Hii Taarifa ya NHIF kama ni ya kweli basi Tanzania tuna tatizo

Hii Taarifa ya NHIF kama ni ya kweli basi Tanzania tuna tatizo

Hilo tamko liko wapi?

Leta ushahidi
 
Itakuwa serikali ishakomba pesa kama mifuko ya jamii, kwanza wapuuzi unaomba kadi inachukua miezi 7 bila kutoka wanadai hawana material yakutengenezea. Hivi kweli? Sasa hizo pesa wanakataga za nini?

Niliomba kadi mwezi wa pili mpaka sasa sijapata kadi miezi takribani 6, ukiuliza unaambiwa Bima hawana material kwa sasa yameisha, can you imagine such insanity?
 
Naona matangazo yanayozunguka mitandaoni kuhusu utaratibu mpya wa huduma ambao ni fujo, kero tupu, usumbufu na uonevu wa waziwazi wa wanachama wa mfuko huo. Ati mtu anapangiwa kwamba haruhusiwi kwenda hospitali zaidi ya mara tatu kwa mwezi, na kwamba eti analazimishwa ahudhurie kituo kimoja tu! Kumbe kwa ufahamu wa NHIF magonjwa yanatii amri ya kwamba ndani ya mwezi mmoja hayatakuja mara 3? Na huyo ambaye mwaka mzima hajaugua mtamrudishia michango yake? Hivi nikisafiri kikazi Dar to Kigoma na nikaugua huko, sina haki ya kutibiwa hata kama nina kadi ya NHIF? Huu sasa mbona ni ujinga wa kuturudisha nyuma sana?
Mfuko huu umeshindwa kazi, basi na ufutwe, bima iwe hiari watu wajiunge na kampuni watakayochagua wenyewe, na kama na zenyewe zikileta upuuzi huo basi biashara ya bima ya afya ifutwe tu, haya ni mambo ya kuumiza wananchi!
Nauliza, hivi wale wakala wa kudhibiti masuala ya bima (TIRA) hawahusiki na hizi bima za afya? Wako wapi mbona watu tunadhulumiwa mchana kweupe?
Duh hasee umenikumbusha habari za TIRA. hao sana sana wametengeza mfumo ili matrafiki ili wazibake hela zetu kwenye hivi vyombo vyetu vya usafiri. nadhani ni mojawapo ya taasisi kibogoyo kabisa hapa tozonia.
 
Kama kuna mtu alikaa akapitisha ili swala ni mpuuzi je kama mtu na kliniki mbili tofauti za kuhudhuria kila baada ya siku 7 anamaanisha kwa mwezi niiende mara 3.

Ccm hawawezi kutuvusha mwashindwa miaka 60. Tutakufa hakuna watakacho badirisha
 
mfuko wa nhif umeanzishwa kwa act ipi kwanza? na taratibu zake zinapangwa na nani? unasimamiwa na nani(governing body) ..nkipata haya majibu ndo ntaelewa..
The National Health Insurance Fund (NHIF) is a Social Health Insurance Institution established under the National Health Insurance Act, Cap 395 with the main objective of ensuring accessibility of health care services to people. It is a Government entity that operates under the Ministry of Health (MOH). The management of the Fund is vested to the Board of Directors while its day to day operations are overseen by the Director General. The Fund considers health insurance as a societal affair rather than an individual need and thus operates under the principles of risk sharing and solidarity among members.

Despite the compulsory enrollment arrangement to public servants, the Fund has expanded its coverage to include other groups like Councilors, private companies, education institutions, private individuals, children under the age of 18, farmers in cooperatives as well as organized registered groups like Machinga and Bodaboda groups. The Fund is also administering the Bunge Health Insurance Scheme and covers Members of the Zanzibar House of Representatives.

ISO 9001:2015 Certification

The National Health Insurance Fund is ISO 9001:2015 Certified since 2018 to embrace the benefits of a Quality Management System that significantly increases efficiency and reduces wastes as well as maximizing customer satisfaction.

Core Functions of the Fund

The core functions of the Fund are to:-

  • Register members and issue identity cards;
  • Collect contributions;
  • Certify health service providers for provision of health care services to members;
  • Reimbursement of health service providers’ claims;
  • Invest the excess funds collected in order to earn income;
  • Carry out Actuarial Assessment and Valuation; and
  • Provide health insurance education to the public.
Contributions

According to the NHIF Act, employees in the public sector are obliged to register themselves and contribute to the Fund a total of six percent (6%) of their monthly basic salary which is equally shared between the employer and employee. However, the Fund has put in place separate contribution arrangements for other groups that join the Fund voluntarily.

Beneficiaries

NHIF beneficiaries in a family set-up include the contributing member, his or her spouse and up to four legal dependents.

As of December 2019, NHIF’s membership coverage stood at 4,856,062 beneficiaries which is equivalent to 9% of the total Tanzanian population.

Categories of NHIF Members

Members of the Fund are categorized as follows: -

  • Public Employees
  • Non Public Employees
  • Retired Public Employees
  • Students
  • Children under 18 years
  • Farmers in Cooperative Societies
  • Members of Organized Socioeconomic Groups e.g. Machingas, Bodaboda, Drivers, etc.
  • Individual members under Health Insurance Bundles
  • Bunge Health Insurance Scheme for Members of Parliament
  • Councilors
NHIF Benefits Package

The following medical services are covered by NHIF at all health facilities certified by the Fund:-

a) Registration and consultation;

b) Medicines and medical consumables;

c) Investigations;

d) Dental and ophthalmological services;

e) Inpatient care services;

f) Procedures;

g) Surgical services;

h) Medical and orthopaedic appliances;

i) Rehabilitative services.

However, the following services shall require special approval of the Fund before access:-

a) CT-Scan and MRI

b) Chemotherapy

c) Dialysis services

d) Anti-cancers

e) Immunostimulant

f) Immunosuppressant

g) Orthopaedic appliances

h) Reading spectacles

NHIF also facilitates provision of services that are normally out of standard package under special agreements basing on the need of the employer through Health Insurance Administration or Supplementary arrangements.

Categories and Network of Certified Health Facilities

The Fund undertakes certifications of facilities that are fully registered by the Ministry of Health, Community Development, Gender, Elderly and Children to provide services to beneficiaries. These health facilities are divided into three groups namely Government, Faith based organization and Privately owned health facilities. Currently the Fund has certified more than 7,900 health facilities with different levels of accreditation to serve the Fund’s beneficiaries. These categories are:-

  • National Referral,
  • Zonal Referral,
  • Regional Referral,
  • District Hospitals,
  • Diagnostic Centers
  • Specialized Clinics,
  • Health Centers,
  • Dispensaries,
  • Pharmacies, and
  • Accredited Drugs Dispensing Outlets.
Network of NHIF Regional Offices

NHIF has established offices in all regions in Tanzania Mainland and Zanzibar to bring its services closer to members and the general public. Each regional office is managed by a Regional Manager and contacts of offices can be seen through this link.


C&P
 
Naona matangazo yanayozunguka mitandaoni kuhusu utaratibu mpya wa huduma ambao ni fujo, kero tupu, usumbufu na uonevu wa waziwazi wa wanachama wa mfuko huo. Ati mtu anapangiwa kwamba haruhusiwi kwenda hospitali zaidi ya mara tatu kwa mwezi, na kwamba eti analazimishwa ahudhurie kituo kimoja tu! Kumbe kwa ufahamu wa NHIF magonjwa yanatii amri ya kwamba ndani ya mwezi mmoja hayatakuja mara 3? Na huyo ambaye mwaka mzima hajaugua mtamrudishia michango yake? Hivi nikisafiri kikazi Dar to Kigoma na nikaugua huko, sina haki ya kutibiwa hata kama nina kadi ya NHIF? Huu sasa mbona ni ujinga wa kuturudisha nyuma sana?
Mfuko huu umeshindwa kazi, basi na ufutwe, bima iwe hiari watu wajiunge na kampuni watakayochagua wenyewe, na kama na zenyewe zikileta upuuzi huo basi biashara ya bima ya afya ifutwe tu, haya ni mambo ya kuumiza wananchi!
Nauliza, hivi wale wakala wa kudhibiti masuala ya bima (TIRA) hawahusiki na hizi bima za afya? Wako wapi mbona watu tunadhulumiwa mchana kweupe?
Ifumuliwe!
 
Kama ni kweli basi hizi taarifa mbaya sana.

#MaendeleoHayanaChama
 
Halafu mtu anakwambia "tulimuuomba Mungu akajibu maombi yetu!!" Huwa nashangaa sana nadhani wanahitaji maombi zaidi maana walichojibiwa sio mzizi wa tatizo.
 
Mfuko utakua upo empty maana viongozi wa nchi na wakuu wa NHIF walikua wanajichotea tu pesa za mfuko sasa ni mwendo wa kubana matumizi
 
Habari za mchana wapendwa.

Habari za kusikitisha - NHIF wamebadilisha mifumo yao ya matumizi ya card.

1- Tegemezi wengi wameondolewa,

2- Card itumike x 3 tu kwa mwezi.

3- Kama umetibiwa Jana au juzi, ukienda hospitali nyingine utatakiwa uende na Referral toka hiyo hospitali ulikotibiwa mara ya mwisho.

Makorokoro kibao yamebadilika. Tunaendelea kuwasikiliza. Ni shida tupu.


HII SIO HAKI MTU ANACHANGIA AFU HUDUMA ANAPANGIWA ATIBIWE KTK KITUO KIMOJA TU KWA MWEZI NA NA MARA TATU TU KWA MWEZ HII SIO HAKI. BASI WATUMISHI WARUHUSIWE KUJIUNGA NA MIFUKO MINGINE ISIWE LAZIMA NHIF ILI AFUATE HUDUMA SEHEMU ANAYOONA INAFAA
TUMESEMA CCM ITATAWALA ZAIDI YA MIAKA 80 IJAYO, NYIE VIPI MBONA HAMSIKII!
 
Kule kwenye mafao ya wastaafu wameleta kikokotoo kipya baada kutumia pesa za michango ya watumishi ndivyo sivyo, sasa wamehamia kwenye afya.........bongolala is doomed to say the least.
 
Back
Top Bottom