Ila nakumbuka hichi chama cha Muslim Brotherhood cha kule misri kilikuja kutangazwa ni chama cha kigaidi na kilifutiliwa mbali na wanachama wake walikamatwa kwa kujihusisha na ugaidi.Hawa Christian's partyView attachment 1406324
Tunazungumzia siasa za Tanzania usilete usukule wako kutupeleka misri dadaIla nakumbuka hichi chama cha Muslim Brotherhood cha kule misri kilikuja kutangazwa ni chama cha kigaidi na kilifutiliwa mbali na wanachama wake walikamatwa kwa kujihusisha na ugaidi.
Kama upo huko kwenye hicho chama toka na ukimbie sana, ohooo
Kuna mzee Mmoja mkristo amekimbia leo jioni ameona tabu kuzungukwa na mashekhe na al kasusi kila sikuSasa kama hawakupatikana wagombea zaidi ya hao ulitaka wafanyeje?!
Au wakaokote watu mtaani ili tu wakuridhishe wewe!.
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu mnaotumia Tecno sijui huwa mnaumwa ugonjwa gani wa akiliHawa Christian's partyView attachment 1406324
Kwani Tanzania kuna dini ngapi zilizo na waumini wengi?Dini gani zimebalance CCM?
Ilikuwa ya udini mkubwa!Nimejikuta naikumbuka NSSF ya Dr. Ramadhan Dau
Mimi nimejikuta nakumbuka mashambulizi ya CCM dhidi ya CHADEMA enzi zile. UKRISTO. enzi hizo Willbrod Slaa akiitwa Padri Slaa, ili kuweka msisitizo. Kuna wakati pia familia ya Slaa ilikuwa ishu. Pia kulikuwa na UCHAGA, UKASKAZINI, nk. Zote zilikuwa "siasa", ambazo mara nyingi huelekezwa kwa kwa chama cha UPINZANI kinachoinukia.Nimejikuta naikumbuka NSSF ya Dr. Ramadhan Dau
Kwani Tanzania hakuwezi kuwa na magaidi?Tunazungumzia siasa za Tanzania usilete usukule wako kutupeleka misri dada
Hata Mandela walimuita gaidi
Kwanini isiwezekaneKwani Tanzania hakuwezi kuwa na magaidi?
Iweke hiyo safu ya uongozi tuione wenyewe, usituletee maneno mingi unasound kama wale jamaa wa tuma elfu 5 nikuunge group la xxxxxKwani Tanzania kuna dini ngapi zilizo na waumini wengi?
Je ukianzia kwa mwenyekiti, makamu wa mwenyekiti wawili, karibu mkuu, na naibu katibu wakuu wawili, viongozi wa sekretariati, wenyeviti wa mikoa na makatibu wao mikoa. Angalia CC na NEC agalia uone kama kuna upendeleo wa kidini, kikabila au kikabnda.
Tafuta uweke sio uwekewe kila kituIweke hiyo safu ya uongozi tuione wenyewe, usituletee maneno mingi unasound kama wale jamaa wa tuma elfu 5 nikuunge group la xxxxx
Sasa mbona ulisema hayo maswala ya ugaidi ni ya misri huko.Kwanini isiwezekane
Sio kazi yangu, mtoa hoja ndio anatakiwa kuwa na evidence kusupport hoja yake. Huwezi kujenga hoja kwa maneno matupuTafuta uweke sio uwekewe kila kitu
Siwezi kukubaliana na weweSasa mbona ulisema hayo maswala ya ugaidi ni ya misri huko.
Ndio maana nikakwambia ACT inaweza kuwa kama chama cha Muslim Brotherhood
Iweke hiyo safu ya uongozi tuione wenyewe, usituletee maneno mingi unasound kama wale jamaa wa tuma elfu 5 nikuunge group la xxxxx
Mkuu;Hiki chama nimejaribu kukielewa kwa miaka kadhaa, nikiri wazi kwamba nimekishindwa. Labda akili na macho yangu yana matatizo.
Mbona kama safu ya uongozi wa taasisi ya kidini?Nimeisoma hii safu ya Viongozi wa ACT-Wazalendo ikanifikirisha sana kuhusu hatma ya ACT-Wazalendo kama chama kinachojiandaa kupewa dola nchini baaya ya Uchaguzi Mkuu 2020!
Kuna msemo usemao, ‘’Mwenye macho haambiwi tazama’’. Nimeitazama hii orodha ya viongozi wa juu na kuniacha na maswali mengi!
Ifuatayo ni orodha ya viongozi wa ngazi ya juu wa ACT-Wazalendo;
Kiongozi Mkuu wa ACT-Wazalendo-Zitto Kabwe
Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo-Maalim Seif
Mshauri Mkuu wa chama-Shaban Mambo na Juma Saanani
Katibu Mkuu na Naibu Katibu Mkuu-Ado Shaibu na Nassoro Ahmed Mazrui.
Wakuu wa Idara na Jumuiya za chama:
Mwenyekiti ngome ya wanawake- Mrs Mkiwa Kimwanga
Mwenyekiti wa ngome ya Vijana-Abdul Nondo
Idara ya Sera, Utafiti na Mafunzo-Idrissa Kowesa na Hassan Mosoud
Idara ya Habari na Mahusiano ya Umma-Salim Bimani
Idara ya Oganaizesheni na wanachama-Shaweji Mkato na Omari Ali Shehe
Idara ya Fedha na Uchumi-Abdalla Bakari na Rachel Kimambo
Idara ya Kampeni na Uchaguzi-Mohamed Masaga na Said Rashid
Idara ya Haki za Binadamu na Makundi Maalum-Pavu Abdalla na Mbarara Maharagande
Idara ya Amani-Mohamed Babu na Mohamed Noor
Idara ya Mambo ya Nje-Fatma Fereji na Boniface Mapunda
Idara ya Bunge, Baraza la Wawakilishi na Serikali za Mitaa-Hamad Mussa Yusuf na Edgar Mkosamari.
Je, wana Jamiiforums mnayaona haya ninayoyaona katika hii safu ya viongozi wa chama?
Tatizo makanisa mengi siku hizi mafundisho yao makuu ni umbea,majungu na chuki.Niliwahi kuhudhuria mkutanowa chama kimoja cha siasa wakati kwa mara ya kwanza proph. Ndio mgombea wa hicho chama , wafuasi wote walikuwa wameka chinii na akiongea pointi mmoja anatamka neno fulani ambalo hutamkwa kwenye dini pale linapoongewa neno la kuwafurahisha kisha wote wanajibu wa sauti....... baadaye proph alipambana ikashindikana na nilimwona amealikwa siku moja kwenye nyumba moja ya ibada kwa mbwembwe kuu.... he!!!!!!!!!!!!!!!!!!! sasa wale wafuasiwake mbona tena wamegeuza uelekeo? .... kuna wengine waligawanyika kwenda na yule mwenye nywele sasa vipi... hakieleweki