Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
James delicious mpaka mafuta wa bwana 😀 😀 😀SHOGA LA KIPEMBA unazingua ujue kama hutaki kunipa icho kitobo sema🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
James delicious mpaka mafuta wa bwana 😀 😀 😀SHOGA LA KIPEMBA unazingua ujue kama hutaki kunipa icho kitobo sema🤣
Anhaa sawasawa.Ubaguzi ni sehemu ya maisha.
SHOGA LA KIPEMBA kutoka zanzibar🤣James delicious mpaka mafuta wa bwana 😀 😀 😀
James deaalicious tulia 😛SHOGA LA KIPEMBA kutoka zanzibar🤣
Anhaa sawasawa.
Kuonewa huruma kutoka utumwani kwenye mikono ya Waarab waliokuwa wanawabagua ni kulazimisha muungano?Ndugu
Tumlaumu Nyerere kwa upuuzi alioufanya......ukiangalia kwa umakini muundo wa muungano utagundua Nyerere alikuwa analazimisha!
Zanzibar walipata uhuru kabla ya huo muungano....... ukweli upo wazi Nyerere alilazimisha.....ndio maana wazanzibar waliabaki na serikali Yao....just imagine mtu wa bara hawezi kumiliki ardhi Zanzibar lakini wazanzibar wanaruhusiwa kununua na kumiliki ardhi bara....Kuonewa huruma kutoka utumwani kwenye mikono ya Waarab waliokuwa wanawabagua ni kulazimisha muungano?
Tatizo hampendi kukubali ukweli, kila kitachofanywa na Mzanzibari mtakitafutia angle ya kukikosoa. Umejiuliza kwanini huyu mlemavu kama kweli kwao ni Sinza akaamua kuhama na mji akaenda Zanzibar kuomba? It's simple, wazanzibari ni watu wenye imani na utu na hiyo dini yao unayoiponda ndo inayowafunza hilo.Nimeiona hii video ya kijana Ali mwenye ulemavu na tatizo la kifafa. Nimesikitika sana alichofanyiwa na wananchi wenzetu wa Zanzibar.
Huyu kijana kwa wanaomjua wanasema amekulia Sinza na ni mlemavu kweli na amekua akiishi kwa kupata vibarua na kuomba msaada wa chakula na hela.
Udhalilishaji aliofanyiwa umeniacha na maumivu makubwa moyoni. Mtu hata kwa kumtazama usoni unaona dhahiri hayuko sawa na asiye na siha njema. Nimesawijika sana.
Wanasema amewaibia lakini hakuna uthibitisho wa hilo. Zaidi unaona ni chuki ya kwa kua ni mtu wa bara na zaidi ukisikiliza clip kwa uzuri kuna mtu anaropoka hawezi kua na msalaba huyo? Hiyo baada ya mmoja kumuuliza bwana Ali kuhusu mtu anaitwa Eric Masawe.
Nimekerekwa sana kwa udhalilishaji huu. Hii chuki ya dini ya mtu inatoka wapi? Asilani siwezi kumchukia mtu kwa dini yake hata kama si wa imani yangu na siafiki mambo juu ya imani yake. Kulikua na haja gani kutaja suala la msalaba?
Mimi kwetu Arumeru baba yangu alikua anakodisha ardhi kwa wazanzibari kiroho safi bila kujali dini zao wala utofauti wa makabila. Lakini, wenzetu hii chuki inatoka wapi?
Bwana Ali ametwezwa sana utu wake. Na huyu ni ndugu muislam vipi kwa asiye muislam? Hivi ndio dini inaelekeza? Kama mnaona kuomba anapata sana basi nanyi muombe muone kama ni jambo la kujivunia.
Wazanzibari mkae mkijua kama ni hasira zenu basi muipelekee CCM na sio wananchi wa kawaida. Huyo ndie adui yenu na adui wa kila mmoja wetu.
Ifike wakati mstaarabike. Dini badala ya kutujenga zinatufanya kuwa mafala na majinga.
View attachment 2977699
Maneno haya hata Waccm waliopo humu wanakubaliana nayo 💯 % lakini kwa vile unasema wewe au mwenzao shati la kijani.Hatutaki muungano bila Tanganyika huru