Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,564
- 34,341
Niaje rafiki?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niaje rafiki?
😘Niaje rafiki?
Kwaiyoo wewe unasaganaUnaongea kama mwanaume.ungekuwa mwanamke usingeandika haya
Shida wewe ni mwanaume na hayo yanawapata wanawake,so huwezi kuhisi vile wanavyohisi.
Bora ukae kimya
😘😘😘😘😘
Niko poa piaNiko poa. Habari ya wewe?
😋🔥🔥🔥🔥😘😘😘😘😘
Nini tena Manyanza 😄
Maumivu ya kuumizwa na mwanaume dawa yake mwanaume waache kusingizia ujingaHapana sitaki kuamini uumizwe na mwanaume mmoja au wawili urukie kwenye usagaji?labda tu uwe na hamu ya kutest hiyo kitu maana sio wanaume wote ni wabqya kuna wanaume wema na wamejaa mapenzi mpaka yanamwagika
Kwann tena Manyanza 😀raraa reree nimeumia ghafla 😣😣😣
Ni nguvu ya shetani. Wadada wanashiriki sana mahusiano ya kimapenzi wao wenyewe. Na wanatumia kivuli cha BFF(Best Friend Forever) au kuasili( Kulea mtoto wa kike).Habarini,
Kwenye jamii imezoeleka kuwa mapenzi ya jinsia moja kwa wanaume sahivi ni janga kubwa, miaka ya sasa changamoto kubwa ya kimalezi inakuwa ya wazazi kumchunga sana mtoto wa kiume kuliko wa kike.
Ila kuna ishu ambayo haisemwi sana ya usagaji (wadada kushiriki ngono wenyewe kwa wenyewe) nafikiri hii tabia ni kubwa kuliko inavyofikiriwa, na ni ngumu watu kushtukia viashiria
Ukiachana na skendo ya juzi ya usagaji ya mwimbaji wa nyimbo wa injili, kuna page nliingia fb nikaona baadhi ya wadada wanakiri kuwa wanafuatwa inbox kwenye mitandao ya Facebook na Instagram kutongozwa kimapenzi na wanawake wenzao.
Nimeshangaa kweli, mm mwanaume tangu nizaliwe sijawahi fatwa inbox kutongozwa na mwanamke, ila wadada mtandaoni wanatongozwa na wadada wenzao, wadada wengine utaona wanapost whatsapp status wanatoana out kwenye expensive dates (as if wanaume wa kutoka nao out hawapo), wanakodi chumba hotelini na wanaenda vacation pamoja unadhani ni ma bff kweli, kumbe utakuta most of the times wanasagana, ni nguvu gani iliopo kwenye hii tabia wajameni 😶
Nilisikia Lindi hii na huyo dada Tomboy anakiri kuwa wanawake wengi wanajihusisha na na hii tabia na wengi wao ni wake za watuHabarini,
Kwenye jamii imezoeleka kuwa mapenzi ya jinsia moja kwa wanaume sahivi ni janga kubwa, miaka ya sasa changamoto kubwa ya kimalezi inakuwa ya wazazi kumchunga sana mtoto wa kiume kuliko wa kike.
Ila kuna ishu ambayo haisemwi sana ya usagaji (wadada kushiriki ngono wenyewe kwa wenyewe) nafikiri hii tabia ni kubwa kuliko inavyofikiriwa, na ni ngumu watu kushtukia viashiria
Ukiachana na skendo ya juzi ya usagaji ya mwimbaji wa nyimbo wa injili, kuna page nliingia fb nikaona baadhi ya wadada wanakiri kuwa wanafuatwa inbox kwenye mitandao ya Facebook na Instagram kutongozwa kimapenzi na wanawake wenzao.
Nimeshangaa kweli, mm mwanaume tangu nizaliwe sijawahi fatwa inbox kutongozwa na mwanamke, ila wadada mtandaoni wanatongozwa na wadada wenzao, wadada wengine utaona wanapost whatsapp status wanatoana out kwenye expensive dates (as if wanaume wa kutoka nao out hawapo), wanakodi chumba hotelini na wanaenda vacation pamoja unadhani ni ma bff kweli, kumbe utakuta most of the times wanasagana, ni nguvu gani iliopo kwenye hii tabia wajameni 😶
Sababu ya kwanza kuenea haya mambo ni utandawazi . ( hasa teknolojia ya habari na mawasiliano) hutumika kushawishi , kueneza, na hata kuweka hadharani
2. Jambo la pili ni matatizo ya kijinsia. Wanawake wanaozaliwa na homoni za kiume huchochea jambo.
3. Inaweza kuwa sababu ya matatizo ya kimahusian
4. Inaweza.kuwa tamaa n.k
Kelsea 😊Sipati attention kabisa ya huyo mrembo 🤣🤣🤣
Nakosea wapo sijui?
☺️☺️☺️
Hayo ni mambo ya kibiolojia zaidi. Unavyovutiwa na mwanamke na usivyo vutiwa na mwanaume kwake inakuwa hivyo hivyo. Kwa mujibu waoHiyo namba 2 unaona ni sahihi kwa huyo mtu aliyezaliwa na homoni tofauti na muonekano wako kushiriki ngono na jinsia anayofanana nayo kimuonekano ?