Hiki anachofanya Masanja Mkandamizaji sio sahihi kabisa

Hiki anachofanya Masanja Mkandamizaji sio sahihi kabisa

Wakristo sijui kwann kila kukicha wanageuzwa fursa, imefikia wakat wamekuwa Kama mgodi usioisha madini
 
IMG-20210512-WA0009.jpg
 
Masanja pale hamna kitu kuna kitu nyuma ya pazia trust ze process
 
Nini maana ya makanisa rasmi ? Wakati Yesu anaondoka duniani aliacha kanisa gani rasmi unalolijua wewe ? Umeingia chaka hakuna unachokijua kuhusu injili ya Yesu Kristo na siku za mwisho, maana alisema katika siku za mwisho injili itahubiriwa kila mahali ili uwe ushuhuda kwa kila mtu. Wewe kwa andiko lako hili huwezi kuzima moto wa injili. Maana ni kama moto uliotupwa duniani hakuna wa kuuzima. Narudia tena kukusihi kwamba mwamini Yesu ili awe Bwana na Mwokozi wako vinginevyo unapoteza muda tu.
Huyajui makanisa rasmi? Basi tuishie hapo hapo.
 
Nani alikudanganya kwamba kukemea pepo kwa jina ka Yesu ni kazi ya makanisa ya mitaani ? Unaweza kuniambia hapa nini maana ya makanisa ya mitaani ? Kazi ya kukemea pepo iliagizwa na kufanywa na Yesu mwenyewe, leo unatuambiaje wewe ? Kama huna cha kuposti ni bora ukaacha kuandika upuuzi kama huu. Ninakushauri uokoke ili Yesu awe Bwana na Mwokozi wako.
Kureason na mlokolole ni kazi. Utakesha. Tofautisha mtu aliekaririshwa imani na mtu ambae yuko free. Hapa unahangaika. Mlokole uki reason nae anakuona we ndo unakosea badala ya kureason na ww
 
Anazunguka kwenye mashule ili kutesti kwanza nguvu zake kama ziko sawa ndo aingie kitaani mkoa kwa mkoa aje kuombea vidume na mikurumbembe ya mjini.
Maana akikurupuka kuingia mitaani bila kufanya testi ya mitambo anaweza kukutana na makubwa.!
Kuna jamaa aliibukaga kijijini kwetu miaka hiyo akajifanya nabii eti akawatukana wachawi wa kijiji kwamba yeye hawamuwezi haikupita hata siku tatu alikutwa uchi wa mnyama amelala mku.ndu juu chini ya mwembe wa shule ya msingi na inasemekana alichezea "kifiro"
Hujui unachoongea.
 
Jibu hoja hapo juu. Hoja hujibiwa kwa hoja wewe ndio umekaririshwa imani isiyo na matendo. Pole sana.
Kureason na mlokolole ni kazi. Utakesha. Tofautisha mtu aliekaririshwa imani na mtu ambae yuko free. Hapa unahangaika. Mlokole uki reason nae anakuona we ndo unakosea badala ya kureason na ww
 
Naipenda sana dini ya Kiislam huu uzuzu na uzwazwa haupo. Kila mtu anajifungulia kanisa lake kama nini sijui.
Mzee mbona bar zinafunguliwa sana hukasiriki. Tuna shida kama wakristo, kunyoosheana vidole. Acha Kanisa la Efeso libaki kubwa Efeso na Leodikia liwe leodikia, Yeye apitaye kwenye vibarua saba vya taa atalihukumu.

Mtume Paulo alikutana na watu waliokuwa wanahubiri tofauti nae akasema Kikubwa Kristo anahubiriwa ikiwa ni kwa Hila au la. Relax bro huwezi shindana na Nyakati na Nabii. Sasa utimilifu wa unabii unaendelea. Unapaswa kila mtu aisikie habari ya Kristo hata kama inahubiriwa kwa mzaa na ndio maana zinapigwa nyimbo za Kikristo hata vilabuni, kwenye mabasi n.k
 
Nini maana ya makanisa rasmi ? Wakati Yesu anaondoka duniani aliacha kanisa gani rasmi unalolijua wewe ? Umeingia chaka hakuna unachokijua kuhusu injili ya Yesu Kristo na siku za mwisho, maana alisema katika siku za mwisho injili itahubiriwa kila mahali ili uwe ushuhuda kwa kila mtu. Wewe kwa andiko lako hili huwezi kuzima moto wa injili. Maana ni kama moto uliotupwa duniani hakuna wa kuuzima. Narudia tena kukusihi kwamba mwamini Yesu ili awe Bwana na Mwokozi wako vinginevyo unapoteza muda tu.
Amina ubarikiwe kwa Neno zuri. Watu wanashindwa tambua kubwa Ulimwengu unaendeshwa kwa mambo mawi. Neno(Unabii) na Nyakati. Sasa ni utimilivu wa unabii wa Injili kuhubiriwa kwa Kila kiumbe. Injili inahubiriwa sasa na ndio maana utaona nyimbo za kikristo zinapigwa Vilabuni, kwenye mabasi hata sherehe za wenzetu watoto wa Ajiri.
 
Mapepo na mashetani yapo afrika tu hasa hasa Tanzania kuloja vilaza.
Yapo kila sehemu bro. Unafuatiliaga mahubiri ya watumishi wa nje ya nchi au? Mbona wazungu, waarabu, wachina, wafilipino n.k huanguka mapepo. Ebu fuatilia bwana mkubwa acha kukashfu na kuongea usivyovijua.
 
Back
Top Bottom