BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 4,548
- 11,901
- Thread starter
-
- #81
Unazani kungekuwa na mfumo imara hilo gari lingekuwa hapo? Mnatetea ujinga mtupu, huyo mama ni veru weakKwanini mnataka kila kitu afanye Mama? Hilo gari limekwishaonekana mbona hara Mtendaji tu wa Mtaa wa Kitumbini anaweza chukua hatua?
Nadhani tatizo ni sisi walalamikaji wenyewe. Why kila kitu tumtupie Rais?
Kwani unadhani ikitengenezwa mtaani na bei ya gharama zake zitaandikwa zile zilizolipwa hapo garage ya mtaani. ??! Hakuna kitu kama hiyo ! Watu wanataka fweza mkuu !!mm concern yangu si gari kutengenezwa mitaani bali kutelekezwa.TEMESA hawana mafundi ni kama madalali tu.ukipeleka gari wanachaji mara mbili ya bei za mtaani halafu matengenezo yenyewe hayaridhishi.wanachukua mafundi mtaani ndo wanawatengenezea magari sasa si bora upeleke mtaani ambako gari litatengenezwa vzr na kwa bei nzuri?kwani mm nashangaa kwa nini TEMESA ipo mpaka sasa kama serikali inaihitaji basi iiboreshe.iajiri mafundi waliomaliza vyuo vya ufundi na ambao wamepractice kwa muda mrefu mtaani lkn kwa hali iliyopo sasa TEMESA ni madalali wa ufundi tu.
Hahaha...Ngojeni hapo hapo.
Mbowe hana njaa ni tajiri mkubwa sana kama ulikuwa haujui..hayupo kwenye siasa kwa ajili ya kutaka helaChadema hii ya akina Mbowe walamba asali. Thubutu!!
Maza hataki kupelekwa the Hague.Hahaha...
Umesahau kura za viroba, mabegi...?!
STL imeuzwa? Comment za aina hii ndio zinafanya watawala wachekelee, STK bado ziko Barabarani unasema STL imeuzwa?mm sioni kama kero haya magari yameuzwa lkn huwa yanabaki na namba za serikali na kukaa hapo muda mrefu si tatizo inabidi mtoa habari kwanza awe well informed kwa nn magari hayo yapo hapo halafu kwa utaratibu magari ya serikali yanapotengenezwa si lazima umma ujulishwe huo sio utaratibu wa kiutendaji.jambo usilolijua wewe pita njia achana nalo kama linakuuma basi fuatilia upewe ukweli vinginevyo hiyo stori haina masjiko kabaisa.
Ina maana watu wamemwachia Mama afanye kila kitu ? Hatar sana !!Mama anaupiga mwingi sana
Sawa...Maza hataki kupelekwa the Hague.
Kuuzwa ?! Au inataka kuibwa ??! Hapo zilipo nadhani ni karibu na mtaa wa libya wapo mafundi wa garage bubu, kimtaa kidogo kinachoelekea soko la kisutu !!STL imeuzwa? Comment za aina hii ndio zinafanya watawala wachekelee, STK bado ziko Barabarani unasema STL imeuzwa?
Mali hizo ni za wananchi ambao kila siku iendayo wanalipa kodi kupitia bidhaa na huduma mbalimbali wanazolipia !! Usiseme mali hazina mwenyewe ! Wenyewe ndio sisi sote ukiwemo na wewe !Hatari sana, mali zisizo kuwa na mwenyewe hizi, raia ni kweli tusipo amka, huu ujinga hautakaa uishe na ndio kwanza unaongezekana
STL hiyo inaonekana bado bomba sana !! Sidhani kama muda wake wa kuuzwa ulishafika !Labda serikali ilishauza hilo
Hao wa aina hiyo hawajuagi kitu ndugu yangu. Unaweza kuta hata kula ni shida kwao wanaishi kwa kuomba omba kwa madiwani na wabunge.Halafu Kuna majuha utayasikia mimi CCM dam dam aiseee mnaroho ngumu sana.
Nchi ngumu sana hii !!Gari imetelekezwa na hakuna aliyehoji liko wapi siku zote. Gari kali la thamani! No body cares!
Mkubwa ni jalala.Kwanini mnataka kila kitu afanye Mama? Hilo gari limekwishaonekana mbona hara Mtendaji tu wa Mtaa wa Kitumbini anaweza chukua hatua?
Nadhani tatizo ni sisi walalamikaji wenyewe. Why kila kitu tumtupie Rais?
Mbowe hana njaa ni tajiri mkubwa sana kama ulikuwa haujui..hayupo kwenye siasa kwa ajili ya kutaka hela