Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Kila mtu anachapa lapa hamna kizinga sijui mara nauli ya kurudia na ya bando.Safi kabisa mkuu na mkitoka hapo amsumbuani tena
Mwisho wa Siku unaleta HIV na yeye analeta HIV, then mnasubiria kuzikana tuHali inasikitisha sana aise..
Wewe unatoka kutafuta furaha na yeye anatoka kuitafuta furaha yake 💔💔very Sad.
Mambo haya hayanaga utaratibu Woi
Kweli kabisa mkuuKila mtu anachapa lapa hamna kizinga sijui mara nauli ya kurudia na ya bando.
Malaya ni watu muhimu sana kwenye jamii ila tunawachukulia poa sana
Mwanamke pekee wa kumsaidia ni mama mzazi huwa wana uchungu sana na pesa za watoto waoKweli mkuu mi kuna mchaga flani kanipiga chini coz aliniomba 300k aongezee mtaji wake afungue saloon nikamwambia saiz sina pesa aisee alilalamika akaniambia yani wewe kila siku huna ela akakata cm baada ya hapo sijawahi ona cm yake huu mwez wa pili sasa
Daah..ndio maana mwanamke akiniomba ela uwa namfikiria kwanza mama je kabla kutoa pesa kizembeMwanamke pekee wa kumsaidia ni mama mzazi huwa wana uchungu sana na pesa za watoto wao
Kaa na hela zako na yeye akae na utelezi wake ,ngoma droo.mm nimemkaushia, simu zake sitapokea tena, na nitaendelea kutojibu sms zake, na mazoea naye Nakata, nikikutana naye ntampa salamu tu, ikumbukwe tangu nimemfahamu sijawahi kumng'ang'ania wala kumsumbua sumbua kumtongoza, useme ananipiga kizinga ili anifukuze.
Hakika mkuuDaah..ndio maana mwanamke akiniomba ela uwa namfikiria kwanza mama je kabla kutoa pesa kizembe
Ndio hivyo mkuu ishi nao kwa tahadhari, ukiona red flag tu jiandae kuitumikia NdoigeKweli mkuu mi kuna mchaga flani kanipiga chini coz aliniomba 300k aongezee mtaji wake afungue saloon nikamwambia saiz sina pesa aisee alilalamika akaniambia yani wewe kila siku huna ela akakata cm baada ya hapo sijawahi ona cm yake huu mwez wa pili sasa
We jama au a umri gani? Unamlaum wakati hujawahi kumtongoza hata meseji zake hujibu?Kuna mdada mmoja hapa mtaani kwetu, hana mtoto, & yuko kwenye early 20's anakaa kwa wazazi wake nilikutana naye njiani, nikamsalimia tu halafu, nkamwalika ghetto ninapokaa tukapike, Maana nilitoka sokoni siku hiyo, sikumbuki alichonijibu, ila baada ya hapo sikuwa namfatilia kabisa, Ikapita miezi, hadi siku moja niko ghetto nasikia geti linafunguliwa, kuchungulia dirishani, naona huyo mdada anachungulia ndani ya geti, Akaingia ndani ya fensi kidogo halfu akarudi, nlivokutana nae nlijifanya sikumuona, nikamwambia nasikia Kwa majirani kuwa ulintafuta, alikiri kuwa alinitafuta, nlimpanga aje ghetto kesho kutwa asubuhi, alisema atakuja lakini hakuja, mimi nikamkaushia..sikumtafuta.
KINACHONISHANGAZA:
Kinachonashangaza ni kuwa tangu nimefahamiana nae, kila sms alionitumia ingawa ni chache, mm sijawahi kumjibu, sijawahi anza mimi kum-text hata mara moja, Mimi Sijawahi mpigia simu hata mara moja, alinipigia simu nikapokea, akaniambia ameni-miss, mm nikampanga tu aje ghetto Weekend, akakubali, nikajua napendwa, heeee saa ngapi asiniombe elfu 10, shida sio yeye kuniomba hela, au sio kwamba sina elfu 10 ya kumpa, Na sio kwamba sina nia ya kumpa hela, ila ni jinsi alivoiomba, inanipa red flag, mm nimemkaushia, simu zake sitapokea tena, na nitaendelea kutojibu sms zake, na mazoea naye Nakata, nikikutana naye ntampa salamu tu, ikumbukwe tangu nimemfahamu sijawahi kumng'ang'ania wala kumsumbua sumbua kumtongoza, useme ananipiga kizinga ili anifukuze.
Nilidhani nimepata mdada anaenipenda kumbe nlijidanganya, loh
Balehe bhana, zinasumbua sana vijana.Kuna mdada mmoja hapa mtaani kwetu, hana mtoto, & yuko kwenye early 20's anakaa kwa wazazi wake nilikutana naye njiani, nikamsalimia tu halafu, nkamwalika ghetto ninapokaa tukapike, Maana nilitoka sokoni siku hiyo, sikumbuki alichonijibu, ila baada ya hapo sikuwa namfatilia kabisa, Ikapita miezi, hadi siku moja niko ghetto nasikia geti linafunguliwa, kuchungulia dirishani, naona huyo mdada anachungulia ndani ya geti, Akaingia ndani ya fensi kidogo halfu akarudi, nlivokutana nae nlijifanya sikumuona, nikamwambia nasikia Kwa majirani kuwa ulintafuta, alikiri kuwa alinitafuta, nlimpanga aje ghetto kesho kutwa asubuhi, alisema atakuja lakini hakuja, mimi nikamkaushia..sikumtafuta.
KINACHONISHANGAZA:
Kinachonashangaza ni kuwa tangu nimefahamiana nae, kila sms alionitumia ingawa ni chache, mm sijawahi kumjibu, sijawahi anza mimi kum-text hata mara moja, Mimi Sijawahi mpigia simu hata mara moja, alinipigia simu nikapokea, akaniambia ameni-miss, mm nikampanga tu aje ghetto Weekend, akakubali, nikajua napendwa, heeee saa ngapi asiniombe elfu 10, shida sio yeye kuniomba hela, au sio kwamba sina elfu 10 ya kumpa, Na sio kwamba sina nia ya kumpa hela, ila ni jinsi alivoiomba, inanipa red flag, mm nimemkaushia, simu zake sitapokea tena, na nitaendelea kutojibu sms zake, na mazoea naye Nakata, nikikutana naye ntampa salamu tu, ikumbukwe tangu nimemfahamu sijawahi kumng'ang'ania wala kumsumbua sumbua kumtongoza, useme ananipiga kizinga ili anifukuze.
Nilidhani nimepata mdada anaenipenda kumbe nlijidanganya, loh
Hakika mkuu
Hebu ona; unamuhonga demu moyo unaumia kutoa ile pesa, unampa pesa mama moyoni unashangilia
Kyeeee🤣Huyo unaweza ukagharimikia vyote hivyo halafu unakuta shoo zenyewe mbovu tunaangalia ile value for money
🤣🤣🤣🤣🤣Ndio hivyo mkuu ishi nao kwa tahadhari, ukiona red flag tu jiandae kuitumikia Ndoige
Simp culture on fleekKwa kuwa tunahitaji vitu vizuri hatuna budi kugharamia 🤸🤸
Hizo lips zishaanza kufanya nifikirie kwa kichwa cha chiniKyeeee🤣
Watoto wanabaki na kumbukumbu mbaya isiyofutika💔💔Mwisho wa Siku unaleta HIV na yeye analeta HIV, then mnasubiria kuzikana tu
Pamoja sana mkuu 🥂Hizo lips zishaanza kufanya nifikirie kwa kichwa cha chini
Hakikisha upo na condom maeneo hayo mkuu sitaki uanze tena shida.Nipo sinza hapa mkuu karibu tupate bia
Pesa ndogo ipo bwana acheni mambo yenu.Aschukulie kawaida hakuna pesa ndogo, hata mia ina thamani ndio maana bila mia hakuna alfu 10 itakua alafu 9 na mia 9,