DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 11,622
- 26,005
Halafu cha ajabu wanawafukuza Nyumbani kwao ila ndo wasimamizi wa Mirathi yao wakifariki 😅😅😅Mkifa mitoto yenu inarudi mikoani kunyanyaswa......ndugu mliowaita wanoko hamuwataki wanachukua Mali zote ulizochuma....mke wa marehemu akishtaki,ndugu hutumia pesa za marehemu kushinda kesi....Hapo marehemu umelala kimya kaburini.Hii ndiyo dunia mkuu
🤣🤣🤣Yalinikuta Jumapili alikuja mtu wa aina hiyohiyo nyumbani tofauti ni kuwa huyu aliletwa na ndugu yangu, alichonikera ni vile alipofikishwa tu akawa na kidaftari chake ameandika namba za watu wake anaojua wapo Dar, akaomba simu yangu na kuanza kuwapigia mmoja hadi mwingine mbaya zaidi akawa anawaambia uongo kuwa yupo ameekaa kwangu kwa zaidi ya mwezi, kilichonikwaza zaidi siku iliyofuata nimerudi toka mihangaiko yangu jioni nakuta sebule imejaa hao rafiki zake kama kuna kikao cha kikoba wamechukua vinywaji kwa jirani bila kunishirikisha bill ipo kwangu.
Punguza siasa mkuu. Tangu enzi za Yesu watu walilalamika kulipa kodi wakaambiwa cha kaisari mpeni kaisari. Kwahiyo Mama Samia hatakuwa kiongozi wa kwanza kulalamikiwa. Kama una maisha magumu pambana huku ukimwomba Mungu akufanyie wepesi.Semina nzuri, ili angalau hayo yawezekane basi hebu tumia nafasi yako kumwomba asikubali kila jambo analopelekewa mezani maana wanamharibia na matokeo yake maisha yanakuwa magumu mwisho tunakimbiana mjiniView attachment 2800311
Kabisa.... kila mtu akae kwake. Mi nikienda nafikia Hotel kuepuka maneno. Wao wakija wanataka kufikia home.... kila mtu akae kwake.Mbaya zaidi MTU akishakaa kwako siku akiondoka huko anakofikia Ni kumsema mkeo vibaya.
Mara jamaa kaolewa maana yule mke Ni mvivu. Mke mchoyo, mke anadharau n.k
Kumbukeni mke wangu Ni pambo la nyumba yangu, sio MTU wa kusonga ugali kwa ajili ya mijitu ya kijijini.
Mke wangu ashindwe kunilisha vipaja vya kuku kisa Kuna mgeni au mke wangu asiwe na Uhuru wa kujiachia nyumbani kwake kisa mgeni!
Kwendreni huko.
Siku hizi anakuja kama alivyo ila anategemea aondoke tofauti na alivyokuja. Na hapo anapeleka maneno kijijini mabaya....Mbona na nyie mnalalamika mkienda us au ulaya watanzania wanawazimia simu. Siwasapoti Ila taarifa ni muhimu pia zamani mgeni akija anakuja na zawadi Kama chakula na sisi wa Kanda ya ziwa samaki.
Na wanaanza kubaka na watoto wetu.... ni bora akuambie mapema ujue atalala wapi. Unakimlaza sebuleni analalamika kuwa watoto wako wamelala vyumbani mwao yeye umemlaza sebuleni. Kumbe humwamini pia kumwachia watoto. Dunia ya sasa mawasiliano ni muhimu sana.Kiukweli kwa maisha tuliyo nayo sasa inapendeza mgeni akija aje kwa taarifa.
Ni asiyeelewa tu namna dunia imefikia wapi kwa sasa ndo ataona ye mgeni akija tu kwake bila taarifa ni sawa.
Hawa hawa tunaowaamini wengi wamekuwa mwiba kwa baadhi ya familia hasa baada ya kuja bila kuwa na vya msingi vilivyowaleta.
Aaah wapi. Mimi sina mapigo hayo. Hata nikienda Mbwinde au Samvula Chole nafuata kilichonipeleka. Sitaki shobo mimiNanyie muache upimbi wa kutuambia tukija Dar tuwatafute. Nguchiro nyie
😂😂😂hii ndiyo dunia mkuu🙊Halafu cha ajabu wanawafukuza Nyumbani kwao ila ndo wasimamizi wa Mirathi yao wakifariki 😅😅😅
Sawa itakuwa vyema. Tujulishane msifanye surprise... Mtakuwa surprised... Shauri yenu.
Umempa taarifa? Nenda beba na hivyo ulivyofunga nenda navyo.Hivi nimesaga unga na nimenunua viazi na mboga za majani gunia kesho nilitaka nifunge safari kwa Shemeji Dar mbona naona kuahirisha sasa kwenda kwa Dada Segerea
VizuriAcha uoga wa kijinga. Mtu ashindwe kuishi maisha yake kwa kuhofia atakufa siku moja? Kuna ambaye hatokufa? Kama una mali unashindwa hata kuandaa wosia juu ya warithi wa mali zako?
Lakini huwa tunawajulisha. Siyo kufanya surprise halafu mjue bei za mihogo huko mbwinde ni tofauti na huku Mbezi BeachMKuu kumbuka mnapokuja huku bush tunawabeba kichizi,na mnakula mtadhani bongo hakuna misosi,utaskia napenda sana mihogo ya bush Ina unga,unga...si nyie?
Watu wanajisahau sanaJam
Jamaa mbona una hasira dhidi ya ndugu zako wallikufanya nini mpaka unawaitia Mijitu?
Mkuu Jaribu kuwa Mnyenyekevu basi.
Hao unaowadharau ipo siku utawakumbuka na hutawaona.
Kama huwezi kumsaidia mtu basi achana naye ila usimpe majina mabaya eti Mijitu.....Itakuwa wewe Kweli Umeolewa maana hizo hasira tu sio kidogo.
Hapo amekuja na limkate leupe leupe hivi. Lipo kama sponji.MKuu kumbuka mnapokuja huku bush tunawabeba kichizi,na mnakula mtadhani bongo hakuna misosi,utaskia napenda sana mihogo ya bush Ina unga,unga...si nyie?
🤣🤣🤣🤣🤣Hata huku Itilima tunaishi kwa ratiba. Kuja na mkate isiwe sababu.
Naenda kiongozi kujitafuta kwa Dada na Mume wakeUmempa taarifa? Nenda beba na hivyo ulivyofunga nenda navyo.
Unaenda kwa shemeji yako.... 🤣🤣🤣🤣Naenda kiongozi kujitafuta kwa Dada na Mume wake