Hii picha inanifrahisha sana kumbe Marekani kuna kipindi alikuwa analisha Urusi na hamsemi

Hii picha inanifrahisha sana kumbe Marekani kuna kipindi alikuwa analisha Urusi na hamsemi

World bank na IMF ni mashirika ya kimataifa na kila mwana chama ana haki ya kukopa sema yamepoteza maana baada ya nchi za Magharibi kuyageuza kuwa chombo cha kufanya mashinikizo dhidi ya nchi nyingine.
Hivyo hakuna cha ajabu kwa Urusi kukopa kwenye hayo mashirika kwa sababu ni mwanachama na amekuwa akilipa ada ya kuwa mwanachama.
Kuhusu hiyo picha ni kitu gani hapo kinacho kuamisha kuwa hao ni raia wa Urusi?
Urusi ni mojawapo ya wazalishaji wakubwa wa chakula duniani na kati ya wanunuzi wa chakula chake ni Marekani sasa litakuwa jambo la kushangaza mtu anaye uziwa chakula leo hii ampe anaye muuzia chakula msaada wa chakula.
Watanzania tunapenda sana kushabikia ubishani wa pande mbili. Uarabu vs Uzungu, Ukraine vs Russia, Yanga vs Simba etc, yaani kila kitu kina pande mbili na kila upande hautaki ku-fact check au kukubali ukweli. Mataifa ya hii dunia huwa yanapatwa na majanga ya asili na kusaidiana. Kuna matetemeko, mafuriko, Njaa nk. Haya hayana baunsa, yanapokumba taifa hata liwe limeendelea, hupokea msaada kutoka sehemu mbali mbali.
 
Watanzania tunapenda sana kushabikia ubishani wa pande mbili. Uarabu vs Uzungu, Ukraine vs Russia, Yanga vs Simba etc, yaani kila kitu kina pande mbili na kila upande hautaki ku-fact check au kukubali ukweli. Mataifa ya hii dunia huwa yanapatwa na majanga ya asili na kusaidiana. Kuna matetemeko, mafuriko, Njaa nk. Haya hayana baunsa, yanapokumba taifa hata liwe limeendelea, hupokea msaada kutoka sehemu mbali mbali.
Msaada wa Marekani kupitia USAID kwa Russia haukuwa msaada wa majanga, ilikuwa msaada wa maendeleo kama tunaopewa bongo na Africa kuboresha sekta mbalimbali, mojawapo ilikuwa Land Reforms.
 
World bank na IMF ni mashirika ya kimataifa na kila mwana chama ana haki ya kukopa sema yamepoteza maana baada ya nchi za Magharibi kuyageuza kuwa chombo cha kufanya mashinikizo dhidi ya nchi nyingine.
Hivyo hakuna cha ajabu kwa Urusi kukopa kwenye hayo mashirika kwa sababu ni mwanachama na amekuwa akilipa ada ya kuwa mwanachama.
Kuhusu hiyo picha ni kitu gani hapo kinacho kuamisha kuwa hao ni raia wa Urusi?
Urusi ni mojawapo ya wazalishaji wakubwa wa chakula duniani na kati ya wanunuzi wa chakula chake ni Marekani sasa litakuwa jambo la kushangaza mtu anaye uziwa chakula leo hii ampe anaye muuzia chakula msaada wa chakula.
Hii picha tuu mkuu unapoteza point zako kujadili vipicha ambavyo hata havina maelezo wala source
 
USAID, World Bank na IMF wamewahi kuwapa misaada na mikopo mingi tu Urusi mpaka mwaka 2014.
USAID NI DUDE KUBWA SANA ANGALIA LAND CRUISER ZOTEE TANZANIA NZIMA ZENYE PLATE NUMBER ZA DFP UBAVUNI ZINA NEMBO YA USAID KWA MSAADA WA WATU WA MAREKANI. HATA TAASISI ZA BENJAMIN MKAPA FOUNDATION NA JAKAYA KIKWETE FOUNDATION ZOTE ZINATOA PESA HUKO. NA SIO TANZANIA TU AFRICA NZIMA
 
USAID NI DUDE KUBWA SANA ANGALIA LAND CRUISER ZOTEE TANZANIA NZIMA ZENYE PLATE NUMBER ZA DFP UBAVUNI ZINA NEMBO YA USAID KWA MSAADA WA WATU WA MAREKANI. HATA TAASISI ZA BENJAMIN MKAPA FOUNDATION NA JAKAYA KIKWETE FOUNDATION ZOTE ZINATOA PESA HUKO. NA SIO TANZANIA TU AFRICA NZIMA
Watakwambia hamna cha bure wakati hata elimu bure wao ndo wafadhili wakubwa
 
Back
Top Bottom