Hii video kuhusu V8 ya Serikali inasikitisha sana

Halafu Jana Kairuki bungeni anasema kuna mabilioni yametengwa kwa kununua magari ya serikali,
Haya yapo huku yanapigwa jua, jaman inaumiza mnooo, [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Usha wahi kusoma report za CAG wakati wa magufuri? Zitafute usome then rudi humu
 
Asante Kwa taarifa nalifikisha sehemu husika...
#ASAP
 
Inasikitisha sana, mambo ya serikali ndivyo yalivyo...
 
Kuna viongozi sijui huwa kuja nguvu gani, unakuta amestaafu lakini anaogopwa. Itakuwa Watanzania ni waoga sana!
 
Kuna viongozi sijui huwa kuja nguvu gani, unakuta amestaafu lakini anaogopwa. Itakuwa Watanzania ni waoga sana!
Kuna Wakati ccm ilitaka kuwapangia hawa wastaafu shuhuri maalum ili wasiingilie shuhuri za chama na Serikali wakiwa wamestaafu; mkwere akafanya mbinu zake yule Katibu mkuu wa ccm wa wakati huo, akawa NDUGAINIZED siku hizi anazubaa zubaa kwenye corridors huko Lumumba!
 
Kusema kweli Katiba Mpya ni muhimu sana kwasasa.

Hata kama ni nguo, huwezi kukaa na nguo uliyoinunua Mwaka 1977 hadi leo hii. Lazima itakuwa imepitwa na wakati lakini pia itakuwa na Vilaka vingi mno
Sasa katiba mpya na hio v8 vinausiana nini
 
Wakat zzk akiwa na akili zake kabisa zileeee za ukwel, aliwahi kusema kuwa nchi hii inahitaji rais mkali(dictetor) na akatoa na sababu kuwa viongozi hawaogop wala hawaongozwi kwa maadili wanajiongoza wenyewe. Mwisho wa kinukuu....

Baada ya utawala wa magu, naiona maana halisi ya ile sentesi, maana ktk kipindi cha 2015-21 haya mambo tuliyasahau kabisa, tulizunguzia agenda na kama wizi ulijitokeza hatua zilichukuliwa on the spot,

Leo hii kila mfanyakazi anakula kulingana na urefu wa kamba yake, huenda tukafika ila 2 tutakuwa tumechoka saaaana au tutakuwa taifa lisilojari mali za uma kwa maneno rahisi uzalendo utakuwa umeondoka kabisa.

Tuipende nchi yetu hatuna nchi nyingine inayoitwa TANZANIA ulimwenguni kote
 
Kusema kweli Katiba Mpya ni muhimu sana kwasasa.

Hata kama ni nguo, huwezi kukaa na nguo uliyoinunua Mwaka 1977 hadi leo hii. Lazima itakuwa imepitwa na wakati lakini pia itakuwa na Vilaka vingi mno
Mkuu katiba haiwezi kuwa suluhisho la wizi ila suluhisho ni uzalendo kwanza watu wawe na hofu na Mungu. Na huo muundo uanze kwenye ngazi ya familia, shule, na jamii kisha ndyo huku juu, lile somo la uzalendo lilikuwa la muhim mno kuanzia shule ya msingi, ila tatzo kila mtu mjuaji.
 
ndio maana nchi za uarabuni huwa ikifikia hivi Raia wanaingia Ikulu kila mtu anatoka na chake

kwa haraka nilikuwa nawaona wapuuzi ila ukitafakari wana akili sana, Li V8 kama hilo mtu kajichukulia ukute hata kwa 30 mils
30 millions yote hio, hio mtu kauziwa million 10 tu hapo hamna maajabu chuma imeandikiwa scrap value
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…