Msitutoe kwenye reli. Kazi yetu ni kumng'oa mkoloni mweusi. Hii ni safu njema isiyonunulika.Nimeisoma hii safu ya Viongozi wa ACT-Wazalendo ikanifikirisha sana kuhusu hatma ya ACT-Wazalendo kama chama kinachojiandaa kupewa dola nchini baada ya Uchaguzi Mkuu 2020!
Kuna msemo usemao, ‘’Mwenye macho haambiwi tazama’’. Nimeitazama hii orodha ya viongozi wa juu na kuniacha na maswali mengi!
Ifuatayo ni orodha ya viongozi wa ngazi ya juu wa ACT-Wazalendo;
Kiongozi Mkuu wa ACT-Wazalendo-Zitto Kabwe
Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo-Maalim Seif
Mshauri Mkuu wa chama-Shaban Mambo na Juma Saanani
Katibu Mkuu na Naibu Katibu Mkuu-Ado Shaibu na Nassoro Ahmed Mazrui.
Wakuu wa Idara na Jumuiya za chama:
Mwenyekiti ngome ya wanawake- Mrs Mkiwa Kimwanga
Mwenyekiti wa ngome ya Vijana-Abdul Nondo
Idara ya Sera, Utafiti na Mafunzo-Idrissa Kowesa na Hassan Mosoud
Idara ya Habari na Mahusiano ya Umma-Salim Bimani
Idara ya Oganaizesheni na wanachama-Shaweji Mkato na Omari Ali Shehe
Idara ya Fedha na Uchumi-Abdalla Bakari na Rachel Kimambo
Idara ya Kampeni na Uchaguzi-Mohamed Masaga na Said Rashid
Idara ya Haki za Binadamu na Makundi Maalum-Pavu Abdalla na Mbarara Maharagande
Idara ya Amani-Mohamed Babu na Mohamed Noor
Idara ya Mambo ya Nje-Fatma Fereji na Boniface Mapunda
Idara ya Bunge, Baraza la Wawakilishi na Serikali za Mitaa-Hamad Mussa Yusuf na Edgar Mkosamari.
Je, wana Jamiiforums mnayaona haya ninayoyaona katika hii safu ya viongozi wa chama?
| Palamagamba Kabudi MP |
Nimeisoma hii safu ya Viongozi wa ACT-Wazalendo ikanifikirisha sana kuhusu hatma ya ACT-Wazalendo kama chama kinachojiandaa kupewa dola nchini baada ya Uchaguzi Mkuu 2020!
Kuna msemo usemao, ‘’Mwenye macho haambiwi tazama’’. Nimeitazama hii orodha ya viongozi wa juu na kuniacha na maswali mengi!
Ifuatayo ni orodha ya viongozi wa ngazi ya juu wa ACT-Wazalendo;
Kiongozi Mkuu wa ACT-Wazalendo-Zitto Kabwe
Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo-Maalim Seif
Mshauri Mkuu wa chama-Shaban Mambo na Juma Saanani
Katibu Mkuu na Naibu Katibu Mkuu-Ado Shaibu na Nassoro Ahmed Mazrui.
Wakuu wa Idara na Jumuiya za chama:
Mwenyekiti ngome ya wanawake- Mrs Mkiwa Kimwanga
Mwenyekiti wa ngome ya Vijana-Abdul Nondo
Idara ya Sera, Utafiti na Mafunzo-Idrissa Kowesa na Hassan Mosoud
Idara ya Habari na Mahusiano ya Umma-Salim Bimani
Idara ya Oganaizesheni na wanachama-Shaweji Mkato na Omari Ali Shehe
Idara ya Fedha na Uchumi-Abdalla Bakari na Rachel Kimambo
Idara ya Kampeni na Uchaguzi-Mohamed Masaga na Said Rashid
Idara ya Haki za Binadamu na Makundi Maalum-Pavu Abdalla na Mbarara Maharagande
Idara ya Amani-Mohamed Babu na Mohamed Noor
Idara ya Mambo ya Nje-Fatma Fereji na Boniface Mapunda
Idara ya Bunge, Baraza la Wawakilishi na Serikali za Mitaa-Hamad Mussa Yusuf na Edgar Mkosamari.
Je, wana Jamiiforums mnayaona haya ninayoyaona katika hii safu ya viongozi wa chama?
Hakipo Kama kipo akitaje mi naona hiyo Safu ya act iko powaKwani kuna chama cha siasa kilicho balance dini miongoni mwao hapa Tanzania?
Mkuu;
Mkuu;Mkuu tuwekee ya chadema
Akili zako ziko.....Nabii adamu mpaka nabii mohamed wote walikuwa waislamu manabii wote walikuwa waislamu sio wakristo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Akiiweka itakua ni zaidi ya hii ya actMkuu;
Hata wewe unaweza kuifanya hiyo kazi!
Wewe umeona nini kwenye safu ya viongozi wa juu wa ACT-Wazalendo!Tatizo ni mkiwa nusu kwa nusu mkiungana na Wazanzibar lazima muone mnavyoona na ukichanganya na ISLAMOPHOBIA ndio balaa huenda na vyama vingine vipo hivyohivyo kwa upande wa dini zingine.
.Akiiweka itakua ni zaidi ya hii ya act
Ili kutimiza matakwa yako, Umemtaja MShauri Mkuu na kumuacha Makamo Mwenyekiti Bara Mama Dorothy Semu!!Umemuacha Naibu Katibu Mkuu Bara Ndugu Joram Lehwabura Bashange na Kumtaja Naibu Katibu Mkuu Znz Ndugu Nassoro Mazrui ! Unashangaza SanaNimeisoma hii safu ya Viongozi wa ACT-Wazalendo ikanifikirisha sana kuhusu hatma ya ACT-Wazalendo kama chama kinachojiandaa kupewa dola nchini baada ya Uchaguzi Mkuu 2020!
Kuna msemo usemao, ‘’Mwenye macho haambiwi tazama’’. Nimeitazama hii orodha ya viongozi wa juu na kuniacha na maswali mengi!
Ifuatayo ni orodha ya viongozi wa ngazi ya juu wa ACT-Wazalendo;
Kiongozi Mkuu wa ACT-Wazalendo-Zitto Kabwe
Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo-Maalim Seif
Mshauri Mkuu wa chama-Shaban Mambo na Juma Saanani
Katibu Mkuu na Naibu Katibu Mkuu-Ado Shaibu na Nassoro Ahmed Mazrui.
Wakuu wa Idara na Jumuiya za chama:
Mwenyekiti ngome ya wanawake- Mrs Mkiwa Kimwanga
Mwenyekiti wa ngome ya Vijana-Abdul Nondo
Idara ya Sera, Utafiti na Mafunzo-Idrissa Kowesa na Hassan Mosoud
Idara ya Habari na Mahusiano ya Umma-Salim Bimani
Idara ya Oganaizesheni na wanachama-Shaweji Mkato na Omari Ali Shehe
Idara ya Fedha na Uchumi-Abdalla Bakari na Rachel Kimambo
Idara ya Kampeni na Uchaguzi-Mohamed Masaga na Said Rashid
Idara ya Haki za Binadamu na Makundi Maalum-Pavu Abdalla na Mbarara Maharagande
Idara ya Amani-Mohamed Babu na Mohamed Noor
Idara ya Mambo ya Nje-Fatma Fereji na Boniface Mapunda
Idara ya Bunge, Baraza la Wawakilishi na Serikali za Mitaa-Hamad Mussa Yusuf na Edgar Mkosamari.
Je, wana Jamiiforums mnayaona haya ninayoyaona katika hii safu ya viongozi wa chama?
Kigango Maana huyo Bashiru yupo km Tai inaweza kuondolewa isiharibu showIfuatayo ni orodha ya viongozi wa ngazi ya juu wa Chama Cha Mapinduzi;
Mwenyekiti wa CCM- John Pombe Magufuli
Makamu Mwenyekiti Bara- Phillips Mangula
Makamu Mwenyekiti Visiwani- Mohamed Shein
Katibu Mkuu CCM - Bashiru Ally
Naibu Katibu Mkuu Bara- Rodrick Mpogolo
Naibu Katibu Mkuu Visiwani - Abdalla Mabodi
Mkuu wa Itikadi na Uenezi - Humphrey Polepole
Itikadi na Uenezi Zanzibar- Catherine Peter
Mwenyekiti UVCCM Taifa- Henry James
Katibu Mkuu CCM Taifa- Mwalimu Raymond
Katibu Mkuu Uhusiano wa Kimataifa - Ngemela Eslom Lubinga
Katibu Taifa, Masuala ya Uchumi na Fedha - Frank Haule
Mwenyekiti Jumuiya ya Wazazi- Edmund Mndolwa
Mwenyekiti UWT Taifa- Gaudensia Kabaka
Naona kigango cha parokia ya Lumumba kimekamilika. Paroko Pole Pole anakula tu kitimoto hadi amevimbiwaIfuatayo ni orodha ya viongozi wa ngazi ya juu wa Chama Cha Mapinduzi;
Mwenyekiti wa CCM- John Pombe Magufuli
Makamu Mwenyekiti Bara- Phillips Mangula
Makamu Mwenyekiti Visiwani- Mohamed Shein
Katibu Mkuu CCM - Bashiru Ally
Naibu Katibu Mkuu Bara- Rodrick Mpogolo
Naibu Katibu Mkuu Visiwani - Abdalla Mabodi
Mkuu wa Itikadi na Uenezi - Humphrey Polepole
Itikadi na Uenezi Zanzibar- Catherine Peter
Mwenyekiti UVCCM Taifa- Henry James
Katibu Mkuu CCM Taifa- Mwalimu Raymond
Katibu Mkuu Uhusiano wa Kimataifa - Ngemela Eslom Lubinga
Katibu Taifa, Masuala ya Uchumi na Fedha - Frank Haule
Mwenyekiti Jumuiya ya Wazazi- Edmund Mndolwa
Mwenyekiti UWT Taifa- Gaudensia Kabaka
Natumaini viongozi wa ACT-Wazalendo watajibu maswali yako!Mbona kama safu ya uongozi wa taasisi ya kidini?
Hivi ACT hakuna wakristo huko?
Sent using Jamii Forums mobile app