Hii tabia ya wanaume kukuna mkono wa mwanamke akisalimiana ni aibu tubadilikeni

Hii tabia ya wanaume kukuna mkono wa mwanamke akisalimiana ni aibu tubadilikeni

Machame Juu

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2013
Posts
1,514
Reaction score
3,363
Kuna jamaa demu wake mzungu wamekuja naye kutoka Marekani likizo Tanzania.

Yani kila mwanaume demu akisalimiana naye kwa mkono na kutambulishwa anakunwa kiganja.

Iwe vijana, makamo hadi wazee. Hadi ikafikia demu hatoi mkono wakati wa salamu.

Demu alifadhaika sana akamuliza jamaa yake what does that mean? I have never seen and experience such an annoying character like this i just feel uncomfortable. Jamaa yake alikasirika sana.

Hadi masela wa jamaa nao walikuwa wanakuna tu kiganja cha huyo demu.

Waswahili tubadilikeni hii tabia siyo nzuri ni aibu na inakushushia heshima. Siyo ngumu mtu kujiheshimu nakucontrol hisia zako.

Na hii tabia imetamalaki sana kwenye jamii zetu.
 
Kuna jamaa demu wake mzungu wamekuja naye kutoka Marekani likizo Tanzania.

Yani kila mwanaume demu akisalimiana naye kwa mkono na kutambulishwa anakunwa kiganja.

Iwe vijana, makamo hadi wazee. Hadi ikafikia demu hatoi mkono wakati wa salamu.

Demu alifadhaika sana akamuliza jamaa yake what does that mean? I have never seen and experience such an annoying character like this i just feel uncomfortable. Jamaa yake alikasirika sana.

Hadi masela wa jamaa nao walikuwa wanakuna tu kiganja cha huyo demu.

Waswahili tubadilikeni hii tabia siyo nzuri ni aibu na inakushushia heshima. Siyo ngumu mtu kujiheshimu nakucontrol hisia zako.

Na hii tabia imetamalaki sana kwenye jamii zetu.

Mimi waifu nimkatataza asimsalimie mwanaume yeyote kwa mkono.
Wenye hii tabia ni wafiraji fikiria jamaa mja ni mwanamume mwenzako anakufanyia hivyo
 
Nilivyokua na kinyaa siwezi kushake hands na mwanaume, hua nawaza pengine katoka kukojoa huko kajishika kadude kake hata kunawa hajanawa [emoji2961],

Akilazimisha kuleta kono lake nakunja ngumi nampa tano na hapo lazima nijifute na sanitizer [emoji40]
Bas wewe hujaexperience mambo cute....mikono iliyotoka kushika dudu inanukia njema kweli...usiwe unafuta.Karibu tule popcorn 🍿 mom🤭
 
Back
Top Bottom