Uchaguzi 2020 Hii ratiba ya Tundu Lissu mikoa ya Ruvuma, Dodoma, Singida, Moshi, Tanga na Dsm kwa siku 3 ina baraka za NEC?

Uchaguzi 2020 Hii ratiba ya Tundu Lissu mikoa ya Ruvuma, Dodoma, Singida, Moshi, Tanga na Dsm kwa siku 3 ina baraka za NEC?

Kufanya kampeni bila mpangilio wowote ni dalili ya kushindwa tayari,

Jamaa hawajui wafanye nini kuongeza nafasi ya kushinda wanashika kila kitu na kukiacha.

Kinachofuatia ni kichapo heavy.
 
Bila Lisu kutukana na ku bwabwaja ingekuja kumletea tabu siku za usoni ana mlima wa hasira miyoni ndio maana mamlaka zinamwacha azungumze hovyo ili akili yake ikae sawa.
 
Mamko umemuuliza anasemaje hapo?
Nimemsikia Tundu Lissu kupitia East Africa Radio kwamba leo ataendelea na kampeni mkoani Ruvuma kisha wataelekea Dodoma, Singida, Kilimanjaro, Tanga na kumalizia Dsm siku ya mwisho.

Nauliza tu ratiba hii ya mikoa 6 ndani ya siku 3 ina baraka za NEC?

Nawatakia Sabato yenye baraka.

Maendeleo hayana vyama!
 
Mimi wala sitakutukana bwashee, lakini nitasema kile nijuacho kwa mujibu wa utaratibu..

Jibu ni NDIYO, ina baraka zote za NEC..

Kwa sababu maswala ya uratibu wa kampeni za wagombea Urais wa vyama vyote uko chini ya Tume ya uchaguzi - taifa yenyewe..

Haiwezekani mgombea Urais kwenda sehemu yoyote bila ya ratiba kumruhusu kwenda huko..

Ila kuna hili, kwamba, kama mgombea Urais anataka kwenda sehemu ambako hana ratiba ya kuwa huko, basi utaratibu unamtaka aitaarifu NEC..

Ikitokea hakuna mgombea mwingine kwenye ratiba (NEC overall presidential campaign general timetable) katika eneo la mkoa huo, hapatakuwa na shida, NEC itampa go ahead mgombea huyo..
Ila somanga aliawaandikia barua wakampiga mabomu
 
Aisee mwaka huu kazi sana
dodoma_zone_-___CGs2caAgp-T___-.jpg
 
Hata atembee kila mtaa CHADEMA ni kama DECI tuu

CCM - Lowasa huwezi gombea urais, mwache Jakaya apeperushe bendera ya chama chetu. Lowasa atakua waziri mkuu👍

CHADEMA - Jakaya dhaifu, tunataka rais mwenye maamuzi magumu😍
- Lowasa fisadi tena fisadi papa. Ajiuzuluuuuu aondokeeee hatufaiiiii anauza nchiiii😍😍

CCM - Jakaya anamaliza muda wake, Lowasa anataka kupeperusha bendera lakini hatufai... hata kama wajumbe wamempitisha kwa maslahi mapana ya taifa na kwa vizazi vijavyo tumkate Lowasa tumpe John Pombe Magufuli😁👍

CHADEMA - Lowasa ni kiongozi shupavu sana. Inabidi tumwombe ahamie kwetu, tumpe nafasi agombee urais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania. Tena atakuja na mtaji wa watu na pesa. Tutashinda🤔👎

CCM - John Pombe Magufuli ameshinda na ndie rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania😍🍹🍸💃👍

CHADEMA - John Pombe Magufuli hafai, hashauriki, ana maamuzi magumu sanaaaa😆👎

CCM - Tanzania ni tajiri sana,wananchi tuchape kazi.Tujenge mashule, mahospitali, barabara,viwanda👍

CHADEMA - Serikali haijali wananchi. Serikali inajali maendeleo ya vitu na sio watu👎

CCM - Bila kuijenga madarasa watoto wetu watasoma wapi, bila hospitali mtatibiwa na bila bararabara mtapita wapi. Hakuna maendeleo ya vitu bila watu👍

CHADEMA - Tutawasemea kwa Amstadam mnatuonea, tutamwambia hatutaki barabara, wala mahospitali, wala mashule wala viwanda. Sisi tunataka maendeleo ya watu🤣👎👎

WATANZANIA - Nyie CHADEMA msituchezee, mmetuona watoto wadogoooo. Tunasema 5tena kwa John Pombe Magufuli tarehe 28.10.2020. Hakuna wa kumshinda Magufuli😍🇹🇿😍👍👍👍👍

Heri kujiunga DECI kuliko kujiunga chadema
 
Ila somanga aliawaandikia barua wakampiga mabomu
Wilson Mahera katika taarifa yake kulifafanua hilo alikiri kupokea barua ya Tundu Lissu..

Akasema walikuwa hawajamruhusu kwa sababu ndiyo tu alikuwa na kikao na wagombea wa vyama vingine kujadili mabadiliko hayo ya ratiba na kisha wangeona ama wamruhusu au la..

Yaani NEC na CCM ni full kutapa tapa kumwokoa na kushindwa Jiwe..!

Ndiyo maana wakaamuru wananchi waliokwisha kufika mkutanoni watawanywe kwa kupigwa kwa mabomu..!!
 
Lissu azidi kukata mbuga huko Songea NECCCM wamebana wameachia
 
Msaliti wa Nchi hana nafasi Tanzania akatukane ubeligiji

Pia Tanzania hatutaki ushoga,
 
Back
Top Bottom