Hii tabia imekuwa sugu; mtu anaamua tu aje Dar kukusalimia na afikie kwako

Halafu cha ajabu wanawafukuza Nyumbani kwao ila ndo wasimamizi wa Mirathi yao wakifariki 😅😅😅
 
🤣🤣🤣
 
Semina nzuri, ili angalau hayo yawezekane basi hebu tumia nafasi yako kumwomba asikubali kila jambo analopelekewa mezani maana wanamharibia na matokeo yake maisha yanakuwa magumu mwisho tunakimbiana mjiniView attachment 2800311
Punguza siasa mkuu. Tangu enzi za Yesu watu walilalamika kulipa kodi wakaambiwa cha kaisari mpeni kaisari. Kwahiyo Mama Samia hatakuwa kiongozi wa kwanza kulalamikiwa. Kama una maisha magumu pambana huku ukimwomba Mungu akufanyie wepesi.
 
Kabisa.... kila mtu akae kwake. Mi nikienda nafikia Hotel kuepuka maneno. Wao wakija wanataka kufikia home.... kila mtu akae kwake.
 
Mbona na nyie mnalalamika mkienda us au ulaya watanzania wanawazimia simu. Siwasapoti Ila taarifa ni muhimu pia zamani mgeni akija anakuja na zawadi Kama chakula na sisi wa Kanda ya ziwa samaki.
Siku hizi anakuja kama alivyo ila anategemea aondoke tofauti na alivyokuja. Na hapo anapeleka maneno kijijini mabaya....
 
Na wanaanza kubaka na watoto wetu.... ni bora akuambie mapema ujue atalala wapi. Unakimlaza sebuleni analalamika kuwa watoto wako wamelala vyumbani mwao yeye umemlaza sebuleni. Kumbe humwamini pia kumwachia watoto. Dunia ya sasa mawasiliano ni muhimu sana.
 
Watu wanajisahau sana
Nawakumbusha , tomorrow is mystery hakuna aijuae!

Unaowadharau sahivi ipo siku utawahitaji na hutawapata!
Maisha mzunguko
Cha mhimu mtu atoe taarifa kwanza Kwa mhusika na kuwe na sbb inayomfanya aje!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…