Sister Abigail
JF-Expert Member
- Sep 2, 2020
- 2,886
- 9,088
Yakikufika usinlaumu🤣Najua hauna hayo mambo , ila mke wa mtu kwani mimi ni fisi? Cha mtu huliwa na mtu😁😁😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yakikufika usinlaumu🤣Najua hauna hayo mambo , ila mke wa mtu kwani mimi ni fisi? Cha mtu huliwa na mtu😁😁😁
Ila wewe una matatizo sana.Mkuu umeniweka kundi na vijna aseee😁😁😁
Hapana mkuu,naskiaga tuWewe ulishajaribu?
Mhmmm kwa nini ?Ila wewe una matatizo sana.
Nanilii ndo nani mkuu mwaga tu huo mcheleUkweli usiosemwa wanawake wengi hushiriki heterosex kwa sababu za kiuchumi au atakapo kuzaa. Lakini kama anataka starehe ni aidha ajichue mwenyewe au atafute mwanamke mwenzake amchue(kusagana). Mbona Nanilii keshamalizana na mademu wote wakali hapo bongo movie?
Mchele ulishamwagika mkuu, kaz kwa ndege kudonoa.Nanilii ndo nani mkuu mwaga tu huo mchele
Mmoja sii anakuwa bisexual so full burudaniSasa si watakuteleza?wenzìo wataanza enjoy mambo yao wewe uko mnyonge unashangaa shangaa😄
Ha ha ha sie wengine wazito kufungua hizo code bhanaMchele ulishamwagika mkuu, kaz kwa ndege kudonoa.
Uzito wa kichwa chako usinisababishie kesi mm. Ndege wanatoka kote dunian hadi Marekan kuja kudonoa mchele af ww upo upo tu.Ha ha ha sie wengine wazito kufungua hizo code bhana
Uzee mkuu unachangia,kumbe wewe muoga ehhUzito wa kichwa chako usinisababishie kesi mm. Ndege wanatoka kote dunian hadi Marekan kuja kudonoa mchele af ww upo upo tu.
Kama umeshajua nachoogopa maana yake jibu unalo. Hata hivyo ni mambo yao hayatuhusu mkuu.U
Uzee mkuu unachangia,kumbe wewe muoga ehh
Unataka kuniambia ile miaka 50 ushaifikia?Mhmmm kwa nini ?
Lolote linaweza jitokeza 😁😁😁Unataka kuniambia ile miaka 50 ushaifikia?
Mmh dunia ina mengiMmoja sii anakuwa bisexual so full burudani
preach em sister!😍😍Hapana sitaki kuamini uumizwe na mwanaume mmoja au wawili urukie kwenye usagaji?labda tu uwe na hamu ya kutest hiyo kitu maana sio wanaume wote ni wabqya kuna wanaume wema na wamejaa mapenzi mpaka yanamwagika
Alafu nyie sii ndio mnatuitaka mbwaHapana sitaki kuamini uumizwe na mwanaume mmoja au wawili urukie kwenye usagaji?labda tu uwe na hamu ya kutest hiyo kitu maana sio wanaume wote ni wabqya kuna wanaume wema na wamejaa mapenzi mpaka yanamwagika
Vitu vidogo kabisa hivyoMmh dunia ina mengi
Kutendwa isiwe kisingio.Ni ujinga wao tu kukubali kushawishiwa na marafiki wabaya.