kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
- Thread starter
-
- #81
Ushahidi upo baraza la michezo ofisi ya msajili wa vilabu nenda kajiridhishe mnapenda mambo ya ujanja tu!Weka ushahidi hapa, Simba tunajuwa mmiliki wake ni Mo Dewji, Lete ushahidi wa Mwigulu kuwa ndio mmiliki.
Weka document hapa, Acha blablabla.Ushahidi upo baraza la michezo ofisi ya msajili wa vilabu nenda kajiridhishe mnapenda mambo ya ujanja tu!
Vipi Simba alipigwa tano tar 5 mwezi wa 11. Hebu tuambie naye mdhamini wake ni nani vile.Tupo nafasi ya nne tulimpiga mashujaa 2-1 lake tanganyika juzi!
Caf wapo tayari kuwapa nafasi ya kucheza nusu fainali ila tu kama aziz ki atafunga penati dhidi ya mamelodi!Weka document hapa, Acha blablabla.
Sasa mgoli kama ule wa Aziz Ki kipa anadakaje?
Muulize Aishi Manula.
Na wewe umeshindwaje kuchukua Point zao Sita ?Nimeangalia michezo ya Yanga vs Ihefu(Singida black stars) na mchezo wa leo ni hakika hizi timu mbili zipo hapo kumtengenezea Yanga point 12 kila msimu, na hiyo imefanywa kwa makusudi na mmiliki wa hizo timu ambae ni mmoja wa baraza la wadhamini wa Yanga.
wengi wasichokijua nyuma ya pazia mdhamini mkuu wa Yanga yeye ndio master mind wa mchongo wa kununua hizo timu anapenyeza pesa kwa kiongozi wake wa baraza la wadhamini ,
hivyo timu nyingine kila mtakavyopambana jueni Yanga tayari ana point sita mzunguuko wa kwanza na mzunguuko wa pili kwa Singida Fountain na Singida Black.
Mdhamini wa Yanga kaapa hata kama Singida zote zitashuka basi plan yake ni kununua timu tatu nyingine.
TFF nao pia wawe makini kwa kuwa huu mpango sio mzuri kwa afya ya soka la bongo ,huku timu zinashinda kimchongo zikienda huko kimataifa robo fainali ndio mafanikio yao.
Mnaishia kumtukana Motsepe ili hali mnajua magahamu mnayoyafanya, leo mpira kabla haujachezwa tayari unajua kabisa timu fulani inakwenda kufungwa kwa kuzote ni za mmiliki mmoja.
Kiukweli sio poa hata kidogo ligi inapoteza hadhi na mvuto!
Ushindani Gani kama Simba anapigwa 5 , na ndo yupo nafasi ya Tatu za juu. Hao watoto wafanyeje?Watu wanataka ligi yenye ushindani sio ramadhani kapu!
Namimi nazungumzia ubora wa Yanga. Kwani Simba inadhaminiwa na GSM? Mbona walifungwa tano?Nazungumzia mjumbe wa baraza la wadhamini la klabu ya yanga ndie mmiliki wa klabu mbili za singida je kuna fair hapo hapo mdhamini wa hizo klabu ndie mdhamini mkuu wa yanga!
Mwisho wa siku mtajikuta timu zote mdhamini ni GSM mtashinda vizuri ila kiboko yenu south na wale marefa wenye akili wa caf!Azam kampa Namungo 2 bila nyie endeleni kuhangaika na Yanga,mkishtuka,ligi imeisha mnaenda shirikisho.
Unamuuza Phiri na Beleke,unanunua Mastriker kudrible hawajui,control chumba na sebule,kumalizia nafasi hawawezi unategemea nini. Moja ya makosa yaliyo wagharimu msimu huu ni hili.
Nawakumbusha mlichukua ligi mara nne sababu ya viporo, misimu hii mitatu viporo TFF wamevicontrol.Maana nyie wakati kama manakuwaga na viporo zaidi ya vinne.
South ilitokea nini hadi useme kiboko ya Yanga?Mwisho wa siku mtajikuta timu zote mdhamini ni GSM mtashinda vizuri ila kiboko yenu south na wale marefa wenye akili wa caf!
Kipa alidaka penati na kelele zikaishia pale yakabaki malalamiko yasio na kichwa wala miguu!South ilitokea nini hadi useme kiboko ya Yanga?
Kukosa penati kwani ni ajabu? Kama penati ni rahisi msingetolewa na mashujaa.Kipa alidaka penati na kelele zikaishia pale yakabaki malalamiko yasio na kichwa wala miguu!
Sasa mbona kuna upuuzi mliutuma caf!Kukosa penati kwani ni ajabu? Kama penati ni rahisi msingetolewa na mashujaa.
Simba hadi sasa anaongoza kuipa Yanga ushindi mkubwa! Sioni msingi wa hoja yako zaidi ni kutapatapa na bado mtazidi kuchapika!Watu wanataka ligi yenye ushindani sio ramadhani kapu!
Zilipendwa hizo, pambana na timu yenu mbovu msimu ujao msikose caf confederationNimeangalia michezo ya Yanga vs Ihefu(Singida black stars) na mchezo wa leo ni hakika hizi timu mbili zipo hapo kumtengenezea Yanga point 12 kila msimu, na hiyo imefanywa kwa makusudi na mmiliki wa hizo timu ambae ni mmoja wa baraza la wadhamini wa Yanga.
wengi wasichokijua nyuma ya pazia mdhamini mkuu wa Yanga yeye ndio master mind wa mchongo wa kununua hizo timu anapenyeza pesa kwa kiongozi wake wa baraza la wadhamini ,
hivyo timu nyingine kila mtakavyopambana jueni Yanga tayari ana point sita mzunguuko wa kwanza na mzunguuko wa pili kwa Singida Fountain na Singida Black.
Mdhamini wa Yanga kaapa hata kama Singida zote zitashuka basi plan yake ni kununua timu tatu nyingine.
TFF nao pia wawe makini kwa kuwa huu mpango sio mzuri kwa afya ya soka la bongo ,huku timu zinashinda kimchongo zikienda huko kimataifa robo fainali ndio mafanikio yao.
Mnaishia kumtukana Motsepe ili hali mnajua magahamu mnayoyafanya, leo mpira kabla haujachezwa tayari unajua kabisa timu fulani inakwenda kufungwa kwa kuzote ni za mmiliki mmoja.
Kiukweli sio poa hata kidogo ligi inapoteza hadhi na mvuto!
Mimi timu yangu ipo nafasi ya nne uhakika upo sasa sijui ipi unayoizungumzia wewe!Zilipendwa hizo, pambana na timu yenu mbovu msimu ujao msikose caf confederation
Katika timu 8 zilizoingia robo fainali ya klabu bingwa Afrika, 2 zimetoka Tanzania! Msimu uliopita Yanga imeingia fainali ya kombe la shirikisho! Huku nako kunafanyika mipango? Kuweni ' siriaz' basi!Games fixing ni kubwa sana ligi ya Tanzania. Matokeo halisi ni timu zikitoka nje
Uliona Yanga imetuma CAF kuwa kipa katoka kwenye mstari kabla ya kupiga penati? Maana ni kama huelewi walichokuwa wanakilalamikia Yanga ni kipiSasa mbona kuna upuuzi mliutuma caf!