pesa tu tegemea dharau, kiburi, ujuaji
V[emoji28][emoji28][emoji28]
Aaaa,wapi nyenzo ni Moja Tu ambayo ni "kuumbwa Mwanaume", hayo mengine huja na kuondoka lakini uanaume upo siku zote. Kazi ya Mungu haina makosautawala unahitaji nyenzo na pesa ni nyenzo kuu mkeo akiwa nayo zaidi hata iweje kuna mahali utawekwa chini ya himaya na utasalimu amri
Hela ya mwanamke haijawahi kua tamu Hata siku moja
Hope uko pouwah ndg coz nimekucheki bila mafanikio
4 shizzle ma nizzleIshu inakuja wengine wana nyodo na dharau.....
Ilikua ni miaka kadhaa nyuma AM 4 REAL
Business NDIO zili nikutanisha na Huyu mdada mfanyabiashara tulikua na mawasiliano ya mwaka before hatuja meet face to face
Siku Moja alikuja ofisin kututembelea it was just waoo...Am 4 real ni binge la handsome....lips...macho...
Kuanzisha uhusiano
Siku Moja usiku saa Saba namwona online tuka Anza kuchati Kwa umri wake na ukwasi nilijua lazima atakua mke wa MTU....
Tulipendana sana....japo muda flan alikua na kiburi na ujeur ila for sure tulikua ma soul mate...... tulipendana sana yaan likes na dislikes.... ambitious dream zilikua sawa.....
Baada ya miez sita ya Bata na kujuana Nika propose tuoane yeye akasema tuwe marafik....nikampa deadline miez mitatu yaan 15 June awe amenijib....
Siku iyo ilipo fika akanijibu tue marafik tulikumbatiana Nika mu hugs nakumbuka nilitoa machozi SABB nilijua na plan b ambayo ningeanza kuifanyia Kaz soon effectively......
Tukapunguza mazoea akawa busy Nika anzisha mchakato Siri Kwa Siri wa kuoa....week ya kwenda kwenye send-off
Yule businesswoman akanitafuta tuonane...akanambia ameridhia tuonane...
Akawa anataka niwe nae Kila mara nisipo jibu sms analaum namtesaa....
Nikajua atakua shetani....wiki iliyo fuata nikafunga ndoa takatifu....
Nikaenda honey moon baadae nikamwambia nikamtumia na picha...
Alisikitika sana na akawa ananipa lawama nikamwambia AM 4 REAL huwaga nipo real......
For sure tulikua ma soul mate mpk Leo huwaga hasahau hili tukio na mpk Leo still haja olewa.....
For sure yule mdada ana dharau yaan wanaume ukiwa wa ajb ajab utashushuriwa na ujipange.....kwangu alikua anashangaa.....Am 4 real wanaume wanasema mm sipendeki....na sinaga hisia....
Mpk Leo sisi ni ni marafik wa maisha
Anacho eleza bujibuji ni sahihi...
Hamna hela ya rahisi ambayo ni tamuNi hela ya masharti kama ya ndagu tuu
Ukizipata zote unanipa mimi ndio napanga budget, OK?😃😃😃 tusiposhika mnasema tumekua ombaomba daah
Ngoja ninkatafute post moja ya GuDume nichekeSaivi inabidi iwe kataa ndoa
Ya mwanamke anayekuzidi (hela,power,ushawishi) kataaa kataaa kataaaa hawako submissive na wengi wao wana act kwamba wako desperate kataaa kataaa kataaaa
Oeni wanawake wasio na pesa zaidi yenu 😒😵😵😵
Niko poa nashukuru mkuu.Hope uko pouwah ndg coz nimekucheki bila mafanikio
wewe moyoni unajiona ni RUDE BOY wa reason with me 😂😂Dah umenikumbusha
kuna kipindi kwenye utafutaji wangu nilikuwa nasukuma mkokoten wa vinywaji nikamwona dem mmoja rika langu (nilikuwa namkubali sana) niliyekuwa namwona mara kwa mara siku hyo yuko peke yake (ila dada yake naye ana mal na anatembelea bmw)
Nikasema leo namba nachukua pale kumbe dada yake yupo around pale pale
Nilipokuwa nmesimama nae tukasalimiana nimwombe namba
Dada yake kafika …paap! Huyu hapa
Dada yake: unamwongelesha nini mdogo wangu
Mimi: nilikuwa nasalimiana nae
Dada: unasalimiana nae ndio umsogelee karibu
Mimi: hapana
Dada: muone [emoji849]em toka hapa
Mimi kimya nikafata mkokoteni wangu nikaanza kuusukuma
[emoji23][emoji23][emoji23]alivyoniona nasukuma mkokoteni bora ningevunga hata nisiufate kwanza
Kuna watu walikuwa jiran pale hadi walinishangaa na kunicheka
Dada: kaah mtu mwenyewe kumbe msukuma mkokoteni
Utampa nini mdogo wangu
Huna hata hela ….. mwanaume surual
Jiangalie na majasho yako upo upooo
(Si mnajua wadada wanavyojua kusuta..unapandishwa unashushwa unawashwa unazimwa)
Mimi kimya 🥹🥹na mkokoten wangu taratibu nikasonga [emoji3062][emoji3062]
Achana na hawa wadada ana ka IST na duka la nguo Kinondoni anajiona tajiri. Tajiri anaishi nyumba ya kupanga chumba na sebule na jiko, anajiona kayapatiiiiiiia.
Ninaongelea wale wenye mega projects, mega investments. Kwa kweli wanaishi maisha ya upweke sana.
Jana nilialikwa na rafiki yangu kwa ajili ya mlo wa usiku. Yeye ni mfanyabiashara mkubwa, ana viwanda vyake vya vipodozi na anauza sehemu mbalimbali duniani.
Alinunua nyumba Oysterbay iliyokuwa ya mheshimiwa mmoja mstaafu (zile nyumba waliuziwa kwa bei chee na Mkapa) akaivunja yote na akajenga nyumba za ndoto yake.
Anacholalamika ni kwamba wanaume wanamuogopa kwa ajili ya pesa zake. Hata akomtongoza mwanaume baada ya muda kidogo mwanaume atapotea.
Akaenda mbali zaidi, akasema wanawake wengi matajiri wamejikuta wakiingia kwenye mapenzi ya jinsia moja lesbianism kwa kukosa watu wa kuwa nao.
Tuliongea mengi sana kwa kweli. Wito wangu kwenu vijana, msiogope ma Range Rover yao, watongozeni tu, nao pia ni watu na wanahitaji wenzi wa kuwa nao maishani.