Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
- Thread starter
-
- #41
Huyu ni Raisi wa Nchi Sio Raisi wa TFF wala wa WasafiStress, chuki na husda zitawauwa vijana.
Don't take life too seriously!
Wala kulalamika na Mikwara kama ya Lissu Sio dalili ya uongozi bora!
Lazima kuwepo na light moments!
Wewe ndio umetafsiri kipuuzi... Hakuna mahali amemaanisha anataka kupiga picha na Rais ili kumringishia mpenzi eti sababu ya uanamke wa Rais. No way acha ujinga. Anaomba kupiga sababu na mamlaka ya utaasisi wa rais, ili mpenzi wake ajue jamaa kwa sasa yupo juu au kimjini mjini ni system.. Umeelewa we tikiti... Tumpe heshima Rais wetu wakati mwingine.Sijajua kilitokea nini Hadi wahusika wakakubali kitu cha ajabu namna hii kikatokea. Hili lililotokea halikua sehemu ya uchekeshaji.... Huwezi kuomba kupiga picha na Rais WA Nchi (Mwanamke) eti ili umkomoe Ex wako. This is bulshit na Kwa kweli tuzuie huu ujinga usiendelee.
View attachment 3246880
Nami nimeona haya maajabu, yaani rais mwanamke.Naomba mwamba kaomba raisi amchumu ila akamchomolea hivi nakumsindikiza na neno,...."kichwa chako wewe"
Ahahahah wale wazee walikuwa na Protocol kali. Kwanza hakuna mtu alikuwa anamsogelea kirahisi bila sababu za kiserikali.Nami nimeona haya maajabu, yaani rais mwanamke.
Ndiko tulikofika, hivi mkapa kuna mjinga angeweza kumsogelea apige picha ya kumringishia X kweli?
Kwahiyo mkuu unasema jamaa angesema Mh. Rais naomba nikushike kiuno ili nimkomeshe mke wangu ananikataza kushika kiuno chake wewe kwako ungechukulia poa tu.Stress, chuki na husda zitawauwa vijana.
Don't take life too seriously!
Wala kulalamika na Mikwara kama ya Lissu Sio dalili ya uongozi bora!
Lazima kuwepo na light moments!
Eeh haishindikani, cheo cha uraisi kimeshushwa hadhi sana. Raisi anachezewa kama mjumbe. Mtu ukiwa hata na Kipaimara cha mtoto unaweza kuita "KIPAIMARA CHA MAMA" kisha ukamkaribisha aje kama mgeni rasmi.Kwa mtindo huu hata Shishi Baby anaweza kuwa rais
Kwamba?!🤣Maza naye ni NTU
Angalia akili za Vijana wa kitanzania, hapa ndio umejipinda weeeeee. Haya next time kuna Watu watajitokeza wapige picha na wazazi wao ili wakawarinishie ma-ex zaoWewe ndio umetafsiri kipuuzi... Hakuna mahali amemaanisha anataka kupiga picha na Rais ili kumringishia mpenzi eti sababu ya uanamke wa Rais. No way acha ujinga. Anaomba kupiga sababu na mamlaka ya utaasisi wa rais, ili mpenzi wake ajue jamaa kwa sasa yupo juu au kimjini mjini ni system.. Umeelewa we tikiti... Tumpe heshima Rais wetu wakati mwingine.
Unatetea hata upumbavuAcha makasiriko ya kipuuzi.
Sioni cha ajabu, kwasababu context (event yenyewe) ni sahihi. Material ya comedian ni vyote vinavyomzunguka! Hata Rais wa Marekani hugeuka kuwa comedian siku ya annual White House Correspondents' Dinner!Sijajua kilitokea nini Hadi wahusika wakakubali kitu cha ajabu namna hii kikatokea. Hili lililotokea halikua sehemu ya uchekeshaji.... Huwezi kuomba kupiga picha na Rais WA Nchi (Mwanamke) eti ili umkomoe Ex wako. This is bulshit na Kwa kweli tuzuie huu ujinga usiendelee.
View attachment 3246880
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yeye mwenyewe kakubali hayo maigizo ndio maana kapewa tuzo ya uigizaji.
Hivi na nyie mlitarajia division 0 ijifiche kweli?
View attachment 3246887
Na huyo aliyekubali ana lakeSijajua kilitokea nini Hadi wahusika wakakubali kitu cha ajabu namna hii kikatokea. Hili lililotokea halikua sehemu ya uchekeshaji.... Huwezi kuomba kupiga picha na Rais WA Nchi (Mwanamke) eti ili umkomoe Ex wako. This is bulshit na Kwa kweli tuzuie huu ujinga usiendelee.
View attachment 3246880