baby success
JF-Expert Member
- Jul 14, 2022
- 548
- 1,799
Mabobo tuweke sisi makasiliko upate wewe? [emoji849][emoji849]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DuuuhhWewe msenge Fanya maisha yako
kile kisauti chwaaaa 😅Tulia hujui utamu wa bobo la kukojolea ndani😁😁
HahahahaKisado [emoji1787][emoji1787]
Chululululululuuuuuuu [emoji23][emoji23][emoji23]Tulia hujui utamu wa bobo la kukojolea ndani[emoji16][emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nulienda nyumba moja shyinyanga muda wa kulala nikaletewa ndoo nikaambiwa huku watu hawatokagi nnje usiku[emoji28]
😀😀Hapo kwenye kuanika kunakuwaga na aibu sana umenikumbusha mbali ilikuwa ni viboko nyumbani enzi hizo kutoa kopo asubuhi 😬😁😁
🤣🤣🤣Chululululululuuuuuuu [emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa shangazi ushasema self containee room, hilo kopo LA nini sasa???Mm siwez kutoka nje Yann mie Nina kikopo changu fresh Huwa nakiosha safi nakianika,chumba changu self container Room [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mikoa mingine mafis kama wote[emoji1787][emoji1787]
Hii tabia hipo hata kabla ujazaliwa, au baba na Mama yako hawajazaliwa. Security, uchovu kwenda mbali, mgonjwa etc.Kuna vitu vinanishangazaga sana umepanga nyumba lakini choo ni cha nje sawa hatujakataa, ila ndio uogope kutoka usiku na kuamua uweke kopo la kukojolea ndani? kuna watanzania mnaboa kwakweli sio freshi wala nini ndio maana wengi mna matatizo ya akili ustaraabu kitu cha bure mnakera bhanaa aaakhaa.
🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
dah umenkumbusha mbali sanaKuna vitu vinanishangazaga sana umepanga nyumba lakini choo ni cha nje sawa hatujakataa, ila ndio uogope kutoka usiku na kuamua uweke kopo la kukojolea ndani? kuna watanzania mnaboa kwakweli sio freshi wala nini ndio maana wengi mna matatizo ya akili ustaraabu kitu cha bure mnakera bhanaa aaakhaa.
🤣🤣Sasa si bora kwa wanawake naweza kuwatetea kwamba sio salama kutoka nje usiku kwenda kujisaidia, Ubaya unakuja mwamba mmoja mwenye ubingwa wake nae ana kopo lake kwaajili ya kukojolea😁