Hii picha inanifrahisha sana kumbe Marekani kuna kipindi alikuwa analisha Urusi na hamsemi

Hii picha inanifrahisha sana kumbe Marekani kuna kipindi alikuwa analisha Urusi na hamsemi

mbona mrusi aliisaidia USA kupata raisi kama Trump!!!
Hizo alinacha zenu bado mnaziishi? Ndiyo maana CCM hadi leo inawatawala na huku na yenyewe ikitawaliwa.

Mnadanganyishiwa mjiunge mapema na Chama, , mnaimbishwa hiyena hiyena lakini uongozi wa juu wanakuja kupewa akina Chura walioingia CCM ukubwani tena wakiwa na historia ya Asylum seeking UK wakitumia Upemba wao baada ya yale machafuko ya 2001 Kwa machafuko yaliyoendeshwa na CCM.
 
Hivi unajua kuwa Urusi kwa njaa za wanasiasa wao waliiuzia Alaska US?
Danganya wasiojua historia. Kuuzwa Kwa Alaska ilikuwa ni Kwa sababu za kiusalama zaidi na effect ya vita ya Crimea.
Kulikuwa na Hali ya uingereza na ufaransa kutaka kumpora hiyo Alaska waiunganishe kwenye koloni lao la Canada.
USA alikuwa neutral state wakati huo ndo Russia Kuna kuliko kuipotezea Alaska kama walivyo ipoteza Crimea Bora kuiuza Kwa USA.
 
Umewahi kujua kwa nini Rais wa Marekani ndiye huwa anachagua rais wa World Bank mara zote na mara zote Rais wa World Bank amekuwa Mmarekani??
Umewahi kuona wapi Rais wa World Bank anateuliwa na Rais wa Marekani?
 
Hata Tanzania mwaka Jana tumetoa msaada wa bilioni kadhaa Uturuki. Je, hiyo inaamanisha kwamba Uturuki hawajimudu, na siye Tanzania ni Zaidi ya Turkey?? The answer is big NOoooo!!!

By the way ni ushahidi gani unaweza Kuthibitisha kuwa hao wanaopokea msaada ni Russia na ni kipindi kipi.

Let's be critical, vinginevyo tutabaki kushabikia na kubishania vitu ambavyo siyo authentic
 
Danganya wasiojua historia. Kuuzwa Kwa Alaska ilikuwa ni Kwa sababu za kiusalama zaidi na effect ya vita ya Crimea.
Kulikuwa na Hali ya uingereza na ufaransa kutaka kumpora hiyo Alaska waiunganishe kwenye koloni lao la Canada.
USA alikuwa neutral state wakati huo ndo Russia Kuna kuliko kuipotezea Alaska kama walivyo ipoteza Crimea Bora kuiuza Kwa USA.
Cha msingi hujakataa kuwa iliuzwa hayo mengine uliyoandika ni hekaya tu.
 
Yaan wewe kama hazikutoshi umesema ngano na alizeti alafu unauliza tena ni chakula gani, hiyo ngano na alizeti ni maturubai?
Marekani hainunui chakula chochote kutoka urusi, Marekani inazalisha karibia aina ya vyakula vyote inavyozalisha Urusi kwa kiasi cha kutosheleza mahitaji yake na kuuza nje ya nchi halafu inazalisha vyakula vingine vingi sana ambavyo Urusi haizalishi.
 
Hata Tanzania mwaka Jana tumetoa msaada wa bilioni kadhaa Uturuki. Je, hiyo inaamanisha kwamba Uturuki hawajimudu, na siye Tanzania ni Zaidi ya Turkey?? The answer is big NOoooo!!!

By the way ni ushahidi gani unaweza Kuthibitisha kuwa hao wanaopokea msaada ni Russia na ni kipindi kipi.

Let's be critical, vinginevyo tutabaki kushabikia na kubishania vitu ambavyo siyo authentic
USAID ilikuwa inatoa msaada wa maendeleo sekta mbalimbali nchini Russia tangu mwaka 1990 mpaka 2012, hiyo ni takribani miaka 20, walikuwa wanafadhili miradi ya maboresho ya mifumo ya ardhi, afya, kilimo, demokrasia n.k. Usifananishe na hayo maigizo yenu ya kujitutumua kwamba nyie ni dona kantri.
 
Umewahi kuona wapi Rais wa World Bank anateuliwa na Rais wa Marekani?
Sasa unafikiri Rais wa World Bank anapatikanaje? Ajay Banga ameteuliwa na Biden, David Malpass aliteuliwa na Trump, Jim Yong Kim aliteuliwa na Obama. US ndio majority shareholder wa World Bank na yeye ndiye anayeteua Rais wa World Bank pamoja na kuweka sera za World Bank.
 
HATA ARV WANAZOTUMIA NIZA MSAADA MAREKANI KAWEKA MKONO ILI AFRICA KILA MUATHIRIKA APATE NA BADO KUNA GREEN CARD
Walete tu maana wasipoleta hata wao wataisha. Watalii wakija huku wanabeba umeme wanaenda kuwachinja raia wenzao huko huko Marekani
 
Hizo alinacha zenu bado mnaziishi? Ndiyo maana CCM hadi leo inawatawala na huku na yenyewe ikitawaliwa.

Mnadanganyishiwa mjiunge mapema na Chama, , mnaimbishwa hiyena hiyena lakini uongozi wa juu wanakuja kupewa akina Chura walioingia CCM ukubwani tena wakiwa na historia ya Asylum seeking UK wakitumia Upemba wao baada ya yale machafuko ya 2001 Kwa machafuko yaliyoendeshwa na CCM.
mkuu upo kwenye dunia hii hii au?
 
Back
Top Bottom