Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
CCM huwa wanaona watu wote hawana akiliHypocrisy
Hawa viongozi wanatuona kama sisi mizukule yao..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CCM huwa wanaona watu wote hawana akiliHypocrisy
Hawa viongozi wanatuona kama sisi mizukule yao..
Ameenda kufanya maigizoSikuwepo kwenye msafara wa viongozi bali nilikuwepo barabarani ndani ya gari nikasimamishwa ili kumpisha., baada ya muda namuona kwenye vyomba vya habari kapanga foleni, what a joke!
Wanatuona manyani au sioHypocrisy
Hawa viongozi wanatuona kama sisi mizukule yao..
Bongo movie at workAmeenda kufanya maigizo
Eti apange foleni labda ya kwenda kwa waganga wa kienyeji kule ndiyo huwa wanapanga kweli bila ubishiBongo movie at work
Simkejeli maana yeye nadhani anafata miapango iliyowekwa. Niwashangaa walioshindwa kumpisha kwenye foleniNilichoelewa hapa ni kwamba unamkejeli huyo mwanaserikali.
You're being sarcastic.
Maigizo kama haya hata mwanangu wa darasa la pili atashangaaHao wote wamepelekwa kwenye foleni na system, ni maigizo tupu
Ni upuuzi tupuMaigizo kama haya hata mwanangu wa darasa la pili atashangaa
Mimi nahisi hata kuko hapangi foleni, mganga anakuwa kapewa taarifa kwamba kuna mgeni mzito, siku inatengwa maalum kwaajili yakeEti apange foleni labda ya kwenda kwa waganga wa kienyeji kule ndiyo huwa wanapanga kweli bila ubishi
Loh nimecheka kwa nguvuEti Dotto naye amepanga foleni Bukombe
CCM ina watu wajinga snLoh nimecheka kwa nguvu
Ujinga ndio fahari yaoCCM ina watu wajinga sn
CCM wana mambo ya kijinga snUjinga ndio fahari yao
Usikute, yeye mwenyewe kwa kuamua kuigiza, amejipanga mstari.Ukosefu wa adabu wa kiwango cha juu. Watanzania hatupo hivyo