Hii Yanga ya Sasa inaanza kuingia kwenye Mioyo ya Waafrika kutoka kila pembe ya Afrika

Mnendelea kupunguza maumivu ya kutolewa robo fainali.
 
Wakati timu inaondoka kwenye Pretoria, msemaji wa Yanga, Ali Kamwe, alisema kuwa Yanga inaenda kuweka historia Afrika. Alikuwa sahihi; goli la Yanga lililokataliwa limeongelewa kutoka sehemu zote za Afrika kwa zaidi ya siku tatu mfululizo tangu mchezo uishe.

Yanga imeweka historia kweli. Huyo refa huenda hatakuja kupata mechi nzuri tena kama hii aliyovurunda.
 
Hii mada ndi9 unaiona jana
Huu msiba sijui utaisha lini kila siku watu wanaanzisha vilio tu, ila tatizo ni marehemu aliwaaminisha watu kuwa ana afya njema ila ghafla tu kapata mshtuko kafa
Wewe wakat ipo Week saiv.
Punguza Upopoma
 
The Club Above All
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…