Hii sasa ishakuwa noma: Tundu Lissu anashangiliwa mikutano yote Kanda ya ziwa

Hii sasa ishakuwa noma: Tundu Lissu anashangiliwa mikutano yote Kanda ya ziwa

Mazee hii sasa ishakuwa noma. Tulitegemea kanda ya ziwa watamsusia Tundu Lissu sasa hali imekuwa ya tofauti.

Sisi Chawa wa Mama saitakuwaje?
Tatizo ni pale anapoingiza mambo ambayo hayahusiani na wala hayana ushahidi. Kwa mfano kusema nyumbani kwa marehemu Magufuli kulikutwa mamilioni ya Dola. Kitu kama hiki kwa nini kijulikane sasa tu miaka yote hii baadaya kifo? Jee, anao ushahidi? Kauli hii inalenga nini? Kauli hizi zinampunguzia sapoti badala ya kumuinua.
 
Na poleee... ila Lissu kapoteza nguvu na jasho lake sana kuipigania kanda ya ziwa ndo maana anaeleweka na kukubalika sana! CCM haina ubavu wa kuita mikutano nane na ikajaa kwa siku...
Watasafirisha kwa mabasi na malori toka maeneo mengine wajaze nyomi
 
Aisee hii program inayoemdelea imempa fursa Tundu Lissu kujisafisha uchafu woote aliovikwa eti ni Dalali wa mabeberu. Amefutilia mbali.
Wanamuita Dalali wa mabeberu ni ukweli kwamna hawamjui Tundu Lissu. Tena huko kanda ya ziwa wanamjua vyema sana, maana huko alipiga kabisa kambi ya mapambano yake kwwnye mambo ya madini
 
Wanamuita Dalali wa mabeberu ni ukweli kwamna hawamjui Tundu Lissu. Tena huko kanda ya ziwa wanamjua vyema sana, maana huko alipiga kabisa kambi ya mapambano yake kwwnye mambo ya madini
Kanda ya ziwa hawadanganyiki. Hawasimuliwi bali wanaujua ukweli wameishi naye
 
Na poleee... ila Lissu kapoteza nguvu na jasho lake sana kuipigania kanda ya ziwa ndo maana anaeleweka na kukubalika sana! CCM haina ubavu wa kuita mikutano nane na ikajaa kwa siku...
Basi tu ccm hawana huruma
 
Nakubali zoezi lilichafuliwa,

Na tuliona wazi kura feki,

Lakini pia ni UKWELI usofichika kuwa ushiriki wa vijana ktk uchaguzi 2020 ulikuwa chini sana.

Data za Nec za waliojiandikisha, waliojitokeza kupiga kura ni chache sana.

Vijana acheni ujinga, maisha ni HALISI Si Bahati, acheni Betting na ulevi, na UZINZI,

Wazazi wamechoka kuzika vijana wao before time!!!

Simba na Yanga mnajitokeza, mkiambiwa changieni harakati za siasa, mnadai nati zimekaza!!!

Tubadilike 🙏🙏🙏
Haijalishi iwapo vijana walisusa au la...

Lakini ushindi ktk uchaguzi huamuliwa na walioshiriki kupiga kura..

Kwa mujibu wa daftari la kudumu la wapiga kura, jumla ya wapiga kura waliondikishwa tunaambiwaga ni zaidi au karibu 23,000,000..

Waliojitokeza kupiga kura mwaka 2020 inakadiriwa kuwa ni kama 13,000,000 na ushee hivi..

Ili ku - prove hoja yako, unaweza kujua kati ya hao waliopiga kura vijana walikuwa wangapi?

I am not sure kama unaweza kuwa na jibu la swali hili..

Hata hivyo, hiyo siyo hoja yangu. Ninachotaka uelewe hapa ni kuwa, kati ya hao 13,000,000 (vijana kwa wazee) waliopiga kura mwaka 2020, zaidi ya nusu waliipa CHADEMA na Tundu Lissu kura zao. Hoja ya vijana hapa is of very less important...

Shida kubwa ktk chaguzi zetu zote tangu 1995 chini ya mfumo wa vyama vingi si vijana kutojitokeza kupiga kura bali shida iko kwenye mfumo mzima kutokuwa just & fair kwa vyama shiriki vyote katika uchaguzi ngazi zote. Ni mfumo unaokipa uhalali wa kisheria na kikatiba chama kilichopo madarakani ku - manipulate uchaguzi anyhow ili mradi chenyewe kinapata matokeo wanayoyataka...

Mfumo wa uchaguzi tulionao sasa ni mbaya na unakipendelea chama kilichomo madarakani ambacho kina monitor Kila kitu kuhusu uchaguzi. Yaani chenyewe kupitia serikali huamua logistics za uchaguzi ziweje ili mradi tu chenyewe hakiathiriwi negatively...

Hili ndilo tatizo na ndilo linalopaswa kuwa addressed vyema sasa ili kuleta justice & fairness kwa kila mtu ktk ngazi zote za uchaguzi. Na basically hiki ndicho CHADEMA wanachoshughulika nacho sasa. Ishu ya mkataba wa bandari zetu imekuja kutia nguvu tu harakati hizi..

By the way, angalia vyema hata mikutano inayoendelea sasa ya CHADEMA nchi nzima haihudhuriwi na vijana tu bali ni watu rika na jinsia zote...

This is to say, your point can't be justifiable...
 
Ni Kweli anapata mapokezi makubwa,

Jitihada zinahitajika kuwarudisha vijana kushiriki HAKI Yao ya msingi ya kuchagua na kuchaguliwa.

Kuna ujinga wanaambukizana kuwa kupiga kura ni ujinga sababu Eti zinaibwa!!

Wapo wengi walisusa hata kuhesabiwa sensa,wengine walisusia zoezi la Nida vile vile.

Lissu akipata kura chache sana 2020 sababu kuu ni vijana kususia uchaguzi.

CDM msisahau jambo Hilo muhimu.

ELIMU, ELIMU, ELIMU YA URAIA🙏🙏🙏
Hakuna uchaguzi Tanzania, bali kuna maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura. Ulijuaje kama alipata kura chache wakati karatasi za matokeo zilikuwa za kuchakachua?
 
Tumchague Lisu atuongoze nchi hii tunapigwa Sana na mikataba tutabaki masikini Hadi lini.
 
Back
Top Bottom