Mzee makoti
JF-Expert Member
- Jul 27, 2016
- 3,482
- 4,673
Haya Wai Chatttle katambikwe bintiTaahi.ra nyie, JPM kujichafua kwa wapumliwa visogoni kama wewe unahisi alicare? aliwaambia anapendwa na mke wake inatosha.
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Huna wafu huko kwenye ukoo wako ama huwa hamfi kwenu?!Na ndo kafa yeye katuacha.
CCM ilikuwa na utamaduni wa kuheshimiana, yeye ndo kaja kaanzisha tabia ya kutukana viongozi wastaafu, rejea kina Musiba, Hapi....sasa kibao kimemgeukia alale Kwa kutulia huko kaburini ale mitusi.
Wasaliti wa magufuli hadi kumuomba msamaha wanadiriki kuhoji integrity yake baada ya yeye kufa na kujipendekeza kwa mama ili kupewa cheo. Kuna huyu nape tunamuonya. Kuna january kajipendekeza hadi kapewa cheo kwa connection tunazijua. Kuna membe. Wacha waendelee kama hatujakipasua kidebe hiki ccm. Mjue uimara wa ccm ni kuwaepuka wanafiki na kutetea maslahi ya umma. Vinginevyo tutakipasua.CCM isifikiri tunaotukanwa humu kwenye mitandao kwa ajili yake hatuna damu!
Huo utaratibu wa vitoto ndani ya chama vinavyohojiwa hojiwa huko kwenye Midea na kumtukana marehemu JPM mkiendelea kuvichekea tutaona namna bora ya kudeal na CCM humu jamvini.
Niwahakikishie Viongozi wa CCM uasi huwa hauchukui japo dakika bali ni sekunde tu.
Hivi hamjiulizi wana CCM wengi waliokuwa wanakipambania CCM hasa hapa Jf wapo kimya?!
Sasa shauri yenu endeleeni kumtukana JPM mnachokitafuta mtakipata.
Tunatukanwa humu kwa ajili ya CCM tena kwa kutwezwa eti tunachukua elfu 7 halafu vi shetani fulani vinajikosha na kujipendekeza vinaangaliwa tu siyo?!
Endeleeni.
Umemaliza kila kitu.Ukiona mtu anamtukana Magu jua ni
Jambazi
Mwizi
Mfanya kazi wa serikalini aliyezoea rushwa na deals fake.
Askari wale wa deals fake.
Wafanya kazi serikalini waliokosa vipesa vya posho na vi semina uchwara vilivyokuwa havina maana na kupewa pesa za bure.
Doctors wa fake deals.
Nurses.
Traffic.
Wizarani.
Kuna wa$3ng3 walikuwa wanadhulumu viwanja vya wanachi masikini...
Walimu wenye vyeti fake.
Waliofukuzwa kazi kwa kukosa maadili kazini.
Na wengine wengi, wengi wanaomchukia Magu ni wachumia tumbo tu, wanafahamika..
Mara nyingi sababu zao kuu ni utekaji na uuaji... anyway wewe una uchungu gani na hao waliotekwa kwani umewazaa? Serikali yeyote ile duniani ukitaka kurefusha kalio kujifanya hero na umeonywa lazima kikupate, same na USA,Israel na nchi zote duniani...
Rip Magu, siwezi kuchoka kusema Magu ndiye raisi bora zaidi kwangu baada ya JK Nyerere kuwahi kutokea Tanzania...
BIG UPCCM isifikiri tunaotukanwa humu kwenye mitandao kwa ajili yake hatuna damu!
Huo utaratibu wa vitoto ndani ya chama vinavyohojiwa hojiwa huko kwenye Midea na kumtukana marehemu JPM mkiendelea kuvichekea tutaona namna bora ya kudeal na CCM humu jamvini.
Niwahakikishie Viongozi wa CCM uasi huwa hauchukui japo dakika bali ni sekunde tu.
Hivi hamjiulizi wana CCM wengi waliokuwa wanakipambania CCM hasa hapa Jf wapo kimya?!
Sasa shauri yenu endeleeni kumtukana JPM mnachokitafuta mtakipata.
Tunatukanwa humu kwa ajili ya CCM tena kwa kutwezwa eti tunachukua elfu 7 halafu vi shetani fulani vinajikosha na kujipendekeza vinaangaliwa tu siyo?!
Endeleeni.
ukisema hivyo ndio familia inapata mahitaji. Sasa funza wanamfaidi tu huko ardhiniUkiona mtu anamtukana Magu jua ni
Jambazi
Mwizi
Mfanya kazi wa serikalini aliyezoea rushwa na deals fake.
Askari wale wa deals fake.
Wafanya kazi serikalini waliokosa vipesa vya posho na vi semina uchwara vilivyokuwa havina maana na kupewa pesa za bure.
Doctors wa fake deals.
Nurses.
Traffic.
Wizarani.
Kuna wa$3ng3 walikuwa wanadhulumu viwanja vya wanachi masikini...
Walimu wenye vyeti fake.
Waliofukuzwa kazi kwa kukosa maadili kazini.
Na wengine wengi, wengi wanaomchukia Magu ni wachumia tumbo tu, wanafahamika..
Mara nyingi sababu zao kuu ni utekaji na uuaji... anyway wewe una uchungu gani na hao waliotekwa kwani umewazaa? Serikali yeyote ile duniani ukitaka kurefusha kalio kujifanya hero na umeonywa lazima kikupate, same na USA,Israel na nchi zote duniani...
Rip Magu, siwezi kuchoka kusema Magu ndiye raisi bora zaidi kwangu baada ya JK Nyerere kuwahi kutokea Tanzania...
Kweli alikuwa mshamba.
Wajanja ni wale wanaoyaacha mafisadi yajimwambafai na kuzurumu hadi kuuwa RAIA masikini
Wewe jamaa unafikiri kwa kutumia nini?CCM isifikiri tunaotukanwa humu kwenye mitandao kwa ajili yake hatuna damu!
Huo utaratibu wa vitoto ndani ya chama vinavyohojiwa hojiwa huko kwenye Midea na kumtukana marehemu JPM mkiendelea kuvichekea tutaona namna bora ya kudeal na CCM humu jamvini.
Niwahakikishie Viongozi wa CCM uasi huwa hauchukui japo dakika bali ni sekunde tu.
Hivi hamjiulizi wana CCM wengi waliokuwa wanakipambania CCM hasa hapa Jf wapo kimya?!
Sasa shauri yenu endeleeni kumtukana JPM mnachokitafuta mtakipata.
Tunatukanwa humu kwa ajili ya CCM tena kwa kutwezwa eti tunachukua elfu 7 halafu vi shetani fulani vinajikosha na kujipendekeza vinaangaliwa tu siyo?!
Endeleeni.
Ukimuona mtu anamsifia magufuli Ujue ni mnufaika wa wizi wa 1.5tnUkiona mtu anamtukana Magu jua ni
Jambazi
Mwizi
Mfanya kazi wa serikalini aliyezoea rushwa na deals fake.
Askari wale wa deals fake.
Wafanya kazi serikalini waliokosa vipesa vya posho na vi semina uchwara vilivyokuwa havina maana na kupewa pesa za bure.
Doctors wa fake deals.
Nurses.
Traffic.
Wizarani.
Kuna wa$3ng3 walikuwa wanadhulumu viwanja vya wanachi masikini...
Walimu wenye vyeti fake.
Waliofukuzwa kazi kwa kukosa maadili kazini.
Na wengine wengi, wengi wanaomchukia Magu ni wachumia tumbo tu, wanafahamika..
Mara nyingi sababu zao kuu ni utekaji na uuaji... anyway wewe una uchungu gani na hao waliotekwa kwani umewazaa? Serikali yeyote ile duniani ukitaka kurefusha kalio kujifanya hero na umeonywa lazima kikupate, same na USA,Israel na nchi zote duniani...
Rip Magu, siwezi kuchoka kusema Magu ndiye raisi bora zaidi kwangu baada ya JK Nyerere kuwahi kutokea Tanzania...
Sasa Mungu wako mbona hajakuondolea ccm inayokupa stress kila siku?Alikuwa ni dhalimu na mshamba wa kutupa, tunashukuru Mungu Kwa kutuondolea yule mtu muovu bila damu kumwagika.
Onyesha takwimu hizo barabara zilizojengwa kabla ya Magufuli kuwa waziri na barabara zilizojengwa akiwa waziri+ Akiwa rais
Sasa Mungu wako mbona hajakuondolea ccm inayokupa stress kila siku?
Waliobaki wasafi?Kwa kunisaidia onyesha barabara yoyote aliyojenga kwa mshahara wake.
Ameanza na mchafu zaidi.
Si wasafi, ila sio makatili kama yeye. Hatushiriki ukhanithi na hilo halina mjadala. Kapikeni idadi ya wapiga kura kuongopea umma kuwa mnakubalika.Waliobaki wasafi?
Sasa unalialia kitu gani humu?
Mpaka mnasusia uchaguzi tena uchaguzi mdogo?
Siyo wakatili kama yeye!Si
Si wasafi, ila sio makatili kama yeye. Hatushiriki ukhanithi na hilo halina mjadala. Kapikeni idadi ya wapiga kura kuongopea umma kuwa mnakubalika.
Siyo wakatili kama yeye!
Sasa mnaogopa nini kushiriki uchaguzi? Katili wenu si hayupo?
Kwa hiyo nyie hamtaki kushinda?Hatushiriki tunataka mshinde vizuri, ww unapoteza nini?
" ...uimara wa CCM ni kuwaepuka wanafiki..."Wasaliti wa magufuli hadi kumuomba msamaha wanadiriki kuhoji integrity yake baada ya yeye kufa na kujipendekeza kwa mama ili kupewa cheo. Kuna huyu nape tunamuonya. Kuna january kajipendekeza hadi kapewa cheo kwa connection tunazijua. Kuna membe. Wacha waendelee kama hatujakipasua kidebe hiki ccm. Mjue uimara wa ccm ni kuwaepuka wanafiki na kutetea maslahi ya umma. Vinginevyo tutakipasua.
Kwa hiyo nyie hamtaki kushinda?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Muda ni mwalimu mzuri, 2025 sijui mtamsingizia nani mtakapopata kipigo cha mbwa koko maama dhalimu wenu wa kumbebeshea zigo hayupo