Hii Taarifa ya NHIF kama ni ya kweli basi Tanzania tuna tatizo

Kuwa na mifuko mingine ndiyo njia pekee ya kutuokoa! Irudi kama ilivyokuwa kabla ya kipindi Fulani.
 
Mtanzania yuko wapi huyo wa kuandamana? Ni rahisi ku mobilize wanafunzi wa sekondary kuliko ku mobilize mijitu mizima kusimamia haki zao kwa manufaa ya taifa kwa ujumla.

Mtanzania aliekula ugali dagaa akashiba na kahela ka bando anako sahau kuhusu kuandamana.
Hapa ndio wa Tz tunatakiwa tuamke na kuingia barabarani kama ilivyokuwa Srilanka!
tatizo letu wa Tz tu manyangau sana na wazito kuhoji!
 
Kw
Kwa maana ingine mjitegemee kwa swala la afya!
 
Kama ni kweli basi ni changamoto.
Maana kuugua hakuna taarifa wala muda maalum.
Halafu kwa mfano mtu ni mtumishi haugui mara kwa mara na hata akiugua hatumii bima! Ana mtegemezi wake mmoja ambaye ni mtu mzima, anatakiwa kupata huduma mara kwa mara, kisha unmpangia muda wa matibabu what if akiugua zaidi ya hapo???
I wish isiwe kweli!
 
Hivi unamdhibiti vipi mtu kuumwa??
Yani unawezaje kumpangia mtu muda wa kuumwa?
AAR na STRATEGIES wateja wao huwa hawana tabia za kujirudia rudia kwenye vituo vya afya kupata huduma,, ila NHIF leo yupo hapa, kesho pale, kesho kutwa huku, ndyo maana wameamua kuwadhiti, hata wewe jiulize ndugu yangu, mtu hata dose hii hajamaliza kashahamia kwingine, huko nako hajamaliza dose aliyopewa kaenda kwingine, unakuta mtu mmoja kahudhuria mara 10 au zaidi vituo vya afya kwa mwezi!

NSSF wao huo utaratibu wa kutibiwa kituo kimoja tu na mara 3 wanao muda mrefu Sana, wateja wao hawasumbui washazoea.

Kwa Sasa kinachowafavour AAR na STRATEGIES, wao hawanalimit nyingi hasa upande wa dawa na vipimo, kwa hyo unaweza tibiwa vizur ukakaa Zaid ya miezi 3 hospital hupajui!

Ila Kuna viashiria nmeviona juzi juzi ndyo maana nasema Ni suala la muda huko kwao
 
Huna hoja kwa kuwa leo nipo morogoro na najisikia kuumwa niitaebda hospital hapo morogoro. Baada ya wiki nikasafiri kwenda Dodoma nikajiskia kuumwa nitaenda tena hospital, baada ya wiki mbili nikaenda dar na nikajiskia kuumwa si ntaenda tena hospital?

Sio haja ya kuweka limit, kwa kuwa so far nachojua wanaotibiwa ni wachache kuliko ambao hawatibiwi. Kuna watu wana miaka minne hawajui hospitali ipoje. Huyo nae utasema arudishiwe oesa yake ya miaka minne?
 
Natibiwa JKCI kwa kuhudhuria clinic kwa huu ujinga nikipatwa na mafua niende kwenye hospital ya moyo?
Soma vizur maelezo ndgu, Kuna special Case zinazohitaji clinics , kama hiyo ya shda ya moyo unayozungumzia, kwa hyo utahitajika kahudhuria hapohapo JKCI unapofanyia clinic, lakin kwa mambo madogomadogo kama mafua, kikohozi, malaria, UTI tafuta kituo chako pendwa kimoja TU, in case hali yako Ni mbaya Sana unapewa rufaa, utaratibu sio mgum hata kidogo boss
 
Ndyo maana ikawekwa mara tatu mkuu kwa mwezi, au hakijaeleweka Nini?
 
Kweli wewe ni nyumbu uliolamba asali ukashiba. Fikiria kwa kichwa sio makalio. Wafikirie watu ambao wana CP na matatizo ya figo ambao wanatakiwa kwenda kuhudhuria clinic mara 3 na zaidi. Kuna hospitali zingine huduma zao ni mbaya hazikizi mahitaji utaenda hapo hapo tu? Muhimbili yenyewe rubbish huduma yake ni chini ya kiwango. Kama wewe umezikuta kwa Baba ako na Mama ako wengine atujazikuta tunafight kwa nguvu zetu.
 
Kwahiyo wewe utakuwa unasafiri safiri hovyo

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Usikimbilie matusi, utaratibu unaelezaje kwa case kama hiyo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…