Samaritan Nemesis
JF-Expert Member
- Mar 7, 2014
- 239
- 284
Nimegundua kitu uyo mzungu ni demu wako. Umejibu kwa uchungu sanaAngalia na hili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimegundua kitu uyo mzungu ni demu wako. Umejibu kwa uchungu sanaAngalia na hili.
Braza kwa haya maelezo uyu mzungu ni demu wako. Poleni wewe na demu wako kwa kukunwa mikono 🤣... yaan unamuelezea in details we third part gan uwe na maelezo yote haya bwana!!Yani alishangaa sana. Na jamaa yake akuwaficha waliomkuna mkono kwasababu mtasha alimueleza wote. Na atasimulia sana. Na huyu mtasha kasafiri Dubai, Qatar na misri anadai wanaume wa misri nao wanasumbua sumbua sana watalii wanawake hadi wana feel uncomfortable. Lakini anawasifia sana wanaume wa emirati na Dubei na Qatar jinsi walivyo na heshima wakiwa na wanawake.
Anadai wa misri sharm el sheikh ma tour guide wana grope kushika shika watalii wa kike sana.
Bora angesema dudu yaan kasema KIDUDE kweli!!!!! To yeyeHujaona alivyotupondea wanaume? Kwani asingeeleweka kwa kusema hapendi kushikwa mikono kwa kuhofia uchafu? Kulikuwa na sababu ya kuhusisha kushika dudu?
Sisi tukisema naye anasagana na kuja kushika mikono ya wanaume bila kunawa ni kosa kwani?
To yeye umeona balaa. Ndo mana anaita KIDUDELisagaji ndiyo tena linajisifu, pitia humu
Confession: Lesbianism inaniweka mbali na Jamii, nifanyaje niache
Salaam wote, Mimi ni Mwanamke mrembo, kimuonekano huwezi nijua kama nashiriki mapenzi ya jinsi moja, Nilijigundua hali hii nikiwa na umri wa miaka 10, nilikua na kiss na kushikana shikana na jirani yangu wa kike yeye akiwa na umri wa miaka 12, Tabia hii imeendelea na kua sugu hadi sasa...www.jamiiforums.com
Hiyo ni tabia mbovu na ni kosa la jinai kabisa, yaani Unyanyasaji wa Kingono (Sexual Harassment) na hata inaweza kuwa ni shambulio la kingono (sexual assault).Kuna jamaa demu wake mzungu wamekuja naye kutoka Marekani likizo Tanzania.
Yani kila mwanaume demu akisalimiana naye kwa mkono na kutambulishwa anakunwa kiganja.
Iwe vijana, makamo hadi wazee. Hadi ikafikia demu hatoi mkono wakati wa salamu.
Demu alifadhaika sana akamuliza jamaa yake what does that mean? I have never seen and experience such an annoying character like this i just feel uncomfortable. Jamaa yake alikasirika sana.
Hadi masela wa jamaa nao walikuwa wanakuna tu kiganja cha huyo demu.
Waswahili tubadilikeni hii tabia siyo nzuri ni aibu na inakushushia heshima. Siyo ngumu mtu kujiheshimu nakucontrol hisia zako.
Na hii tabia imetamalaki sana kwenye jamii zetu.
Tunasubiri mkuu na nitakukumbusha ukisahau iyo tarehe. Usisahau kuni tagHiyo ni tabia mbovu na ni kosa la jinai kabisa, yaani Unyanyasaji wa Kingono (Sexual Harassment) na hata inaweza kuwa ni shambulio la kingono (sexual assault).
Mtu akikutwa na hatia anaweza kufungwa jela kwa muda usiozidi miaka 5.
Mungu akitupa uzima, mwezi huu tarehe 24 au 25 nitafundisha kuhusu unyanyasaji wa kingono. STAY TUNED
Mkuu sasa umeandika nini? Siyo demu wangu bana.Braza kwa haya maelezo uyu mzungu ni demu wako. Poleni wewe na demu wako kwa kukunwa mikono 🤣... yaan unamuelezea in details we third part gan uwe na maelezo yote haya bwana!!
Akuuu namuacha mieMwache bhana hajaua mtu
Muongo mzee SIMBA🤣Mkuu sasa umeandika nini? Siyo demu wangu bana.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]akiwa mchanga sawa ila kuanzia miaka miwili siwezi [emoji119][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Una kinyaa kweli yaan......unaweza tawaza mtoto nikugaie mmoja na wako wawe Wawili?
Ni mitatu kabisa 🤣[emoji1787][emoji1787][emoji1787]akiwa mchanga sawa ila kuanzia miaka miwili siwezi [emoji119]
Una kichaa??Feminism and lesbianism at its best.
Na wewe hawapaswi kushika huo mkono wako uliojaa uovu kwa kusagana. Unaonuka nya na mikucha yako.
Kusalimiana kwa mikono ni ustaarabu unaopitwa na wakati ila si kwa kinyaa chako mpuuzi wewe.