Hii tabia ya usagaji miaka hii imeanza kuwakumba wadada wengi

Hii tabia ya usagaji miaka hii imeanza kuwakumba wadada wengi

Habarini,

Kwenye jamii imezoeleka kuwa mapenzi ya jinsia moja kwa wanaume sahivi ni janga kubwa, miaka ya sasa changamoto kubwa ya kimalezi inakuwa ya wazazi kumchunga sana mtoto wa kiume kuliko wa kike.

Ila kuna ishu ambayo haisemwi sana ya usagaji (wadada kushiriki ngono wenyewe kwa wenyewe) nafikiri hii tabia ni kubwa kuliko inavyofikiriwa, na ni ngumu watu kushtukia viashiria

Ukiachana na skendo ya juzi ya usagaji ya mwimbaji wa nyimbo wa injili, kuna page nliingia fb nikaona baadhi ya wadada wanakiri kuwa wanafuatwa inbox kwenye mitandao ya Facebook na Instagram kutongozwa kimapenzi na wanawake wenzao.

Nimeshangaa kweli, mm mwanaume tangu nizaliwe sijawahi fatwa inbox kutongozwa na mwanamke, ila wadada mtandaoni wanatongozwa na wadada wenzao, wadada wengine utaona wanapost whatsapp status wanatoana out kwenye expensive dates (as if wanaume wa kutoka nao out hawapo), wanakodi chumba hotelini na wanaenda vacation pamoja unadhani ni ma bff kweli, kumbe utakuta most of the times wanasagana, ni nguvu gani iliopo kwenye hii tabia wajameni 😶
Ni nguvu ya shetani. Wadada wanashiriki sana mahusiano ya kimapenzi wao wenyewe. Na wanatumia kivuli cha BFF(Best Friend Forever) au kuasili( Kulea mtoto wa kike).

Hapa ndo maana unaona wadada wawili karibu walingane, mda wote wanafuatana na kupostiana kwenye mitandao ya kijamii, ukiwauliza wanasema huyu ni mwanangu, huyu ni mama yangu. Ni nguvu na maelekezo ya Shetani yaliyo nyuma yake.
 
Wanawake wanasagana sanaa..
Pia kuna midume ni mishoga inafukunyuliwa na Wanawake....

Miezi 3 nyuma nilipata kushuhudia hii issue ya usagaji aloo! Dunia imepinduka chini juu
 
Habarini,

Kwenye jamii imezoeleka kuwa mapenzi ya jinsia moja kwa wanaume sahivi ni janga kubwa, miaka ya sasa changamoto kubwa ya kimalezi inakuwa ya wazazi kumchunga sana mtoto wa kiume kuliko wa kike.

Ila kuna ishu ambayo haisemwi sana ya usagaji (wadada kushiriki ngono wenyewe kwa wenyewe) nafikiri hii tabia ni kubwa kuliko inavyofikiriwa, na ni ngumu watu kushtukia viashiria

Ukiachana na skendo ya juzi ya usagaji ya mwimbaji wa nyimbo wa injili, kuna page nliingia fb nikaona baadhi ya wadada wanakiri kuwa wanafuatwa inbox kwenye mitandao ya Facebook na Instagram kutongozwa kimapenzi na wanawake wenzao.

Nimeshangaa kweli, mm mwanaume tangu nizaliwe sijawahi fatwa inbox kutongozwa na mwanamke, ila wadada mtandaoni wanatongozwa na wadada wenzao, wadada wengine utaona wanapost whatsapp status wanatoana out kwenye expensive dates (as if wanaume wa kutoka nao out hawapo), wanakodi chumba hotelini na wanaenda vacation pamoja unadhani ni ma bff kweli, kumbe utakuta most of the times wanasagana, ni nguvu gani iliopo kwenye hii tabia wajameni 😶
Nilisikia Lindi hii na huyo dada Tomboy anakiri kuwa wanawake wengi wanajihusisha na na hii tabia na wengi wao ni wake za watu
 
Hiyo namba 2 unaona ni sahihi kwa huyo mtu aliyezaliwa na homoni tofauti na muonekano wako kushiriki ngono na jinsia anayofanana nayo kimuonekano ?
Sababu ya kwanza kuenea haya mambo ni utandawazi . ( hasa teknolojia ya habari na mawasiliano) hutumika kushawishi , kueneza, na hata kuweka hadharani
2. Jambo la pili ni matatizo ya kijinsia. Wanawake wanaozaliwa na homoni za kiume huchochea jambo.
3. Inaweza kuwa sababu ya matatizo ya kimahusian
4. Inaweza.kuwa tamaa n.k
 
Hiyo namba 2 unaona ni sahihi kwa huyo mtu aliyezaliwa na homoni tofauti na muonekano wako kushiriki ngono na jinsia anayofanana nayo kimuonekano ?
Hayo ni mambo ya kibiolojia zaidi. Unavyovutiwa na mwanamke na usivyo vutiwa na mwanaume kwake inakuwa hivyo hivyo. Kwa mujibu wao
 
Back
Top Bottom