much know
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 11,461
- 17,183
Kama JPM alivyowajaza wasukuma awamu ile
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama JPM alivyowajaza wasukuma awamu ile
Mbona mpaka sasa Wasukuma wamejaa.Kama JPM alivyowajaza wasukuma awamu ile
Mkuu una mawazo ya ajabu sana ujue. Watu kama wewe ndiyo mnaorudisha nyuma maendeleo ya taifaLazima apongezwe na kusifiwa maana kuna wengine wakikusanya hata kuzitoa tu hawezi na badala yake abaziweka tu benki kana kwamba ni mali yake.mwingine anaanza hadi kuzitapanya hovyo hivyo kwa matumizi yasiyo na tija wala matokeo chanya katika maisha ya watanzania.wengine anafanya kama alivyofanya mobuti seseseko kujenga majumba ya kifahari Ufaransa ambayo aliyaacha yote baada ya kufariki
Nepotism
Wakati magufuli Kila nafasi nyeti akiwa wapwa zake ulishangilia au kwakuwa ulikuwa unakula nao? Tatizo kubwa la watanzania ni kuwa na watu wanafiki na wajingaNépotisme
Sasa kwanini unalilia na nepotism piga kimya acha kuchafua watuMbona mpaka sasa Wasukuma wamejaa.
JPM alipiga pesa kuliko Rais yeyote yule tangu nchi ipate uhuruKama JPM alivyowajaza wasukuma awamu ile
Na lazima watumbuliwe wote kwa sababu ni vilazaMbona mpaka sasa Wasukuma wamejaa.
Nepotism ya Mama mkwe kumpa wizara mkwe wakeSasa kwanini unalilia na nepotism piga kimya acha kuchafua watu
Unamtukana Dotto BitekoNa lazima watumbuliwe wote kwa sababu ni vilaza
Sasa ulikuwa unalalamika nini au kwakuwa mchengelwa sio msukuma? Acha ukabila na Jf sio mahala pa kufanyia cheap propagandaUnamtukana Dotto Biteko
Hilo linatosha kukuelewesha kuwa nchi ina wenyewe 🤣! Hio ni shughuli official kama ambavyo tu unaweza kwenda ofisi ya raisi ila ukienda hivyo hata getini hutapita.Kapelo, raba mkato, jinzi, shati la kuning'inia.
Mavazi ya Waziri mbele ya Rais yanaongea wazi, sijali lolote, bosi wangu mama angu, uwaziri kanipa yeye, anaulinda yeye ili binti yake alishwe, utanieleza nini....
hawajui hata kula na kipofu, kufeki kwamba tunapiga kazi, tuna heshima, tunathamini wananchi, tunaogopa mamlaka ya juu....
ujana maji ya moto
Uko sahihi kabisa. CCM yote imejaa neportism! Lakini pia kwenye hiyo CCM, kuna usultani mwingi. Watu wanapeana madaraka kwa kujuana, na pia wanarithishana vyeo kizazi na kizazi.
Ushahidi anao Binti wa mama na huyo binti ndiye anayepeleka huo ushahidi mzuri Kwa Mama.Tuwekee ushahidi wa uchapa kazi wake
Wedengereko umewasahau? usishangae akivaa singland siku mojaHuyu mchengerwa huwaga anavaa hovyohovyo tu,apelekwe chuo Cha diplomasia akafundishwe dress code
Hapo sasa !!Na mwingine kateua watoto wake wawili ni mawaziri,sio tatizo, shida ni kuwa hivi vyeo vinapatikana kwa kujuana wala sio kwa uwezo wa mhusika, kingekuwepo chombo cha mchujo wa hawa watu sidhani kama wangebahatika kupata hizo nafasi.Mfano unajua unajua tuanalisha wanaukoo wangapi wa familia ya kikwete na Mwinyi?
Mambo ya ajabu kabisaa...mtu corporate mzima ila anavaa midabwadaWedengereko umewasahau? usishangae akivaa singland siku moja
Ana sera za kikomunisti, watu wote eti mvae uniform kama zile' Kaunda suti' kuonyesha uzalendo' badala ya kupima utendaji kazi wa mtu....bado Tz safari ni ndefu...Naelewa vizuri ila Dunia imeshatoka huko Mtu anavaa decent clothes na sio hayo mambo yenu ya kizamani Mtu kuvaa kapelo kuna kosa gani ??
That is way tuko nyuma hatuna content upstairs za kujadili Taifa la wadangaji