Hii tabia ya usagaji miaka hii imeanza kuwakumba wadada wengi

Hii tabia ya usagaji miaka hii imeanza kuwakumba wadada wengi

Mimi naongeo kama Mwanamke nakataa kabisa hii...labda uwe tu matamanio ya kutest hii kitu aisee,hakuna uhusiano wa kusagana na kuumizwa...ngoja nipate mawazo ya mtumishi Pridah Hivi ukiumizwa na mwanaume huwa unatamani Kusagana? Lamomy
Huyo kaamua tu kusagana na atakuwa na vielement vya usagaji… dog wa mtu anisumbue si nachukua mwingine tunalisongesha aiseee 🤣😹😹
 
Sawa wewe unaejua
Mbona watoto wa matajiri ndiyo wanaongoza, usijibu vitu usivovijua, maceleb wakubwa duniani wanafanya ivo vitu kwa ajili ya tamaa, njaa na umaskini.....

Watu wanaride G wagon na still wapo kwenye mapenzi ya jinsia moja....njaa na umaskini vinatokea wapi????....
 
Unaongea kama mwanaume.ungekuwa mwanamke usingeandika haya
Shida wewe ni mwanaume na hayo yanawapata wanawake,so huwezi kuhisi vile wanavyohisi.
Bora ukae kimya
Kwa hayo niliyoongelea sidhani kama kuyaelewa ni hadi niwe mwanamke kwanza. Sasa imekaaje mwanamke kutaka mwanamke mwenzake kama tiba ya usaliti?
 
Back
Top Bottom