THE FIRST BORN
JF-Expert Member
- Apr 24, 2019
- 2,224
- 4,472
Yanga hajawah kutolewa na Afika isiumie.
Jana Yanga katolewa Robo kwa wizi wa wazi Afika nzima saiv inapiga kelele kua vijana wa jangwani walionewa.
Pembe zote za Afrika saiv wanaisemea Yanga.
Las season Yanga second Leg Ya Final ya CAFCC Alifanyiwa uhuni mbele ya Motsepe kule Algeria Afika nzima plus magwiji wa soka Afrika walilalamika kua ule ni uhuni.. kuna mtu amesahau?
Hii Team ni uhakika inateka Nyoyo za Waafrika na soon itakua Moja ya Team zinazofatiliwa sana Afrika Acha rekodi za kufatiliwa za kubumbwa NO yani soon itakua Team akiulizwa mtoto wa Casablanca wa Miaka 4 anaitaja YANGA akiulizwa mtoto wa Tunis Anaisema..
Hii ndio maana ya YOUNG AFRICANS💚💛
Jana Yanga katolewa Robo kwa wizi wa wazi Afika nzima saiv inapiga kelele kua vijana wa jangwani walionewa.
Pembe zote za Afrika saiv wanaisemea Yanga.
Las season Yanga second Leg Ya Final ya CAFCC Alifanyiwa uhuni mbele ya Motsepe kule Algeria Afika nzima plus magwiji wa soka Afrika walilalamika kua ule ni uhuni.. kuna mtu amesahau?
Hii Team ni uhakika inateka Nyoyo za Waafrika na soon itakua Moja ya Team zinazofatiliwa sana Afrika Acha rekodi za kufatiliwa za kubumbwa NO yani soon itakua Team akiulizwa mtoto wa Casablanca wa Miaka 4 anaitaja YANGA akiulizwa mtoto wa Tunis Anaisema..
Hii ndio maana ya YOUNG AFRICANS💚💛