econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Kwani wewe unaushahidi gani kuwa wamepewa tu Kama msaada?
Ukiona chata ya USAID ujue ni msaada.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani wewe unaushahidi gani kuwa wamepewa tu Kama msaada?
China anadai huko US mzeeMarekani anadaiwa na nani,kiasi gani?
Nchi za kikomunisti nyingi kama Urusi na North korea ni nchi masikini sana, kazi kutishia Nyukilia tu.
North Korea wakipata njaa huwa hata South Korea inawachangia maana hawana hela ya kununua chakula. Marekani na South Korea nazo huwapa chakula. Njaa haina baunsaNchi za kikomunisti nyingi kama Urusi na North korea ni nchi masikini sana, kazi kutishia Nyukilia tu.
Hilo liko hivyo, USA ni taifa no 1. lenye nguvu na ushawishi duniani.USAID NI DUDE KUBWA SANA ANGALIA LAND CRUISER ZOTEE TANZANIA NZIMA ZENYE PLATE NUMBER ZA DFP UBAVUNI ZINA NEMBO YA USAID KWA MSAADA WA WATU WA MAREKANI. HATA TAASISI ZA BENJAMIN MKAPA FOUNDATION NA JAKAYA KIKWETE FOUNDATION ZOTE ZINATOA PESA HUKO. NA SIO TANZANIA TU AFRICA NZIMA
Hayo manchi ya kidikteta yanajua kurundika silaha tu, hayajali maisha ya raia, na raia ukikisoa umekwisha.North Korea wakipata njaa huwa hata South Korea inawachangia maana hawana hela ya kununua chakula. Marekani na South Korea nazo huwapa chakula. Njaa haina baunsa
Imf na world bank sio za MarekaniUSAID, World Bank na IMF wamewahi kuwapa misaada na mikopo mingi tu Urusi mpaka mwaka 2014.
Vyovyote itavyo kua Imf na wb sio mashirika ya marekaniUmewahi kujua kwa nini Rais wa Marekani ndiye huwa anachagua rais wa World Bank mara zote na mara zote Rais wa World Bank amekuwa Mmarekani??
Hiyo chata wewe umeiyona hapo?Ukiona chata ya USAID ujue ni msaada.
We una uhakika gani kama hiyo picha ni ya urusi,,, nyie ndo mkiambiwa mtoe trigo na marekani mnatoa mchana kweupee