Hii tabia ya wanaume kukuna mkono wa mwanamke akisalimiana ni aibu tubadilikeni

Hii tabia ya wanaume kukuna mkono wa mwanamke akisalimiana ni aibu tubadilikeni

Ashaliwa huyo tayar... That means wale wa mwanzo walivyo mfanyia hivyo wakafanikiwa kumla, waka tangazia wengine kwamba mzungu ni mama huruma hana baya ukimkuna tu utamla....
 
Ashaliwa huyo tayar... That means wale wa mwanzo walivyo mfanyia hivyo wakafanikiwa kumla, waka tangazia wengine kwamba mzungu ni mama huruma hana baya ukimkuna tu utamla....
Angalia na hili.
 
Kuna jamaa demu wake mzungu wamekuja naye kutoka Marekani likizo Tanzania.

Yani kila mwanaume demu akisalimiana naye kwa mkono na kutambulishwa anakunwa kiganja.

Iwe vijana, makamo hadi wazee. Hadi ikafikia demu hatoi mkono wakati wa salamu.

Demu alifadhaika sana akamuliza jamaa yake what does that mean? I have never seen and experience such an annoying character like this i just feel uncomfortable. Jamaa yake alikasirika sana.

Hadi masela wa jamaa nao walikuwa wanakuna tu kiganja cha huyo demu.

Waswahili tubadilikeni hii tabia siyo nzuri ni aibu na inakushushia heshima. Siyo ngumu mtu kujiheshimu nakucontrol hisia zako.

Na hii tabia imetamalaki sana kwenye jamii zetu.

Sasa wewe unageneralise wanaume wote badala ya kuwaambia hao waliofanya hicho kitendo? Ni vizuri ukaanza kubadilika wewe maana maelezo yako yanaonesha kuwa wewe pia unatabia hiyo ndo maana usema tubadilikeni
 
Sasa wewe unageneralise wanaume wote badala ya kuwaambia hao waliofanya hicho kitendo? Ni vizuri ukaanza kubadilika wewe maana maelezo yako yanaonesha kuwa wewe pia unatabia hiyo ndo maana usema tubadilikeni
Mkuu Sasa umeandika nini? Haya badilikeni basi.
 
Nilivyokua na kinyaa siwezi kushake hands na mwanaume, hua nawaza pengine katoka kukojoa huko kajishika kadude kake hata kunawa hajanawa [emoji2961],

Akilazimisha kuleta kono lake nakunja ngumi nampa tano na hapo lazima nijifute na sanitizer [emoji40]
Feminism and lesbianism at its best.

Na wewe hawapaswi kushika huo mkono wako uliojaa uovu kwa kusagana. Unaonuka nya na mikucha yako.

Kusalimiana kwa mikono ni ustaarabu unaopitwa na wakati ila si kwa kinyaa chako mpuuzi wewe.
 
Kuna jamaa demu wake mzungu wamekuja naye kutoka Marekani likizo Tanzania.

Yani kila mwanaume demu akisalimiana naye kwa mkono na kutambulishwa anakunwa kiganja.

Iwe vijana, makamo hadi wazee. Hadi ikafikia demu hatoi mkono wakati wa salamu.

Demu alifadhaika sana akamuliza jamaa yake what does that mean? I have never seen and experience such an annoying character like this i just feel uncomfortable. Jamaa yake alikasirika sana.

Hadi masela wa jamaa nao walikuwa wanakuna tu kiganja cha huyo demu.

Waswahili tubadilikeni hii tabia siyo nzuri ni aibu na inakushushia heshima. Siyo ngumu mtu kujiheshimu nakucontrol hisia zako.

Na hii tabia imetamalaki sana kwenye jamii zetu.

Badilika wewe na wahuni wenzio, sisi hata kwa wake zetu hatufanyi hivyo.
 
Kwa hiyo Mtasha kawasilimulia kakunwa mkono...daah
Yani alishangaa sana. Na jamaa yake akuwaficha waliomkuna mkono kwasababu mtasha alimueleza wote. Na atasimulia sana. Na huyu mtasha kasafiri Dubai, Qatar na misri anadai wanaume wa misri nao wanasumbua sumbua sana watalii wanawake hadi wana feel uncomfortable. Lakini anawasifia sana wanaume wa emirati na Dubei na Qatar jinsi walivyo na heshima wakiwa na wanawake.

Anadai wa misri sharm el sheikh ma tour guide wana grope kushika shika watalii wa kike sana.
 
Feminism and lesbianism at its best.

Na wewe hawapaswi kushika huo mkono wako uliojaa uovu kwa kusagana. Unaonuka nya na mikucha yako.

Kusalimiana kwa mikono ni ustaarabu unaopitwa na wakati ila si kwa kinyaa chako mpuuzi wewe..
Jaman,mbona umemrukia na huyu tena? Huyu dada mstaarabu sana mbona.daa
 
Jaman,mbona umemrukia na huyu tena? Huyu dada mstaarabu sana mbona.daa
Hujaona alivyotupondea wanaume? Kwani asingeeleweka kwa kusema hapendi kushikwa mikono kwa kuhofia uchafu? Kulikuwa na sababu ya kuhusisha kushika dudu?

Sisi tukisema naye anasagana na kuja kushika mikono ya wanaume bila kunawa ni kosa kwani?
 
Nilivyokua na kinyaa siwezi kushake hands na mwanaume, hua nawaza pengine katoka kukojoa huko kajishika kadude kake hata kunawa hajanawa [emoji2961],

Akilazimisha kuleta kono lake nakunja ngumi nampa tano na hapo lazima nijifute na sanitizer [emoji40]
Duh
 
Back
Top Bottom