Hii sasa ishakuwa noma: Tundu Lissu anashangiliwa mikutano yote Kanda ya ziwa

Hii sasa ishakuwa noma: Tundu Lissu anashangiliwa mikutano yote Kanda ya ziwa

Nikwambie Kweli,

Vijana wakijitokeza wahuni huiba kura lakini wanashindwa,

Uchaguzi wa 2015 vijana wakijitokeza kuhakikisha Nchi inapata mabadiliko bila kujali ufisadi wa Lowwaaa bt mshindi akawaangusha wapiga kura Kwa kutotoka kudai HAKI ya ushindi,

Tulishuhudia wakichoma kadi za kura na kuapa kutoshiriki tena chaguzi,

So Lissu kama Makamo ajue kuwa vijana kura za Siri hawaziamini tena,

Mkutanoni watakuja, kuja kupiga kura hawajui!!!!

Hilo linahitaji Mbingu za haraka,

2024 Iko mlangoni!!!
Nakubali. Lowasa yule mzee Mungu anamuona😅😅
 
Namsubiria huku kaburini aje kutubu bado hatujasahau atanikuta nimuhoji maswali yangu muhimu.

Hata hivyo nilijuwa siku itafika wanao mchafua jpm ndo watamsafisha wenyewe.
Amefanya mkutano kwa mafanikio sana hapo Chato.

Kuna watu walisubiri asusiwe mwisho wameishia maumivu tu.

Wananchi kwa sasa hawadanganywi wanajionea kwa macho na maisha magumu ni ushahidi tosha ccm imefeli kila kitu
 
Aisee hii program inayoemdelea imempa fursa Tundu Lissu kujisafisha uchafu woote aliovikwa eti ni Dalali wa mabeberu. Amefutilia mbali.
Hajaomba radhi kuwatetea barick hadharani dhidi ya wananchi waliojitutumua kupinga uhuni na uhujumu wa makaburi!!!

UKWELI Huwa unajitetea, ajisafishe pia ktk Hilo!!
 
Hajaomba radhi kuwatetea barick hadharani dhidi ya wananchi waliojitutumua kupinga uhuni na uhuzumu wa makaburi!!!

UKWELI Huwa unajitetea, ajisafishe pia ktk Hilo!!
Mbona hilo kila mahali analifafanua vizuri tu labda hujafatilia mikutano yake.

Kama uliona Kilichomkuta Prof Muruma kuke ICSID utamwelewa Lissu.

Hata Mwigulu sasa kaelewa nini maana yake.
 
Mbona hilo kila mahali analifafanua vizuri tu labda hujafatilia mikutano yake.

Kama uliona Kilichomkuta Prof Muruma kuke ICSID utamwelewa Lissu.

Hata Mwigulu sasa kaelewa nini maana yake.
Angle ninayoiongelea kumkosia Lissu kukosa UZALENDO,

Ni kuajiriwa na makaburi kuwatetea katika case dhidi ya sirikali yake ktk issue za madini!!!

Alionyesha conflict of interest, atubu au afafanue na Hilo pia!!!
 
Angle ninayoiongelea kumkosia Lissu kukosa UZALENDO,

Ni kuajiriwa na makaburi kuwatetea katika case dhidi ya sirikali yake ktk issue za madini!!!

Alionyesha conflict of interest, atubu au afafanue na Hilo pia!!!
Alishauri kuwa mikataba ipelekwe mezani iboreshwe ila sio kukurupuka kukamata mali zao watatushinda. Enzi zile kwa mtu short sighted angedhani Lissu anatetea wazungu.
Mikataba ya rushwa umesaini we mwenyewe badala uende taratibu unadhani utawashinda?

Ndio maana wenzetu kila kitu wanaenda kwa maandishi sio maagizo kutoka Juu.

Prof Muruma hana hamu.
 
Na poleee... ila Lissu kapoteza nguvu na jasho lake sana kuipigania kanda ya ziwa ndo maana anaeleweka na kukubalika sana! CCM haina ubavu wa kuita mikutano nane na ikajaa kwa siku...
Njoo Mbeya Tupo Tayari..
 
Amefanya mkutano kwa mafanikio sana hapo Chato.

Kuna watu walisubiri asusiwe mwisho wameishia maumivu tu.

Wananchi kwa sasa hawadanganywi wanajionea kwa macho na maisha magumu ni ushahidi tosha ccm imefeli kila kitu
Haji tena kutubu.
 
Kushangiliwa hata kuku wanashangiliwa,lowassa alishangiliwa,slaa alishangiliwa,mbowe anashangiliwa ...kushangiliwa Haina maana unaaminika ! Unaweza kushangiliwa hata kwa upumbavu ,sio kila anaecheka umemfurahisha! Kuna anaecheka kwa kukuona kituko
 
Kushangiliwa hata kuku wanashangiliwa,lowassa alishangiliwa,slaa alishangiliwa,mbowe anashangiliwa ...kushangiliwa Haina maana unaaminika ! Unaweza kushangiliwa hata kwa upumbavu ,sio kila anaecheka umemfurahisha! Kuna anaecheka kwa kukuona kituko
Na Chongolo pia anashangiliwa
 
Back
Top Bottom