Hii style nimeiona kwa wengi mjini

Cha muhimu nibarabara ya kufika huko na pia kukaa porini peke yako unaweza kuvamiwa na majambazi. Angalia idadi ya waliohamia...
Unafikiri mapori yanayoongelewa ni mapori hasa? Hapana kuna maeneo ndo yanaendelea unakuta nyumba zipo mbalimbali wao wanaita pori. Daladala mwisho saa 12 hakuna supermarket ndo kinawakatisha tamaa.
 
Umenikumbusha mbali sana mkuu. Mwaka 2003 nilikwenda kumtembelea ndugu yangu aliekuwa anaishi kibada....
Acha kabisa mkuu kuna wazee wapo mjini hapa toka miaka ya 80's na 90's wengine wanashangilia wengine wanajuta je tofauti yao ni ipi? Hiyo kibada yanleo kiwanja 20*20 unakuta mil 12 wakati kuna watu walikua na chance ya kumiliki hata ekari 10
 
Unafikiri mapori yanayoongelewa ni mapori hasa? Hapana kuna maeneo ndo yanaendelea unakuta nyumba zipo mbalimbali wao wanaita pori. Daladala mwisho saa 12 hakuna supermarket ndo kinawakatisha tamaa.
Tena sehemu kama hizi ndiyo unaweza kujiongeza zaidi ukaweka container, unauza mahitaji muhimu.
 
Yaani Bongo tunasoma ili tuajiriwe hafu tuoe kisha tuzae na tuangaike kusomesha tujenge na kununua IST kisha Tufe.

Basi.
Inaanza kununua IST mengineyo yatafuata πŸ˜‚ πŸ˜‚ ujana mzuri!

Everyday is Saturday................................😎
 
Hayo mawazo nilikua nayo hata mm ila mke wangu alikomaa nijenge huku nilipo na palikua polini kiasi ila kwa sasa pamekua town hasa.Ukikaa unasema ule ujana kaa pia ukijua kuna kuachishwa kazi kuna kuna kufilisika kampuni ukajikuta huna pa kushika ukabaki unatoa mimacho tu wakati ulikia unachezea pesa
 
Maeneo ya Dar sio y kudharau hata kidogo, leo mtu akikubembeleza ununue kiwanja kwa 2.5m usikatae hata kama ni shamba. Ndani ya miaka mitano utashangaa, tena ni vile tu mchizi ameharibu mambo, Ila viwanja kwa jiji la Dar haijalishi ni wapi.

Nilienda Tuangoma, hakika nilipapenda. Jamaa wananiambia 2005 viwanja viliuzwa 2.5m, leo hii huna 25...30m hukamati eneo, the place is really nice.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…