Hii tabia ya usagaji miaka hii imeanza kuwakumba wadada wengi

Hii tabia ya usagaji miaka hii imeanza kuwakumba wadada wengi

Una ushahidi kuwa kwa Afrika hii tabia ya Usagaji ilikuwepo tangu enzi?

Ushoga sawa, ulikuwepo japo haukuvuma na kuonekana halali, ila Usagaji Big NO
Ushoga na usagaji vimeletwa Africa kupitia biblia na Quran. Maana vimeandikwa kwenye hivyo vitabu inaonesha ya kwamba hayo mambo yanafanyika kwenye jamii zao na siyo jamii za Africa.

Hizo Dini ni zimechafua Mira na desturi ya mwafrica.
 
Hatari mtu wangu, mdada anataka mwanaume tall, dark, handsome, 6ft, 6 figures, 6 packs bongo hii wanaume wa hivyo wako wangapi?

Unakuta mdada anamtoa out/vacation expensive rafiki yake wa kike, wakati kwenye relationship yake na mwanaume, hajawahi mnunulia mwanaume wake hata biskuti ya tsh 500, unajua ni marafiki kumbe wanasagana🤔, sijui wasagaji wanapeana vitu gani adimu Hadi wanahongana, wakati wanasema wanawake nature Yao sio kuhonga, hatari mkuu Sister Abigail Sosthenes Maendeleo mzabzab DeepPond Ms R [US
Jamani wadada wowote mnaosagana hapa jf pm yangu ipo wazi...
ER=254990]Donatila[/USER]
Wee hujapata raha ya kusex na wanawake wanaosagana.....ebu piga 3sum kwanza nanbisexuals alafu ndio utaweza elewa.
 
Back
Top Bottom