Memba kama memba!Ulikua unatafuta nini mpaka ukayaona hayo makopo? ๐๐
Alafu yanakukera nini hayo makopo๐
Kijindoo special ๐๐Memba kama memba!
Kisado ๐คฃ๐คฃKijindoo special ๐๐
Iko siku utajua ni kanini wengi hujisalimisa kwenye makopo haswa kuanzia saa 6 usiku. Usidhani ni wajinga kuna mengi usiku wa manane.Kuna vitu vinanishangazaga sana umepanga nyumba lakini choo ni cha nje sawa hatujakataa, ila ndio uogope kutoka usiku na kuamua uweke kopo la kukojolea ndani? kuna watanzania mnaboa kwakweli sio freshi wala nini ndio maana wengi mna matatizo ya akili ustaraabu kitu cha bure mnakera bhanaa aaakhaa.
Mie natoka huku nimefumba macho kimtindo nisiupoteze usingiziUtuache na starehe zetu. Usiku mtu mpaka uende nje urudi usingizi ushakata!
Mara paap, unashikwa mkono! ๐ณ๐ณMie natoka huku nimefumba macho kimtindo nisiupoteze usingizi
Mikoa mingine mafis kama wote๐คฃ๐คฃMara paap, unashikwa mkono! ๐ณ๐ณ
๐คฃ hizo kelele nitakazopiga!! Nitaamsha mtaaMara paap, unashikwa mkono! ๐ณ๐ณ
Imagine na baridi la mbeya lile uamke usiku aah weeNulienda nyumba moja shyinyanga muda wa kulala nikaletewa ndoo nikaambiwa huku watu hawatokagi nnje usiku๐
Sasa sijui tuking'atwa OP atafaidikwa vipi.๐๐Mikoa mingine mafis kama wote๐คฃ๐คฃ
๐๐๐๐๐mwishowe ukutane na mtu akunase kibao๐Mie natoka huku nimefumba macho kimtindo nisiupoteze usingizi