Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naunga mkono hoja.. Kuna is ishu pia Mbaya sana upande wa watoa huduma especially Drs.. Eti kuanzia sasa NHIF wamekataa kulipia consultations na kufikia hatua ya kuzikata kisa wamelink na Medical council Tanganyika MCT ambao wamewapa majina ya madaktari wote waliosajiliwa Ila hawatakiwi kupractice kisa hawajalipa pesa MCT ya practice licence fee ya madeni ya zamani.. Jamani huduma imeshatolewa sasa malipo ya MCT yanahusiana vipi na NHIF??? Wagonjwa walionwa na Robots? Kuna shida kubwa NHIFSio tuu kwamba ni wizi bali ni upuuzi..
Unakuta yenyewe huko kwenye management yameongeza operational costs ambazo ni unnecessary harafu ushenzi wao wanampa mgonjwa.
This is crazy !!!!*TAARIFA KUHUSU BIMA ZA WAGOJWA KUKATAA KUWA
AUTHORISED KWENYE MFUMO*
Utaratibu wa mfuko wa NHIF umebadilika ili kuzuia polyvisit za wagonjwa pamoja na polyservices zingine za wagonjwa wetu
Kuanzia sasa mteja atakua na nafasi ya VISIT 3 TU KWA MWEZI kwa kituo husika na mteja hawezi kujiamulia kuhama Kituo cha kutolea huduma(Hosp,H/na disp) moja kwenda nyingine kwa kujiamulia,mfano mgonjwa akianza kutibiwa Kituo X basi atakua wa X tu mpaka pale X tutakapo amua sisi mrefer mgonjwa kwenda sehemu nyingine la sivyo mgonjwa hataweza kwenda sehemu nyingine ,kama kuna emergency kutakua kuna utaratibu kwenye mfumo wa kuruhusu huduma ziendelee
Aidha mfuko utaweka pia utaratibu wa wale wagonjwa ambao ni wa refill ili kama amekuja kwa ajili ya refill asiweze kuchomekea kitu kingine cha kimatibabu
Kwa huduma za physio, meno kutawekwa utaratibu maalumu ili huduma kama hizo ziendelee
Mfuko unataka kubana wale wa watu wanaozunguka kila kituo kufanya vipimo, kuona madaktari na kulinganisha huduma za madaktari
Ni hayo tu ndugu zangu,muwe ka kazi njema.
Watu wa mapokezi mutakua munawaelekeza kwa upole wateja ambao kadi zao zimepata changamoto hizo.
NHIF.
Kwa hali ilivyo heri wakalale tuKwa lipi wewe nae? Kazikwe nae Chato
Yani utadhani ni bureKitendo cha kumlazimisha mwanachama ahudumiwe kwenye kituo kimoja pekee wakati wanamkata pesa yake ni udikteta.
MCT ile ile iliyomsababishia ulemavu Dr Ulimboka lakini ikamtosa?Naunga mkono hoja.. Kuna is ishu pia Mbaya sana upande wa watoa huduma especially Drs.. Eti kuanzia sasa NHIF wamekataa kulipia consultations na kufikia hatua ya kuzikata kisa wamelink na Medical council Tanganyika MCT ambao wamewapa majina ya madaktari wote waliosajiliwa Ila hawatakiwi kupractice kisa hawajalipa pesa MCT ya practice licence fee ya madeni ya zamani.. Jamani huduma imeshatolewa sasa malipo ya MCT yanahusiana vipi na NHIF??? Wagonjwa walionwa na Robots? Kuna shida kubwa NHIF
Woga na hofu nyingine ni za kipuuzi kabisa. NHIF inataka bima iwe kama lile "duka la Mhindi" zama za ukoloni na enzi ya Mwalimu ukitaka ukitaka bidhaa/huduma chukua usipotaka acha na huna pa kwenda pengine.*TAARIFA KUHUSU BIMA ZA WAGOJWA KUKATAA KUWA
AUTHORISED KWENYE MFUMO*
Utaratibu wa mfuko wa NHIF umebadilika ili kuzuia polyvisit za wagonjwa pamoja na polyservices zingine za wagonjwa wetu
Kuanzia sasa mteja atakua na nafasi ya VISIT 3 TU KWA MWEZI kwa kituo husika na mteja hawezi kujiamulia kuhama Kituo cha kutolea huduma(Hosp,H/na disp) moja kwenda nyingine kwa kujiamulia,mfano mgonjwa akianza kutibiwa Kituo X basi atakua wa X tu mpaka pale X tutakapo amua sisi mrefer mgonjwa kwenda sehemu nyingine la sivyo mgonjwa hataweza kwenda sehemu nyingine ,kama kuna emergency kutakua kuna utaratibu kwenye mfumo wa kuruhusu huduma ziendelee
Aidha mfuko utaweka pia utaratibu wa wale wagonjwa ambao ni wa refill ili kama amekuja kwa ajili ya refill asiweze kuchomekea kitu kingine cha kimatibabu
Kwa huduma za physio, meno kutawekwa utaratibu maalumu ili huduma kama hizo ziendelee
Mfuko unataka kubana wale wa watu wanaozunguka kila kituo kufanya vipimo, kuona madaktari na kulinganisha huduma za madaktari
Ni hayo tu ndugu zangu,muwe ka kazi njema.
Watu wa mapokezi mutakua munawaelekeza kwa upole wateja ambao kadi zao zimepata changamoto hizo.
NHIF.
Bora iwe ya kughushi maana kama ni kweli tutaandamanaNI taarifa za kughushi.