HII TIMU INAYOMRUBUNI FEI TOTO ILI IMSAJILI MPAKA AKAVUNJA MKATABA NA KLABU YAKE YA YANGA MBONA AIMTAMBULISHI MPAKA SASA KAMA YUKO HURU?

Tumpe pesa Chama, Manula, Inonga na Kapombe kesho wawaingizie pesa bank za kuvunja mkataba bila kukutana na uongozi wa Simba? Mtakubali au umevimbiwa maharage Sasa unajambajamba tu?
 
We naye hujui ulichoandika... 'mkataba unaboresha pale unapoongeza mkataba' umeelewa hii sentensi???
 
Weka hapa huo mkataba wote wa Feitoto tuuone wote
 
Kwisha habari yao wakamtafutie timu ya kucheza sasa maana wamemjaza ujinga wapambe nuksi nae akajaa kama puto, uamuzi ni wake kuendelea kukipiga yanga ama auzwe nje ya nchi na sio Tanzania, unapomwaga mboga wenzako wanamwaga ugali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…