Hii tabia imekuwa sugu; mtu anaamua tu aje Dar kukusalimia na afikie kwako

Hii tabia imekuwa sugu; mtu anaamua tu aje Dar kukusalimia na afikie kwako

Hii tabia imekuwa sugu. Yaani mtu anakaa tu na halmashauri ya kichwa chake anaamua kuwa nimpigie jamaa yangu yupo Dar nikafikie kwake.

Mi nipo zangu home jana inaingia simu ya Abouu. Ananiuliza maisha vipi namwambia safi tunalisongesha. Maneno maneno mengi mwisho anasema nipo Dar nataka nije kwako nielekeze. Nikamuuliza wakati unapanga kuja ulinishirikisha? Unaamua tu kuja kwangu hata hujanitaarifu.

Jamaa ame mind kawaambia watu nimemkataa. Ninyi wa Mikoani mnadhani huku ni kama kwenu huko ambako hamna ratiba maalum. Mnajiamulia tu.

Mwaka juzi nlimwacha mtu stand kwa upuuzi kama huo. Kakaa zake Mbwinde mwisho kaamua kuja town a anipigia simu kuwa yupo Dar anataka aje home. Nlimwambia tu kuwa sipo home na familia tumesafiri.

Akaanza kuomba basi nimpatie pesa ya sehemu ya kulala anisubiri. Nilimwambia mwezi mzima sitokuwa home. Akataka nimtumie nauli. Nlizima na simu kabisa. Huu ni wendawazimu.

Halafu tukiwaakaribisha mnaenda kutusema kijijini kuwa huku tunaishi maisha mazuri sana hatuwajali watu wa vijijini. Mnaenda kutuponda sana kijijini kuwa tunatumia pesa vibaya.




Mimi walienda kusema nafuja sana pesa badala ya kuwasomesha watoto wao. Mtu kazaa watoto 13 anataka nimsomeshee... Mimi nina 3 tu. Bado wanaenda kusema nakuaje na watoto wachache ... Mwanaume gani. Mke amenikalia kichwani anarudi jioni kama mwanamke. Wanataka wife awafulie nguo zao. Na wanakuwa wakali akirudi awapatie chakula n.k sina hamu na ndugu kabisa.

Mmoja tumekaa naye mwaka mmoja amekuja nimsomeshe diploma. Akirudi toka chuo anaangalia TV mpaka saa 4 akipewa kazi basi za home siku yupo asaidie... Anasema anateswa sana hawezi soma. Nikasubiri likizo. Akaenda kwao kusalimi. Nikamwambia atafute chuo aendelee kusoma huko nitamlipia ada.

Alilia sana anataka arudi Dar. Nlimwambia huku wifi yako atakutesa hutapata muda wa kusoma. Akabembeleza sana nilimkatalia coz alishanipakaza sana kijijini na kumchafua sana wife. Na mtu mwenyewe ni ndugu wa mbali kabisa..
Wanyoooshe baba wamezidi midomo. Watu kama Hao hawanaga shukrani
 
Mimi walienda kusema nafuja sana pesa badala ya kuwasomesha watoto wao. Mtu kazaa watoto 13 anataka nimsomeshee... Mimi nina 3 tu. Bado wanaenda kusema nakuaje na watoto wachache ... Mwanaume gani. Mke amenikalia kichwani anarudi jioni kama mwanamke. Wanataka wife awafulie nguo zao. Na wanakuwa wakali akirudi awapatie chakula n.k sina hamu na ndugu kabisa.

Mmoja tumekaa naye mwaka mmoja amekuja nimsomeshe diploma. Akirudi toka chuo anaangalia TV mpaka saa 4 akipewa kazi basi za home siku yupo asaidie... Anasema anateswa sana hawezi soma. Nikasubiri likizo. Akaenda kwao kusalimi. Nikamwambia atafute chuo aendelee kusoma huko nitamlipia ada.

Alilia sana anataka arudi Dar. Nlimwambia huku wifi yako atakutesa hutapata muda wa kusoma. Akabembeleza sana nilimkatalia coz alishanipakaza sana kijijini na kumchafua sana wife. Na mtu mwenyewe ni ndugu wa mbali kabisa..
Nasikia wasukuma wana hizi tabia[emoji23]
Mke wa kaka yao awafulie nguo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2772]
Akiyanani,
Nifue nguo za mume,
Za watoto,
Nifue na za mashemeji??
 
Yalinikuta Jumapili alikuja mtu wa aina hiyohiyo nyumbani tofauti ni kuwa huyu aliletwa na ndugu yangu, alichonikera ni vile alipofikishwa tu akawa na kidaftari chake ameandika namba za watu wake anaojua wapo Dar, akaomba simu yangu na kuanza kuwapigia mmoja hadi mwingine mbaya zaidi akawa anawaambia uongo kuwa yupo ameekaa kwangu kwa zaidi ya mwezi, kilichonikwaza zaidi siku iliyofuata nimerudi toka mihangaiko yangu jioni nakuta sebule imejaa hao rafiki zake kama kuna kikao cha kikoba wamechukua vinywaji kwa jirani bila kunishirikisha bill ipo kwangu.
Mgeni wako sio mstaarabu kabisa
 
Mkifa mitoto yenu inarudi mikoani kunyanyaswa......ndugu mliowaita wanoko hamuwataki wanachukua Mali zote ulizochuma....mke wa marehemu akishtaki,ndugu hutumia pesa za marehemu kushinda kesi....Hapo marehemu umelala kimya kaburini.Hii ndiyo dunia mkuu
Ukipunguza masikhara kumbe una nondo namna hii tu yeye? 😳😳😳
 
Kwa Maisha ya mjini na sio dsm tu mfano Mimi nimekulia bukoba mjini niseme tu Maisha ya mjini mtu anabidi kutoa Taarifa mwezi mmoja kabla hajaja kukutembelea .

Hii sio Chuki Wala kutopendana na hali ya kawaida ili kuondoa lawama kwa mwenyeji na mgeni .

Then baada yakutaka Bukoba nimeishi dsm na uncle MAISHA hayakuwa marahisi kivile kiasi Cha kufikia kwake unaanza kula ugali maharage na wali maharage hadi unaanza kujuta.

So Maisha ya mjini sio marahisi ni tofauti na kijijini huku umakini na matumizi ya Akili ni muhimu Tena muhimu ni kuhakikisha Afya ya Akili inakuwa salama.


So watu wa mikoani hasa vijijini mnabidi kupiga simu Mapema tofauti na hapo utazua mgogoro na mwenyeji wako.
 
Hii tabia imekuwa sugu. Yaani mtu anakaa tu na halmashauri ya kichwa chake anaamua kuwa nimpigie jamaa yangu yupo Dar nikafikie kwake.

Mi nipo zangu home jana inaingia simu ya Abouu. Ananiuliza maisha vipi namwambia safi tunalisongesha. Maneno maneno mengi mwisho anasema nipo Dar nataka nije kwako nielekeze. Nikamuuliza wakati unapanga kuja ulinishirikisha? Unaamua tu kuja kwangu hata hujanitaarifu.

Jamaa ame mind kawaambia watu nimemkataa. Ninyi wa Mikoani mnadhani huku ni kama kwenu huko ambako hamna ratiba maalum. Mnajiamulia tu.

Mwaka juzi nlimwacha mtu stand kwa upuuzi kama huo. Kakaa zake Mbwinde mwisho kaamua kuja town a anipigia simu kuwa yupo Dar anataka aje home. Nlimwambia tu kuwa sipo home na familia tumesafiri.

Akaanza kuomba basi nimpatie pesa ya sehemu ya kulala anisubiri. Nilimwambia mwezi mzima sitokuwa home. Akataka nimtumie nauli. Nlizima na simu kabisa. Huu ni wendawazimu.

Halafu tukiwaakaribisha mnaenda kutusema kijijini kuwa huku tunaishi maisha mazuri sana hatuwajali watu wa vijijini. Mnaenda kutuponda sana kijijini kuwa tunatumia pesa vibaya.




Mimi walienda kusema nafuja sana pesa badala ya kuwasomesha watoto wao. Mtu kazaa watoto 13 anataka nimsomeshee... Mimi nina 3 tu. Bado wanaenda kusema nakuaje na watoto wachache ... Mwanaume gani. Mke amenikalia kichwani anarudi jioni kama mwanamke. Wanataka wife awafulie nguo zao. Na wanakuwa wakali akirudi awapatie chakula n.k sina hamu na ndugu kabisa.

Mmoja tumekaa naye mwaka mmoja amekuja nimsomeshe diploma. Akirudi toka chuo anaangalia TV mpaka saa 4 akipewa kazi basi za home siku yupo asaidie... Anasema anateswa sana hawezi soma. Nikasubiri likizo. Akaenda kwao kusalimi. Nikamwambia atafute chuo aendelee kusoma huko nitamlipia ada.

Alilia sana anataka arudi Dar. Nlimwambia huku wifi yako atakutesa hutapata muda wa kusoma. Akabembeleza sana nilimkatalia coz alishanipakaza sana kijijini na kumchafua sana wife. Na mtu mwenyewe ni ndugu wa mbali kabisa..


Uko sahihi, ila yaendee haya mambo kwa Hekima na usiwe direct kama wewe peke yako ndo una busara, na wao wote wapumbavu.

Tofauti yao na wewe ni exposure tu, na sio kwamba wewe ni mjanja sana, hapana, huna ujanja wowote ule, ni fursa tu zimekutembelea.

Tunaitajiana, asikwambia mtu, unaweza umwa hapo mpaka mke akakutelekeza, ukaishia kwenda kijijini wao ndo wakakuhudumia.

Kuna wakati tunalipa gharama ya kusaidia watu. Kwa sababu tunatenda mem, unakuwa straight, unamwelewesha, basi.

Unawezaje mzimia mtu simu aliye stand? Nyie pumbavu ndo mnafanya watu wote tunaoishi Dat tuonekane wapumbavu, kwa nini usiongee naye umpe msimamo, kwa upendo?
 
Mbaya zaidi MTU akishakaa kwako siku akiondoka huko anakofikia Ni kumsema mkeo vibaya.

Mara jamaa kaolewa maana yule mke Ni mvivu. Mke mchoyo, mke anadharau n.k

Kumbukeni mke wangu Ni pambo la nyumba yangu, sio MTU wa kusonga ugali kwa ajili ya mijitu ya kijijini.

Mke wangu ashindwe kunilisha vipaja vya kuku kisa Kuna mgeni au mke wangu asiwe na Uhuru wa kujiachia nyumbani kwake kisa mgeni!

Kwendreni huko.


Hawa wake zenu mnaowaabudu wakija ndugu zao kuishi hapo hamfungui hata mdomo, hao wake zenu ndo wanaliwa huko mtaani na boda boda anayeleta gas, if you engage women that much, you engage shit, and you will pay the cost.
 
Yote ulioyaandika yanaongozwa na roho mbaya na umasikini. Kwa mtu muelewa anajua utaratibu na Aina ya maisha ya kijijini usingeshangaa mtu wa kijijini kuja kwako. Wao bado wapo ktk maisha ya kijamaa, kwao vitu, vyakula malazi sio bora kuliko utu.

Binafsi kila siku napenda kuwe na ugeni nyumbani kwangu, Kama naweza nawapatia kula, wakalala hayo mambo yao mengine mm sijali.

Niwasihi tu, maisha hayana formula unawadharau leo kesho unaweza ukawategemea, itakuaje nawe wakakupuuza na kukukimbia? Hilo unaloliita pambo lako laweza kukukimbia na uliowazimia simu wakawa kimbilio.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Uko sahihi, ila yaendee haya mambo kwa Hekima na usiwe direct kama wewe peke yako ndo una busara, na wao wote wapumbavu.

Tofauti yao na wewe ni exposure tu, na sio kwamba wewe ni mjanja sana, hapana, huna ujanja wowote ule, ni fursa tu zimekutembelea.

Tunaitajiana, asikwambia mtu, unaweza umwa hapo mpaka mke akakutelekeza, ukaishia kwenda kijijini wao ndo wakakuhudumia.

Kuna wakati tunalipa gharama ya kusaidia watu. Kwa sababu tunatenda mem, unakuwa straight, unamwelewesha, basi.

Unawezaje mzimia mtu simu aliye stand? Nyie pumbavu ndo mnafanya watu wote tunaoishi Dat tuonekane wapumbavu, kwa nini usiongee naye umpe msimamo, kwa upendo?
Nipo Direct sipendi unafiki. Hutaki amua. Nimeshasema sitaki wageni wa ghafla ambao sikujipanga nao. Nina watoto wadogo wananitegemea. Period.
 
Yote ulioyaandika yanaongozwa na roho mbaya na umasikini. Kwa mtu muelewa anajua utaratibu na Aina ya maisha ya kijijini usingeshangaa mtu wa kijijini kuja kwako. Wao bado wapo ktk maisha ya kijamaa, kwao vitu, vyakula malazi sio bora kuliko utu.

Binafsi kila siku napenda kuwe na ugeni nyumbani kwangu, Kama naweza nawapatia kula, wakalala hayo mambo yao mengine mm sijali.

Niwasihi tu, maisha hayana formula unawadharau leo kesho unaweza ukawategemea, itakuaje nawe wakakupuuza na kukukimbia? Hilo unaloliita pambo lako laweza kukukimbia na uliowazimia simu wakawa kimbilio.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Ndo nimeshasema. Ole wako uje kunifanyia surprise. Nitakusurprise dogo utashangaaa.
 
Mbaya zaidi MTU akishakaa kwako siku akiondoka huko anakofikia Ni kumsema mkeo vibaya.

Mara jamaa kaolewa maana yule mke Ni mvivu. Mke mchoyo, mke anadharau n.k

Kumbukeni mke wangu Ni pambo la nyumba yangu, sio MTU wa kusonga ugali kwa ajili ya mijitu ya kijijini.

Mke wangu ashindwe kunilisha vipaja vya kuku kisa Kuna mgeni au mke wangu asiwe na Uhuru wa kujiachia nyumbani kwake kisa mgeni!

Kwendreni huko.
Ukiumwa muda mrefu uko kitandani mke wako akikukimbia usijali sisi ndugu zako mijitu tutakuja kukuhudumia
 
Mambo mengine ni kuendekeza uchoyo tu jamani tufike sehemu tuongee ukweli kabisa, unamkimbiaje ndugu yako?? Rafiki yako?? Eti tu kisa maisha yako hayajakaa sawa?? Mimi Nina chumba na sebule na mgeni akija namfuata mbezi namtandikia godolo sebulen mim na nke wangu tunalala chumbani, kama mgeni ni mwanaume asubuh naamsha naye kwenye mishe mishe zangu, kama ni wa kike anabak na wifi yake, huyo mgen atakaa siku alizopanga yeye kukaa sio nimpangie maana hata safari sikumpangia. Akiomba nimzungushe town navunja ratiba zangu ili asafishe macho.

Kumbuka kila ntu anapenda kuja dar na hasa akiwa na ndugu huku anakuwa huru kwasababu anajua ana mwenyeji tuwe wapole tu chakula tuuuu kisitutoe imani, kama Ni kusemana sijui kumsema mke hayo hayawezi kuisha kwanini sisi hatuwawesemi??? Mbona kuyaandika hayo tayari umewasema?? Kuna mwanamke aliyeolewa akakosa kusemwa??
 
Back
Top Bottom