mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
asali ya nyuki wakubwa tamu kelsea😋Watoto wa siku hizi hamuogopi kabisa wakubwa zenu 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
asali ya nyuki wakubwa tamu kelsea😋Watoto wa siku hizi hamuogopi kabisa wakubwa zenu 😂
Kinduche tena jamani...kha! Single maza una mane o mbofu mbofu.Hamna usidanganyike J.
Kidushe ni dushe mtoto bado ni kikubwa kubwa kibamia cha mzabzab ni kidunche yaani kakitu kadunchuu😅😅
Atakuwa anakutaka ukachungulie kidunche..Anavyopenda kuni bully sasa na usingo maza wangu akija hapa nimekwisha😅😅
Oya besty naomba bwana unitete huko kwenye vikao vyenu vya mashangazi wa jf....mnifikirie jamani au ndio bado mnataka mie niendelee na nyeto za mlenda vuguvugu
😂😂😂🤣 Wewe tulia, si kila mwanamke anapenda 🍆 kubwa.Oya besty naomba bwana unitete huko kwenye vikao vyenu vya mashangazi wa jf....mnifikirie jamani au ndio bado mnataka mie niendelee na nyeto za mlenda vuguvugu
Sasa si Itabidi nibebe na darubini kabisa yakuchungulia hicho ki micro organ😅Atakuwa anakutaka ukachungulie kidunche..
Madhara yapo ya kisaikolojia tu ila sio physically pale inapotokea wamekuwa addicted kwa sababu huwa wanachukia wanaume na hawataki kuolewaKwa mtazamo wangu;
Ni kama vile watu hawachukizwi na usagaji kwasababu wengi wanasema hauna madhara
Sasa kwa style hii naona utashamiri kuliko hata ushoga wa me kwa me
Haya mambo ya ngono ni marahisi ukiyaangalia kwa juu juu ila yana siri kibao, nadhani tunayofundishwa shule na kanisani ni machache kati ya mengi.
watasema; 'Kiranga, binti/ndugu yako akisagana utajisikiaje?'Usagaji ni haki ya kibinadamu, wanaosagana wao, nyie tatizo lenu nini?
Suala si binti yangu akisagana nitajisikiaje.watasema; 'Kiranga, binti/ndugu yako akisagana utajisikiaje?'
lakini hili suala halihitaji objective standpoint pekee, lina zile social ramificationsSuala si binti yangu akisagana nitajisikiaje.
That will be my subjective opinion and feeling. Haitabadikisha ukweki kwamba kusagana ni haki ya kibinadamu.
Nikikasirika, nikifurahi, nisipojali, yote hayo hayabadilishi ukweli kwamba kusagana ni haki ya kibinadamu.
Twende kwa logic na fact, zilizokubalika kinataifa katika mikataba ya haki za binadamu tuliyoikubali, si kwa feeling na emotions za mtu mmoja mmoja.
Mbona watoto wa matajiri ndiyo wanaongoza, usijibu vitu usivovijua, maceleb wakubwa duniani wanafanya ivo vitu kwa ajili ya tamaa, njaa na umaskini.....Tatizo la ushoga na usagaji linasababishwa na kuendekeza tamaa,njaa na umasikini tu,vinginevyo ni vigumu sana mtu kumtamani wa jinsia yake pasipo na sababu yoyote ile,
Msisahau wakati wa kulea watoto wenu muwaambie kiwa Weekness ni mtaji
Watanzania wengi hawa washikia bango usagaji ni wajinga.lakini hili suala halihitaji objective standpoint pekee, lina zile social ramifications
labda huko mbele tutalichukulia kawaida
ila sasa hivi lazima lichokoze sana watu, na vile watu hawalielewi ndo balaa. wengi wanasingizia mapepo tu
I'm here for you daughter 🤗🤗☺️💕mi singo maza
MmhNjaa kivipi yaani hebu fafanua.
Mfano mimi nikikutana na BFF wangu Evelyn Salt tukakoboana, njaa inahusikaje hapo?m
😍😍I'm here for you daughter 🤗🤗☺️💕