bitimkongwe
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 7,794
- 7,551
Feasibility study ilifanyika 1967 na environmental assessment ilifanyika mwaka 1981.Wenye akili ya kuku hawajui kuwa wazo la umeme wa Stieglers Gorge lipo hata kabla ya uhuru.
Mwalimu alisha anza kuliweka kwenye bajeti kwa kuanzisha RUBADA.
Utoto nao mzigo.
Kaka unajua biashara ngapi zimekufa kule Arusha katika awamu ya tano kwa kisingizio cha kupambana na huo uzembe?.Hata kama uzembe umekuwepo kabla, lakini anayejitokeza kuuondoa kwa vitendo lazima apongezwe, na ni ajabu sana kutowashangaa wale wanaokumbatia huo uzembe kwa sababu wameukuta ukiwepo tangu kabla, hapa nawe ukiwa mmoja wao.
Wewe jidula mabambasi,unajulikana wazi,wewe ni wakili wa shetani,ktk umri wako wewe,hujawahi kimpenda mtu mwadilifu.Wenye akili ya kuku hawajui kuwa wazo la umeme wa Stieglers Gorge lipo hata kabla ya uhuru.
Mwalimu alisha anza kuliweka kwenye bajeti kwa kuanzisha RUBADA.
Utoto nao mzigo.
Angejenga huko newala ingekuwa sawa siyo?Ukweli ndiyo huo mpaka akanuia kujenga Chuo Kikuu Chato kijijini kwao.
Usitake kunidanganya Royal Tour imekuwa na mafanikio wakati hakuna chochote kilichobadilika huko Arusha, zile propaganda za kusema wageni wameongezeka zimejifia kifo cha mende.Kaka unajua biashara ngapi zimekufa kule Arusha katika awamu ya tano kwa kisingizio cha kupambana na huo uzembe?.
Awamu ya tano licha ya kutekeleza miradi mikubwa, kuna akili fulani ya utendaji kazi ilikuwa inapungua.
Africa/Tanzania naomba niongelee Tanzaniani nchi yenye watu makini sana yaani wenye akili nyingi sanaa isiyo na mfano tena akili asilia kabsa na ukiacha kufichwa fichwa vitu lakini sisi bado tuna uelewa mkubwa sana ambao sio wa kufundishwa na dunia nzima inajua yaani mataifa yote ya nchi yanafahamu hakuna asiyejua Tanzania ni nani?
Magufuli alikuwa ni akili Kubwa.
Kiongozi mzuri ni yule anayefanya maamuzi siyo kuwa na mpango tu kwenye makabrasha.
Wazo bila uthubutu halina maana. JPM ni next level
Tukubali tu yule baba alikua nabii
Na wewe mwenye akili za kuku , uliyembeba Ibilisi muuaji mgongoni, hujui hata uadilifu ni nini.Wewe jidula mabambasi,unajulikana wazi,wewe ni wakili wa shetani,ktk umri wako wewe,hujawahi kimpenda mtu mwadilifu.
Hii ni kanuni mojawapo kwenye kanuni 48 za kutawala... Ukweli mchungu sana huu.Hizo Story tu Mkuu,hakuna utawala usio ua,kuna criminals ambao ni lazima uwamalize ili nchi itulie.
Ata wewe ukipewa Urais na kuna criminals mbele Yako ambao wanakuwekea Giza,uta dili nao tu,hamna namna.
Serikali haiwezi kuangaika na mtu ambaye hana madhara kwa usalama wa nchi na ndiyo maana unapopewa uongozi unakula kiapo!
Kwamba CIA walimuua jfk?[emoji848] Sikupingi ila hii ni Moja ya unsolved conspiracy theory.Hizo ni protocol za kiusalama,na ndiyo maana ata CIA walimuua Rais John Kennedy kwasababu alikwenda kinyume na kiapo.Sasa sembuse wewe Mwayangumwayangu ulete ngebe Dola likuache.
Kwani halikutekelezwa kwa miaka yote hiyo au halikuwa na umuhimu?Wenye akili ya kuku hawajui kuwa wazo la umeme wa Stieglers Gorge lipo hata kabla ya uhuru.
Mwalimu alisha anza kuliweka kwenye bajeti kwa kuanzisha RUBADA.
Utoto nao mzigo.
Na alitusaidia kweli tukapata uhuru japo wa benderaHitler was more visionary than him. Industrialized Germany and both were murderers
Akaipeleka wapi ili tukachukue maana mwenyewe kafariki hivyo hakuna wa kuzuia, uwizi ni kosa la jinai na jinai halifiAmeiba fedha nyingi mno kwa mgongo wa miradi.
Hata kwenye nchi mnazosifia kuhubiri demokrasia zinaongoza kuua, chukulia marekani inaua wangapi. Vile vile unadhani wale walionyang,anywa tonge mdomoni hawezi kufanya matukio kama hayo ili kuharibu taswira ya yule aliyenyang'anya.Je hapakuwa na mauaji kabla ya Magufuli kuingia?Hivi hayo yote hayawezi kutokea hadi upoteze watu kwa sababu tu wana mawazo tofuati na yako! Wewe nani hadi ujione wewe tu ndiye mwenye mawazo sahihi na hutaki kukosolewa na yeyote.
Aliukuta ujenzi ukiwa kwenye asilimia ngapi, ni mradi gani mkubwa aliouanzisha yeye tangu aingie au hakuna miradi mikubwa mingine inayohitajikwa hiyo mfu wako anaijenga akiwa kaburini? Wapumbavu ni wapumbavu tu, kila siku kumwongelea mfu anayetumikia adhabu ya kaburi. Mmeishiwa kichwani mpaka basi. Anayejenga uo mradi ni Samia Suluhu Hassan we ngedere
Uliwahi kuwaulizia wafadhali wa awamu ya tano licha ya miradi mingi kuanzishwa na kuonekana kufanikiwa?.Usitake kunidanganya Royal Tour imekuwa na mafanikio wakati hakuna chochote kilichobadilika huko Arusha, zile propaganda za kusema wageni wameongezeka zimejifia kifo cha mende.
Muhimu hapa tutajiwe mfadhili tumjue..
Hujui historia ya Bwawa la nyerere wewe plan zake zimeanza.... 1928 na waingereza kabla hata ya Magufuli hajazaliwa, unajua kwanini paliitwa Stigler gorge ?? Au unampigia marehemu mapambio tuAlitaka kujenga treni ya Umeme Tanzania, swali likaja umeme atautoa wapi wa kuendesha hiyo treni?
Akapiga akili akagundua kuna uwezekano wa kupata zaidi ya 2000 MW green energy huko Rufiji Delta, akaingia lab kazi ikaanza, Bwawa la kuzalisha umeme zaidi ya 2000 MW likaanza kujengwa fasta sambamba na Miundombinu ya treni ya umeme.
I mean this is genius, kafikiria Tanzania inategemea Utalii kwa mapato lakini Watalii wanaletwa na foreign Airlines hivyo sehemu kubwa ya mapato kwenda nje badala ya nchini kaingia lab kaja na suluhisho kununua ndege zitakazoleta Watalii moja kwa moja nchini.
Tanzania inauza maua nje lakini inategemea Kenya Airways/KLM kusafirisha kwenda EU kaingia lab kaja na suluhisho tunahitaji ndege ya Cargo ili kusafirisha maua moja kwa moja ndege imepokelewa juzi.
Akili hii ipo Japan, Ulaya na USA ya zamani tu.
Kumbe hujielewi, kukwambia ututajie mdhamini wa Royal Tour ndio chuki[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ok basi, wewe baki na mahaba yako🫣🫣Uliwahi kuwaulizia wafadhali wa awamu ya tano licha ya miradi mingi kuanzishwa na kuonekana kufanikiwa?.
Punguza kuishi na chuki zisizo na sababu.