Mzee makoti
JF-Expert Member
- Jul 27, 2016
- 3,482
- 4,673
Wakristo sijui kwann kila kukicha wanageuzwa fursa, imefikia wakat wamekuwa Kama mgodi usioisha madini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyajui makanisa rasmi? Basi tuishie hapo hapo.Nini maana ya makanisa rasmi ? Wakati Yesu anaondoka duniani aliacha kanisa gani rasmi unalolijua wewe ? Umeingia chaka hakuna unachokijua kuhusu injili ya Yesu Kristo na siku za mwisho, maana alisema katika siku za mwisho injili itahubiriwa kila mahali ili uwe ushuhuda kwa kila mtu. Wewe kwa andiko lako hili huwezi kuzima moto wa injili. Maana ni kama moto uliotupwa duniani hakuna wa kuuzima. Narudia tena kukusihi kwamba mwamini Yesu ili awe Bwana na Mwokozi wako vinginevyo unapoteza muda tu.
Kureason na mlokolole ni kazi. Utakesha. Tofautisha mtu aliekaririshwa imani na mtu ambae yuko free. Hapa unahangaika. Mlokole uki reason nae anakuona we ndo unakosea badala ya kureason na wwNani alikudanganya kwamba kukemea pepo kwa jina ka Yesu ni kazi ya makanisa ya mitaani ? Unaweza kuniambia hapa nini maana ya makanisa ya mitaani ? Kazi ya kukemea pepo iliagizwa na kufanywa na Yesu mwenyewe, leo unatuambiaje wewe ? Kama huna cha kuposti ni bora ukaacha kuandika upuuzi kama huu. Ninakushauri uokoke ili Yesu awe Bwana na Mwokozi wako.
Hujui unachoongea.Anazunguka kwenye mashule ili kutesti kwanza nguvu zake kama ziko sawa ndo aingie kitaani mkoa kwa mkoa aje kuombea vidume na mikurumbembe ya mjini.
Maana akikurupuka kuingia mitaani bila kufanya testi ya mitambo anaweza kukutana na makubwa.!
Kuna jamaa aliibukaga kijijini kwetu miaka hiyo akajifanya nabii eti akawatukana wachawi wa kijiji kwamba yeye hawamuwezi haikupita hata siku tatu alikutwa uchi wa mnyama amelala mku.ndu juu chini ya mwembe wa shule ya msingi na inasemekana alichezea "kifiro"
Ni kwa sababu hawapendi kureasonWakristo sijui kwann kila kukicha wanageuzwa fursa, imefikia wakat wamekuwa Kama mgodi usioisha madini
Ukimwambia kureason mnaweza kupigana. Hawataki mpaka uwachape viboko. Au uwaweke kwenye pressure ya matatizo makali ili waone uhalisia wa maishaWakristo sijui kwann kila kukicha wanageuzwa fursa, imefikia wakat wamekuwa Kama mgodi usioisha madini
MifugoMasanja anachunga nini?
Kureason na mlokolole ni kazi. Utakesha. Tofautisha mtu aliekaririshwa imani na mtu ambae yuko free. Hapa unahangaika. Mlokole uki reason nae anakuona we ndo unakosea badala ya kureason na ww
Huyajui makanisa rasmi? Basi tuishie hapo hapo.
Mzee mbona bar zinafunguliwa sana hukasiriki. Tuna shida kama wakristo, kunyoosheana vidole. Acha Kanisa la Efeso libaki kubwa Efeso na Leodikia liwe leodikia, Yeye apitaye kwenye vibarua saba vya taa atalihukumu.Naipenda sana dini ya Kiislam huu uzuzu na uzwazwa haupo. Kila mtu anajifungulia kanisa lake kama nini sijui.
Amina ubarikiwe kwa Neno zuri. Watu wanashindwa tambua kubwa Ulimwengu unaendeshwa kwa mambo mawi. Neno(Unabii) na Nyakati. Sasa ni utimilivu wa unabii wa Injili kuhubiriwa kwa Kila kiumbe. Injili inahubiriwa sasa na ndio maana utaona nyimbo za kikristo zinapigwa Vilabuni, kwenye mabasi hata sherehe za wenzetu watoto wa Ajiri.Nini maana ya makanisa rasmi ? Wakati Yesu anaondoka duniani aliacha kanisa gani rasmi unalolijua wewe ? Umeingia chaka hakuna unachokijua kuhusu injili ya Yesu Kristo na siku za mwisho, maana alisema katika siku za mwisho injili itahubiriwa kila mahali ili uwe ushuhuda kwa kila mtu. Wewe kwa andiko lako hili huwezi kuzima moto wa injili. Maana ni kama moto uliotupwa duniani hakuna wa kuuzima. Narudia tena kukusihi kwamba mwamini Yesu ili awe Bwana na Mwokozi wako vinginevyo unapoteza muda tu.
Yapo kila sehemu bro. Unafuatiliaga mahubiri ya watumishi wa nje ya nchi au? Mbona wazungu, waarabu, wachina, wafilipino n.k huanguka mapepo. Ebu fuatilia bwana mkubwa acha kukashfu na kuongea usivyovijua.Mapepo na mashetani yapo afrika tu hasa hasa Tanzania kuloja vilaza.
Haijawahi , na haitawahi tokea" wale ni wagonjwa halisi. ..sio staged.Kwanini wasiende mahospital kuna wagonjwa wengi wanahitaji kuombewa wapone warudi majumbani