Comrade21
JF-Expert Member
- Apr 27, 2023
- 384
- 560
[emoji1787][emoji1787]Kuna mpangaji wetu alisafirigi kwenda Arusha, bahati nzuri akapata mishe kule kule. so akasema vyombo achukue mdogo wake ili tuchukue chumba. Ndani uvunguni kulikuwa na makopo kama mia hivi yote yamejaa kojo.