Unavoidable Servant
JF-Expert Member
- Oct 13, 2021
- 1,728
- 4,545
Tumpe pesa Chama, Manula, Inonga na Kapombe kesho wawaingizie pesa bank za kuvunja mkataba bila kukutana na uongozi wa Simba? Mtakubali au umevimbiwa maharage Sasa unajambajamba tu?Mpaka mfanyakazi kuamua kuvunja mkataba ina maana hajaridhishwa na malipo au huduma anazopata.
Kuna kipengele cha kuvunja mkataba na kinaelezea namna ya kuvunja mkataba kama kipo na mchezaji akataka kuvunja mkataba mimi sioni kosa lake. Nilivyosikia kwenye kipengele cha kuvunja mkataba unatakiwa ulipe 100 milion. Sasa Yanga hawataki wanataka Feisal abaki kucheza.
Morrison naye mliandama mpaka sijui wapi, wachezaji wanataka masilahi (pesa)