Cherenganya
JF-Expert Member
- Jan 21, 2018
- 2,309
- 1,785
Tumuongezee pua uongozi wa CHADEMA wakristo 90%Uongozi Huu unakusanya nauli za kwenda wapi? Uongozi wa CCM wakiristo >>>> 78.9%
ikiwa huu ni makka?
Uongozi wa ACT Wazalendo Waislamu >>>>> 79%
Uongozi wa ACT Wazalendo
Waislamu >>>>> 79%
UMEJIFUNZIA WAPI KUTUKANA WATU KWA MUJIBU WA DINI YAO?
Maana,huna sababu ya kuita watu kuwa na akili finyu, eleza basi kwa lipi akili zetu ni finyu?
Mana tunagusagwa na Tuhuma yako hiyo.
CCM hawatawali Kwa wingi wa kura ila Kwa nguvu za dola pamoja na madhaifu ya upinzani, CCM ni MUMIANI wananchi wanalitambua hiloKwa Unafiki na Upuuzi uilioko huko Upinzani sioni aibu wala uwoga kusema kwamba kuna uwezekano CCM ikatawala mpaka pale Yesu Kristo atakapokuja tena au Dunia ikipinduka. Udhaifu na Uzandiki wa Wapinzani nchini Tanzania ndiyo Mafanikio ya Kudumu ya CCM. Kama kuna Wapinzani watakuja Kuitawala Tanzania basi labda ni baada ya Miaka Elfu Hamsini ( 50,000 ) ijayo.
Najua unajibalaguza tu ila unajua kwanini hasa nasema mnatuogopa... Achilia mbali hayo mafungu ya watu wenye itikadi fulani mnaoziita dini! Uislam ni zaidi ya dini kwa kua ni MFUMO KAMILI WA MAISHA YA BINADAMU HAPA DUNIANI NA HUKO AKHERA.Huyo Babu yako alikueleza maelezo ambayo yanapingana yenyewe!
Yaani mtu anakuzidi kila kitu halafu eti tena akuogope kwa sababu una uwezo anautamani! Ni sawa na kusema mtu tajiri lakini anautamani umasikini wako!
You must be out of your mind!
Kumbe wewe zuzu eeh!Mkuu;
Orodha ya viongozi wa CHADEMA ina uhusiano gani na viongozi wa ACT-Wazalendo!
Cheo cha makamu Zanzibar kilifutwa? Ni najua yupo makamu bara na makamu zanzibar!Weka ya NCCR Mageuzi na TLP kwanza
Ngoja nikusaidie ya Chadema
1. Mwenyekiti - Freeman Aikael Mbowe
2. Makamu Mwenyekiti - Tundu Antipas Lissu
3. Katibu mkuu - John Mnyika
4. Naibu katibu mkuu Bara - Benson Kigaila
5.Naibu Katibu mkuu zenji - Salum Mwalimu
6. Mwenyekiti Bavicha - John Pambalu
Viongozi wa Kanda
1. Peter Msigwa - Nyasa
2. Ezekia Wenje - Victoria
3. Godbless Lema - Kaskazini
4. Lazaro Nyalandu - Kati
Msemaji
John Mrema
Mimi wala sihesabu idadi ya viongozi! Kwangu mimi wawe wakristo wote au waislam wote hakuna shida kabisa. Tatizo ni namna chama kinavyojitangaza hadharani na kwa kisiri. Tuliona CUF ilivyokuwa inasambazwa misikitini. Na hii Wazalendo nayo inafuata mkumbo ule ule.
Ila Mbowe hanao huo udini? Hiyo CCM haina huo udini? Au kwa tafsiri yenu safu ikiwa na Waislamu wengi ndio Udini ila ikiwa na wakristo huo sio udini!Unaweza kuona ni propaganda lakini kuna wengi hawaoni hivyo. Ni kweli siyo tuhuma mpya lakini bado zina uzito. Chama cha CUF kabla ya kujiunga na UKAWA kilivutia sana waislam. Na siyo propaganda ila ndiyo ukweli wenyewe. ATC wazalendo nayo kiongozi wao Zitto ni mtu mwenye udini sana japo anafanya kwa kisiri. Mashabiki wa ATC wanaweza wakasema ni propaganda lakini kuna watu wengi wanaona ukweli fulani kwenye tuhuma.
Sasa nini kwani bloo angu we si unatulazimisha na kutuaminisha kwamba Zitto na ACT yake kuna udini Leta safu ya Viongozi wa CHADEMA na CCMMkuu;
Hata wewe unaweza kuiweka!
Dr. Ramadhan Dau pale NSSF alijitahidi kuweka uwiano wenye weledi mkapiga yowe dunia ikajua. Ukienda Wizara na idara zote unazozijua wewe kisha leta uwiano kati ya wakristo na waislam.Swali la Msingi:
Kwanini Taasisi ikiwa na Wakristo asilimia 95% haionekani kuwa ni ya Kidini na inaonekana kuwa ni saw a tu!
Lakini Taasisi kama hiyo ikiwa na asilimia 70% tu ya Waislamu inaonekana kuwa ni ya Kidini?
Ukiangalia CHADEMA:
Katika Wabunge wake wote hesabu WAKRISTO ni wangapi na WAISLAMU ni Wangapi?
Angalia Viongozi kuanzia M/Kiti, Katibu Mkuu, Msemaji, na Viongozi wengine wa Ngazi zote kuanzia mpaka Mikoa, Wilaya, Kata na Vijiji! Angalia Viongozi wa BAVICHA kwa Ngazi zote.
Halafu jiulize je Waislamu ni Wangapi? Na Waktristo ni Wangapi?
Je yupo aliyehoji kuwa CHADEMA ni Chama cha Wakristo?
Kwanini inapotokea Waislamu kuwa wengi Kwenye Chama au Taasisi yoyote ile munakimbilia kuhoji kuwa Chama/Taasisi hiyo ni ya Waislamu?
Wakati ZZK anahamia ACT aliungwa Mkono na Wanakigoma ambao wengi wanajuilikana kuwa ni Waislamu! Je alipaswa awakatae ili abalance Chama?
Zanzibar asilimia 99% ya watu wake ni Waislamu! Je ilipaswa Wazanzibari Wakodi Wakristo kutoka Kilimanjaro kwenye Vyama vyao ili wabalance nafasi za Uongozi?
Tuacheni propaganda za kudhoofisha wengine, ZZK nayeye ana haki ya kuwa mwanasiasa sio kwakuwa ameondoshwa Chadema ndiyo muanze kumuandama kila uchwao.
Kaka hawa ndugu zetu wanaroho mbaya ya udini sana mfano sasa hivi Magufuli teuzi kibaoo ni wakristo lakin hakuna shida ila kipindi cha jk kuteuwa waislam kiasi tu povu kweli mfumo kristo unasumbua sana hata wasomi wengi wananasa kwenye huu mtego wamtazamo wadini hasa hawa wenzetu
Sent using Jamii Forums mobile app
Nabii adamu mpaka nabii mohamed wote walikuwa waislamu manabii wote walikuwa waislamu sio wakristo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mfano Mdogo katika Ofisi/Idara ninayoifanyia Kazi kwenye Halmashauri X tumo Waislamu 2 na Wakristo 21.
Sasa unakuta Mtu anafungua Kwaya kwenye PC au Simu wengine wanafatisha Mistari.
Pia wanaweka Clips za Wachungaji mbalimbali na kusikiliza kwa Loud Speaker.
Lakini itokezee wewe Muislamu ufungue ile Kasida tu Basi Ofisi inasima kwa muda na kukuambia usilete mambo ya Udini Ofisini.
Sasa Nchi linapotokeza Jina la Muislamu tu ndiyo shida inapoanza.
Halmashauri ninayoifanyika Kazi.
NGAZI YA MKOA:
1) RC - Mkristo (RC)
2) RAS - Mkristo (RC)
3) Mkuu PCCB - Mkristo (RC)
4) RPC - Mkristo (RC)
5) RMO - Mkristo (RC)
6) RSO - Mkristo (TAG)
8) Mwenyekiti CCM - Mkristo (RC)
9) Mwenyekiti Chadema - Mkristo (RC)
NGAZI YA HALMASHURI:
1) DC - Mkristo (RC)
2) DAS - Mkristo - (RC)
3) DSO - Mkristo - (RC)
4) DED - Mkristo (Lutheran)
5) Mkuu PCCB - Mkristo (RC)
6) OCD - Mkristo (RC)
7) DMO - Mkristo (RC)
8) Mwenyekiti Chadema - Mkristo (RC)
9) Mwenyekiti CCM - Muislamu (Bakwata)
Sasa hapo hakuna anayehoji kuhusu Udini hapo na kila Mtu anaona ipo sawa.
Lakini inapokuja kwenye huyo M/Kiti CCM Wilaya imekuwa ugomvi kila siku Majungu.
Kuna Wakati DAS alikuwa Muislamu walifanya Fitna mpaka akaondolewa.
Yani Jamaa wanahisi Muislamu hana haki ya kuwepo popote pale! Na Akiwepo tu wanatafsiri ni Udini.
Ok, hebu tuzame zaidi. Hivi, Udini ni kuwa na watu wengi wa dini fulani, au ni mwelekeo wa fikra? Kwa Zanzibar, idadi kubwa ya wakazi ni waislamu, hivyo haishangazi kwamba chama chenye ushawishi mkubwa Zanzibar, viongozi wengi ni waislamu. Lakini haimaanishi kwamba kwa hoja hiyo tu, chama hicho kina Udini. Katika viongozi wa CCM Zanzibar sidhani kama kuna mkristo, sina hakika.Unaweza kuona ni propaganda lakini kuna wengi hawaoni hivyo. Ni kweli siyo tuhuma mpya lakini bado zina uzito. Chama cha CUF kabla ya kujiunga na UKAWA kilivutia sana waislam. Na siyo propaganda ila ndiyo ukweli wenyewe. ATC wazalendo nayo kiongozi wao Zitto ni mtu mwenye udini sana japo anafanya kwa kisiri. Mashabiki wa ATC wanaweza wakasema ni propaganda lakini kuna watu wengi wanaona ukweli fulani kwenye tuhuma.
Act wazalendo imejaa viongozi waandamizi wa kiislamu wote kwahili zito kabwe kachemka mno.ACT ni mbadala wa CufNimeisoma hii safu ya Viongozi wa ACT-Wazalendo ikanifikirisha sana kuhusu hatma ya ACT-Wazalendo kama chama kinachojiandaa kupewa dola nchini baaya ya Uchaguzi Mkuu 2020!
Kuna msemo usemao, ‘’Mwenye macho haambiwi tazama’’. Nimeitazama hii orodha ya viongozi wa juu na kuniacha na maswali mengi!
Ifuatayo ni orodha ya viongozi wa ngazi ya juu wa ACT-Wazalendo;
Kiongozi Mkuu wa ACT-Wazalendo-Zitto Kabwe
Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo-Maalim Seif
Mshauri Mkuu wa chama-Shaban Mambo na Juma Saanani
Katibu Mkuu na Naibu Katibu Mkuu-Ado Shaibu na Nassoro Ahmed Mazrui.
Wakuu wa Idara na Jumuiya za chama:
Mwenyekiti ngome ya wanawake- Mrs Mkiwa Kimwanga
Mwenyekiti wa ngome ya Vijana-Abdul Nondo
Idara ya Sera, Utafiti na Mafunzo-Idrissa Kowesa na Hassan Mosoud
Idara ya Habari na Mahusiano ya Umma-Salim Bimani
Idara ya Oganaizesheni na wanachama-Shaweji Mkato na Omari Ali Shehe
Idara ya Fedha na Uchumi-Abdalla Bakari na Rachel Kimambo
Idara ya Kampeni na Uchaguzi-Mohamed Masaga na Said Rashid
Idara ya Haki za Binadamu na Makundi Maalum-Pavu Abdalla na Mbarara Maharagande
Idara ya Amani-Mohamed Babu na Mohamed Noor
Idara ya Mambo ya Nje-Fatma Fereji na Boniface Mapunda
Idara ya Bunge, Baraza la Wawakilishi na Serikali za Mitaa-Hamad Mussa Yusuf na Edgar Mkosamari.
Je, wana Jamiiforums mnayaona haya ninayoyaona katika hii safu ya viongozi wa chama?
Nimeisoma hii safu ya Viongozi wa ACT-Wazalendo ikanifikirisha sana kuhusu hatma ya ACT-Wazalendo kama chama kinachojiandaa kupewa dola nchini baaya ya Uchaguzi Mkuu 2020!
Kuna msemo usemao, ‘’Mwenye macho haambiwi tazama’’. Nimeitazama hii orodha ya viongozi wa juu na kuniacha na maswali mengi!
Ifuatayo ni orodha ya viongozi wa ngazi ya juu wa ACT-Wazalendo;
Kiongozi Mkuu wa ACT-Wazalendo-Zitto Kabwe
Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo-Maalim Seif
Mshauri Mkuu wa chama-Shaban Mambo na Juma Saanani
Katibu Mkuu na Naibu Katibu Mkuu-Ado Shaibu na Nassoro Ahmed Mazrui.
Wakuu wa Idara na Jumuiya za chama:
Mwenyekiti ngome ya wanawake- Mrs Mkiwa Kimwanga
Mwenyekiti wa ngome ya Vijana-Abdul Nondo
Idara ya Sera, Utafiti na Mafunzo-Idrissa Kowesa na Hassan Mosoud
Idara ya Habari na Mahusiano ya Umma-Salim Bimani
Idara ya Oganaizesheni na wanachama-Shaweji Mkato na Omari Ali Shehe
Idara ya Fedha na Uchumi-Abdalla Bakari na Rachel Kimambo
Idara ya Kampeni na Uchaguzi-Mohamed Masaga na Said Rashid
Idara ya Haki za Binadamu na Makundi Maalum-Pavu Abdalla na Mbarara Maharagande
Idara ya Amani-Mohamed Babu na Mohamed Noor
Idara ya Mambo ya Nje-Fatma Fereji na Boniface Mapunda
Idara ya Bunge, Baraza la Wawakilishi na Serikali za Mitaa-Hamad Mussa Yusuf na Edgar Mkosamari.
Je, wana Jamiiforums mnayaona haya ninayoyaona katika hii safu ya viongozi wa chama?