kichongeochuma
JF-Expert Member
- Jan 21, 2024
- 1,669
- 2,864
Hakuna chama chochote cha kuitoa CCM madarakani elewa hilo kwanza.Hiki chama kitatoka madarakani mpaka siku ya kihama.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna chama chochote cha kuitoa CCM madarakani elewa hilo kwanza.Hiki chama kitatoka madarakani mpaka siku ya kihama.
Kwanini kule barabarani hakupanga foleni badala yake tumesimamishwa kumpishaNi kawaida hamna jipya, huo ndo utaratibu kwa watu waliokuwa civilized.
Bongo movieKwanini kule barabarani hakupanga foleni badala yake tumesimamishwa kumpisha
Ndio maana bongo movie haiendelei, kila siku vitukoBongo movie
Ova
Tuna wadudu kichwaniHasa mataifa ya dunia ya tatu.
Inawezekana😄Inawezekana hawamfahamu
Hizo ni hadithi za watawala wanaotaka kuwashikia akili wajinga.
Uchawa tu, hakuna zaidi ya hapo.Huyo mubaba wa mbele mwenye shati la light blue kashika picha ya samia ili iweje?
View attachment 3121939
Sisi tuliosimama barabarani kumpisha ni manyani au sioLazima apange mstari na wanakijiji wenzake
Kuna mbaba hapo mbele kashika picha ya mazaHalafu mbona wamejichagua tu wamama,ilibidi pawepo na wababa
Kama barabarani angeenda kwa foleni na hapo ingekuwa sahihi.Huo unaitwa usanii wa kisiasa (political arts) si angeenda kwa foleni hata barabarani, ndio tulipofikishwa hadi ukombozi mpya wa kifikra.
Hii kauli hii! Aliyeianzisha Mungu anamuona.Na sauti ya wengi ni sauti ya Mungu.