Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,009
- 60,629
Kuliko utusumbue majirani tafuta kakopo kako tu!😏🤣 hizo kelele nitakazopiga!! Nitaamsha mtaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuliko utusumbue majirani tafuta kakopo kako tu!😏🤣 hizo kelele nitakazopiga!! Nitaamsha mtaa
Nashangaa atapata faida ganiSasa sijui tuking'atwa OP atafaidikwa vipi.😏😏
Test leo kwenda kususu huku umefumba macho 😂 unafika fresh na kurudi.😀😀😀😀😀mwishowe ukutane na mtu akunase kibao😀
Na kukiwa na baridi utakojoa hata mara 3, sasa mara tatu zote unatoka nnje si utaonekana mwanga😂,ila kwa BOYS HAIFAIImagine na baridi la mbeya lile uamke usiku aah wee
Kakisado ka foma 🤣Kuliko utusumbue majirani tafuta kakopo kako tu!😏
Zaidi ya hapo nikujitesa tu!!!!!Kakisado ka foma 🤣
Kabisa mpendwa na uwoga unatawala hata haunanii vizuri 😁Utuache na starehe zetu. Usiku mtu mpaka uende nje urudi usingizi ushakata!
Inafaa mbona si unategesha tuNa kukiwa na baridi utakojoa hata mara 3, sasa mara tatu zote unatoka nnje si utaonekana mwanga😂,ila kwa BOYS HAIFAI
we unako ww😂😂 naona uko kwenye rangeKakisado ka foma 🤣
Hapo kwenye kuanika kunakuwaga na aibu sana umenikumbusha mbali ilikuwa ni viboko nyumbani enzi hizo kutoa kopo asubuhi 😬😁😁Mm siwez kutoka nje Yann mie Nina kikopo changu fresh Huwa nakiosha safi nakianika,chumba changu self container Room 😂😂😂
Na kijimvua hiki niende nje 😀😀😀wakati makopo km yote awee
Sijakupinga hata.Na kijimvua hiki niende nje 😀😀😀wakati makopo km yote awee
Kwa unamakopo mangapi ndani, tujue kwa siku ni lita ngapi [emoji1787]Na kijimvua hiki niende nje [emoji3][emoji3][emoji3]wakati makopo km yote awee