johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #21
Ndio maana nimeuliza bwashee.Kwani hairuhusiwi?
Kule Simiyu ratiba ziliingiliana jamaa wa Nccr mageuzi wakadundwa na wale wa CCM!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio maana nimeuliza bwashee.Kwani hairuhusiwi?
Hahahaaaa...... Amenogewa na chopa!Tulia akafute nyayo za uchwara, hivi Mbeya tayari eeh?
Tunajali bwashee!
Huko Machame si juzi tu alikuwepo na shehe Ponda?
Hemu ndio nini?Hemu angalia maeneo unayoshi kama waweza pata head scan service
Huyu ni chumaa,si NEC walimpangia ratiba ya kumkomoa?Nimemsikia Tundu Lissu kupitia East Africa Radio kwamba leo ataendelea na kampeni mkoani Ruvuma kisha wataelekea Dodoma, Singida, Kilimanjaro, Tanga na kumalizia Dsm siku ya mwisho.
Nauliza tu ratiba hii ya mikoa 6 ndani ya siku 3 ina baraka za NEC?
Nawatakia Sabato yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!
Huy
Aliwaambia nitarudi.Mambo ni moto bwashee...... Tundu Lisu amesahau nini Kilimanjaro?
Haya bhana!Huyu ni chumaa,si NEC walimpangia ratiba ya kumkomoa?
Yeye kafanya na anaweza kupita arusha na manyara kusalimia
Wewe mbwiga ndio unawaza mume muda wote.....golikipa!Ndio maana nimeuliza bwashee.
Kule Simiyu ratiba ziliingiliana jamaa wa Nccr mageuzi wakadundwa na wale wa CCM!
Nimekuelewa mkuu!Lazima haina baraka
Wachaga wanapenda kushangaa chopa.Aliwaambia nitarudi.
Dar washamba wengi watajazana kuifata chopa.Dar ili mdhalilisha sana Lisu, sijui Kama ata thubutu kurudi. Maana ata mikutano aliyofanyia vichochoroni ilikosa wasikilizaji.
Wewe ni kimaNimemsikia Tundu Lissu kupitia East Africa Radio kwamba leo ataendelea na kampeni mkoani Ruvuma kisha wataelekea Dodoma, Singida, Kilimanjaro, Tanga na kumalizia Dsm siku ya mwisho.
Nauliza tu ratiba hii ya mikoa 6 ndani ya siku 3 ina baraka za NEC?
Nawatakia Sabato yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!
Wewe ni maki!Wewe ni kima
Haja kubwa zimeshaanza kugonga nguo za ndaniNimemsikia Tundu Lissu kupitia East Africa Radio kwamba leo ataendelea na kampeni mkoani Ruvuma kisha wataelekea Dodoma, Singida, Kilimanjaro, Tanga na kumalizia Dsm siku ya mwisho.
Nauliza tu ratiba hii ya mikoa 6 ndani ya siku 3 ina baraka za NEC?
Nawatakia Sabato yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!