Hii tabia ya usagaji miaka hii imeanza kuwakumba wadada wengi

Hii tabia ya usagaji miaka hii imeanza kuwakumba wadada wengi

Kutendwa isiwe kisingio.Ni ujinga wao tu kukubali kushawishiwa na marafiki wabaya.

Kwangu nikitendwa na mwanaume atakayenitoa stress ni mwanamme mwenzie.

Mwanaume ni mwanaume tu.Ile sauti yao nzito,ile harufu yao,ile misuli yao,zile command zao hata wanitende vipi siwezi kuridhishwa moyo na mwili na Ke mwenzangu.
Wanaume wana maudhi yao lkn tutapambana nao mpaka kieleweke
 
Shida kubwa wanaume wamepungua, hapa na maanisha walio left group(mapunga) na wale wala chipsi yai nguvu hakuna, ili kufidia nafasi ndio wadada wana sagana kwa kasi , hii hali haiwezi pungua itaongezeka maradafu miaka ijayo
bado hujatoa sababu ya maana tumia ubongo wako vizuri
 
Sababu ya kwanza kuenea haya mambo ni utandawazi . ( hasa teknolojia ya habari na mawasiliano) hutumika kushawishi , kueneza, na hata kuweka hadharani
2. Jambo la pili ni matatizo ya kijinsia. Wanawake wanaozaliwa na homoni za kiume huchochea jambo.
3. Inaweza kuwa sababu ya matatizo ya kimahusian
4. Inaweza.kuwa tamaa n.k
 
Back
Top Bottom