Uchaguzi 2020 Hii ratiba ya Tundu Lissu mikoa ya Ruvuma, Dodoma, Singida, Moshi, Tanga na Dsm kwa siku 3 ina baraka za NEC?

Uchaguzi 2020 Hii ratiba ya Tundu Lissu mikoa ya Ruvuma, Dodoma, Singida, Moshi, Tanga na Dsm kwa siku 3 ina baraka za NEC?

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Nimemsikia Tundu Lissu kupitia East Africa Radio kwamba leo ataendelea na kampeni mkoani Ruvuma kisha wataelekea Dodoma, Singida, Kilimanjaro, Tanga na kumalizia Dsm siku ya mwisho.

Nauliza tu ratiba hii ya mikoa 6 ndani ya siku 3 ina baraka za NEC?

Nawatakia Sabato yenye baraka.

Maendeleo hayana vyama!
 
Mwacheni Lisu azunguke hata nchi nzima kwa siku huku akibwatuka atakavyo maana kufanya hivyo ni sehemu ya matibabu ya kisaikolojia kwa yaliyomkuta.
 
Kwa ninavyojua wasabato, sasa hivi unatakiwa kuzima simu ila wewe unachungulia mitandaoni 😁 kweli uchaguzi huu umedhamilia 😂😂!

Happy Sabbath to you all.
Mambo ni moto bwashee...... Tundu Lisu amesahau nini Kilimanjaro?
 
Mwacheni Lisu azunguke hata nchi nzima kwa siku huku akibwatuka atakavyo maana kufanya hivyo ni sehemu ya matibabu ya kisaikolojia kwa yaliyomkuta.
Wazo wako sio baya ni wazi adimu kutoka Buku sevens
 
Back
Top Bottom