[emoji1787][emoji1787]Kuna mpangaji wetu alisafirigi kwenda Arusha, bahati nzuri akapata mishe kule kule. so akasema vyombo achukue mdogo wake ili tuchukue chumba. Ndani uvunguni kulikuwa na makopo kama mia hivi yote yamejaa kojo.
Tafuta kaself ..sigle room kenye choo...vikopo sio poa😂😂Nashangaa atapata faida gani
Jinsia gani?Kuna mpangaji wetu alisafirigi kwenda Arusha, bahati nzuri akapata mishe kule kule. so akasema vyombo achukue mdogo wake ili tuchukue chumba. Ndani uvunguni kulikuwa na makopo kama mia hivi yote yamejaa kojo.
Huku kijijini hakuna hata hizo nyumba za kupnga zenye vyoo ndaniTafuta kaself ..sigle room kenye choo...vikopo sio poa😂😂
Tena kijijin unakuta choo kipo kwenye migomba, na jinsi wabongo walivo na akili wakishakuona ww ndo pisi kali basi wanatega apo chooni ukitoka tu unaloHuku kijijini hakuna hata hizo nyumba za kupnga zenye vyoo ndani
So umekopolize sioHuku kijijini hakuna hata hizo nyumba za kupnga zenye vyoo ndani
Kama kawa ila adha nayopata ni kuwa siwez kwenda haja ndogo bila maji 😀😀So umekopolize sio
😀😀Mm hakipo mbali ila nje panatisha sitoki hata Kwa viboko 😀Tena kijijin unakuta choo kipo kwenye migomba, na jinsi wabongo walivo na akili wakishakuona ww ndo pisi kali basi wanatega apo chooni ukitoka tu unalo
Unaogopaje [emoji28][emoji3][emoji3]Mm hakipo mbali ila nje panatisha sitoki hata Kwa viboko [emoji3]
Aah wee sitokiUnaogopaje [emoji28]
[emoji1787][emoji1787], omba escotAah wee sitoki
Iyo escot ikija hapa itakopolize tu sitaki apate ajali za makusudi 🤣[emoji1787][emoji1787], omba escot
[emoji1787][emoji1787], uko sio poa basi kutakuwa kuna namna nyingne ya vitishoIyo escot ikija hapa itakopolize tu sitaki apate ajali za makusudi [emoji1787]
Ahhh, kumbe fisi tu na nyoka hao si unapiga tu kama mbwa [emoji1787]Amna wadudu tu fisi nyoka[emoji3][emoji3][emoji3]
🤣Una utani wew😀Ahhh, kumbe fisi tu na nyoka hao si unapiga tu kama mbwa [emoji1787]
Naona beseni nalo likihusishwa kwa ufanisi huo😂Kama kawa ila adha nayopata ni kuwa siwez kwenda haja ndogo bila maji 😀😀
🤣🤣🤣Hamna bhanaNaona beseni nalo likihusishwa kwa ufanisi huo😂
Hawa vitu vidogo tu, unawagonga vzuri tu [emoji1787][emoji1787]Una utani wew[emoji3]
Huwezi fanya hiyo kazi ya maji kwa kopo labda kindoo🤣🤣🤣Hamna bhana
Hujamuelewa auntie yaani self (container=kopo) room... 😂😂😂😂😂Sasa shangazi ushasema self containee room, hilo kopo LA nini sasa???