Hii safu ya viongozi wa ACT-Wazalendo inafikirisha sana!

Mungu hakika.amesema kweli hakika makafiri kutokana na chuki zao dhidi ya waislamu yale wanayoyasema dhid yao n madogo mno kuliko yale waliyoyaficha ktk vifua vyao .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukisajili majina makubwa si ndio hao kesho wanakutema wanaunga mkono juhudi, ni kuanza grass-roots level. Tunakuza wachezaji kama Arsenal wakiboreka tutauza kwa hela kubwa.
 
Umerudia kusoma kwa sauti na kimya kimya hiki ulichokiandika!!?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
This is too low for you johnthebaptist
Hivi kwa nini wafuasi na watetezi wa CCM na serikali yake wa awamu hii mko hivi!?
Sitaki kuamini kuwa CCM ya sasa imechukua "millenials" ambao ni "empty" vichwani. Ninachoamini ni kuwa CCM inawatumia masikini kama mtaji wake wa kuendelea kuwa madarakani.
Hahahaaaa........au aanzishe kabakwata kake!
Zaburi 1:1
" Heri Mtu Yule Asiye Kwenda Katika Shauri La Wasio Haki, Wala Hakusimama Katika Njia Ya Wakosaji, Wala Hakuketi Barazani Pa Wenye Mizaha, Bali Sheria Ya Bwana Ndiyo Impendezayo, Na Sheria Yake Huitafakari Mchana Na Usiku, Nae Atakuwa Kama Uliopandwa Kandokando Ya Vijito Vya Maji Uzaao Matunda Yake Kwa Majira Yake Wala Jani Lake Halinyauki, Na Kila Alitendalo Litafanikiwa.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mungu akubariki mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ngumu sana kuliona hili,ukanda,udini ila nafikiri pia mleta mada una tatizo katika mtazamo wako...
Mimi nilichofanya ni kuuliza maswali!

Kama unadhani nina tatizo basi naomba ulitatue!
 
NiliwahI kutabiri way back 2013 humu kuwa ujio wa Rais mkristo wa awamu ya 5 utaiua CHADEMA! Na hicho ndicho kinachotokea sasa. Nguvu kubwa ya CHADEMA ilikuwa upinzani dhidi ya KIKWETE ( dini yake) na sio CCM! No wonder jumuia za makanisa zilikuwa mstari wa mbele katika upinzani huo lakini sasa WAMETULIA wanakula mema ya nchi na kelele za UDINI zimeisha ilhali DINI moja ndio imeshika hatamu! Matokeo yake (i) kudhoifika kwa CHADEMA (ii) KUIMARIKA kwa CMM ...

Ni ajabu hata "wanafikra" wetu wa JF wameingia katika mtego huu. Amin nawaambia, kwa kuituhumu ACT kuhusiano UDINI anayedhoofika ni CHADEMA, maana Wakristo watapigia kura Serikali kama kawaida, baadhi ya Waislam mtawasukuma ACT, wanaobaki wanapigia kura CCM!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…