gallow bird
JF-Expert Member
- Aug 10, 2024
- 3,915
- 6,272
Demand kwenye food banks marekani imeoanda kwa 80% leo wakati michango imeshukaHata Marekani kuna watu wanaishi kwa misaada, hawana chakula wala pa kulala. Mtu yoyote anaweza kuwasaidia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Demand kwenye food banks marekani imeoanda kwa 80% leo wakati michango imeshukaHata Marekani kuna watu wanaishi kwa misaada, hawana chakula wala pa kulala. Mtu yoyote anaweza kuwasaidia
Hivi unajua kuwa Urusi kwa njaa za wanasiasa wao waliiuzia Alaska US?
Marekan alisha wahi kuwa kwenye ecomonic criss hadi akatumia mashirika ya kijasusi ku supply madawa ya kulevya ili kunusuru uchumi wakeHili warusi wa buza hawataki kuskia
Urus ana mdai USA juzi wamempa dhahabu... Marekan inadaiwa na china kama tril 300 haya ni mambo ya kawaidaMarekani anadaiwa na nani,kiasi gani?
Mwaka gani?Marekan alisha wahi kuwa kwenye ecomonic criss hadi akatumia mashirika ya kijasusi ku supply madawa ya kulevya ili kunusuru uchumi wake
Watanzania tunapenda sana kushabikia ubishani wa pande mbili. Uarabu vs Uzungu, Ukraine vs Russia, Yanga vs Simba etc, yaani kila kitu kina pande mbili na kila upande hautaki ku-fact check au kukubali ukweli. Mataifa ya hii dunia huwa yanapatwa na majanga ya asili na kusaidiana. Kuna matetemeko, mafuriko, Njaa nk. Haya hayana baunsa, yanapokumba taifa hata liwe limeendelea, hupokea msaada kutoka sehemu mbali mbali.World bank na IMF ni mashirika ya kimataifa na kila mwana chama ana haki ya kukopa sema yamepoteza maana baada ya nchi za Magharibi kuyageuza kuwa chombo cha kufanya mashinikizo dhidi ya nchi nyingine.
Hivyo hakuna cha ajabu kwa Urusi kukopa kwenye hayo mashirika kwa sababu ni mwanachama na amekuwa akilipa ada ya kuwa mwanachama.
Kuhusu hiyo picha ni kitu gani hapo kinacho kuamisha kuwa hao ni raia wa Urusi?
Urusi ni mojawapo ya wazalishaji wakubwa wa chakula duniani na kati ya wanunuzi wa chakula chake ni Marekani sasa litakuwa jambo la kushangaza mtu anaye uziwa chakula leo hii ampe anaye muuzia chakula msaada wa chakula.
Urusi ni mzalishaji mkubwa WA chakula duniani Hiyo fix
Msaada wa Marekani kupitia USAID kwa Russia haukuwa msaada wa majanga, ilikuwa msaada wa maendeleo kama tunaopewa bongo na Africa kuboresha sekta mbalimbali, mojawapo ilikuwa Land Reforms.Watanzania tunapenda sana kushabikia ubishani wa pande mbili. Uarabu vs Uzungu, Ukraine vs Russia, Yanga vs Simba etc, yaani kila kitu kina pande mbili na kila upande hautaki ku-fact check au kukubali ukweli. Mataifa ya hii dunia huwa yanapatwa na majanga ya asili na kusaidiana. Kuna matetemeko, mafuriko, Njaa nk. Haya hayana baunsa, yanapokumba taifa hata liwe limeendelea, hupokea msaada kutoka sehemu mbali mbali.
Labda anafikiri gesi ni chakula.Urusi ni mzalishaji mkubwa WA chakula duniani Hiyo fix
Ndio inaongoza ngano ,mbolea, mafuta ya alizeti na mahindi ulaya na wasambazaji wao na ukraine ngano na mafuta alizeti africaLabda anafikiri gesi ni chakula.
Nchi za Ulaya za Ufaransa na Poland ndio wazalishaji wakubwa wa mahindi Ulaya, Russia wanazalisha mahindi kidogo sana kwa sababu baridi kali.Ndio inaongoza ngano ,mbolea, mafuta ya alizeti na mahindi ulaya na wasambazaji wao na ukraine ngano na mafuta alizeti africa
Hii picha tuu mkuu unapoteza point zako kujadili vipicha ambavyo hata havina maelezo wala sourceWorld bank na IMF ni mashirika ya kimataifa na kila mwana chama ana haki ya kukopa sema yamepoteza maana baada ya nchi za Magharibi kuyageuza kuwa chombo cha kufanya mashinikizo dhidi ya nchi nyingine.
Hivyo hakuna cha ajabu kwa Urusi kukopa kwenye hayo mashirika kwa sababu ni mwanachama na amekuwa akilipa ada ya kuwa mwanachama.
Kuhusu hiyo picha ni kitu gani hapo kinacho kuamisha kuwa hao ni raia wa Urusi?
Urusi ni mojawapo ya wazalishaji wakubwa wa chakula duniani na kati ya wanunuzi wa chakula chake ni Marekani sasa litakuwa jambo la kushangaza mtu anaye uziwa chakula leo hii ampe anaye muuzia chakula msaada wa chakula.
Uongo mtupu hiyo mikopo mnapewa nyie nchi masikiniUSAID, World Bank na IMF wamewahi kuwapa misaada na mikopo mingi tu Urusi mpaka mwaka 2014.
USAID NI DUDE KUBWA SANA ANGALIA LAND CRUISER ZOTEE TANZANIA NZIMA ZENYE PLATE NUMBER ZA DFP UBAVUNI ZINA NEMBO YA USAID KWA MSAADA WA WATU WA MAREKANI. HATA TAASISI ZA BENJAMIN MKAPA FOUNDATION NA JAKAYA KIKWETE FOUNDATION ZOTE ZINATOA PESA HUKO. NA SIO TANZANIA TU AFRICA NZIMAUSAID, World Bank na IMF wamewahi kuwapa misaada na mikopo mingi tu Urusi mpaka mwaka 2014.
Watakwambia hamna cha bure wakati hata elimu bure wao ndo wafadhili wakubwaUSAID NI DUDE KUBWA SANA ANGALIA LAND CRUISER ZOTEE TANZANIA NZIMA ZENYE PLATE NUMBER ZA DFP UBAVUNI ZINA NEMBO YA USAID KWA MSAADA WA WATU WA MAREKANI. HATA TAASISI ZA BENJAMIN MKAPA FOUNDATION NA JAKAYA KIKWETE FOUNDATION ZOTE ZINATOA PESA HUKO. NA SIO TANZANIA TU AFRICA NZIMA
Russia ilikuwa nchi masikini inayoendelea (developing country) miaka ya tisini.Uongo mtupu hiyo mikopo mnapewa nyie nchi masikini
Yaan wewe kama hazikutoshi umesema ngano na alizeti alafu unauliza tena ni chakula gani, hiyo ngano na alizeti ni maturubai?Chakula gani Marekani inanunua Urusi??
Kuna chakula gani Urusi inauza nje ya nchi zaidi ya ngano na alizeti??